Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,817
- 4,568
Salaam Wakuu,
Mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Watu wengi tunauchukulia poa Uchaguzi wa hivi kwa kutokuelewa hasa umuhimu na majukumu ya Serikali za Mitaa.
Kabla ya kufika Uchaguzi Je unayajua majukumu ya viongozi wako wa Mtaa kama Wenyeviti, Madiwani na Watendaji?
Je, wanayatimiza majukumu Yao?
Wanastahili kuchagulia au kupewa nafasi nyingine?
Karibu tujadili
Mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Watu wengi tunauchukulia poa Uchaguzi wa hivi kwa kutokuelewa hasa umuhimu na majukumu ya Serikali za Mitaa.
Kabla ya kufika Uchaguzi Je unayajua majukumu ya viongozi wako wa Mtaa kama Wenyeviti, Madiwani na Watendaji?
Je, wanayatimiza majukumu Yao?
Wanastahili kuchagulia au kupewa nafasi nyingine?
Karibu tujadili