Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,780
- 218,404
Yapo mambo yaliyoibuliwa kwenye haya Maandamano tunayoendelea nayo yanasisimua sana .
Imeibuka Taarifa kwamba yuko Waziri mwenye ng'ombe wengi sana , ambaye anatumia V8 kuchungia mifugo hiyo , yaani iko hivi , wachunga ng'ombe walioajiriwa na Mh huyo wamepewa V8 Kufuatilia ng'ombe hao huko porini , sijui kama mnanielewa ?
Yaani Nchi hii ambayo 90% ya Raia wake wanaitwa Wanyonge V8 inachungia ng'ombe !
Nakulilia Tanzania .