Rais aliyeshindwa umeme, Asipewe nafasi nyingine

BOB LUSE

JF-Expert Member
Jan 25, 2014
3,585
2,895
Nchi yetu inakuwa Kwa kasi, Ujenzi wa Makazi, Biashara,Viwanda. zinaongezeka Kila kukicha, Tunashukuru Mungu.Viongozi wetu wanapaswa kwenda na kasi hiyo katika mipango yao.

Miaka michache ya utawala uliopita ilionekana tatizo la Umeme limedhibitiwa. Umeme wetu unatumia vyanzo vya maji, Gesi na mafuta.kuna mipango mizuri na ya uhakika ya kupeleke umeme Kila vijiji. Lakini hakuna mipango thabiti ya kuhuisha vyanzo vyetu vya umeme vya dharura, wakati tunasubiri mradi Makubwa wa maji, ambao pia hatuna uhakika na mvua, miradi ya dharura ingepewa kipaumbele Cha kuzarisha umeme katika kipindi hiki.

Tunajigamba na Madini ya Uranium, tunasafirisha yakazalishe umeme wa Nuklia huko Duniani, wakati sisi hatuna ufumbuzi wa kudumu! Kiongozi ambaye Hana maono Makubwa ya kutufanya tusahau kukatika Kwa umeme hana haja ya kuingizwa tena madarakani.

Usalama wa Taifa, unapaswa kujua mahitaji ya nchi na kuyapa kipaumbele, madalali wa madaraka hawapaswi kupitishwa Ili kuepusha nchi katika hasara zisizo za lazima.nguvu kubwa zinazozibiti wapinzani wasitawale, zitumike kuzuia Viongozi wa hovyo wasipitishwe na kikundi kidogo Cha watu wanaoamua mustakhabali wetu.

Umeme wa maji/ dharura sio ufumbuzi wa kudumu wa chanzo chetu Cha nishati. Tujifunze Kwa nchi zilizofanikiwa katika Hilo, nafuu tukope Ili kuimarisha eneo hilo Kuliko kujenga madarasa na matundu ya vyoo, yaliyo ndani ya uwezo wetu.

Mungu ibariki nchi yetu.
 
Kuendelea kutegemea CCM kutatua matatizo mwaka 2024 ni kujipotezea muda.tusubirie ya Burkinabe
 
423514293_122114116262185287_6732767423376831078_n.jpg
 
Nchi yetu inakuwa Kwa kasi, Ujenzi wa Makazi, Biashara,Viwanda. zinaongezeka Kila kukicha, Tunashukuru Mungu.Viongozi wetu wanapaswa kwenda na kasi hiyo katika mipango yao.

Miaka michache ya utawala uliopita ilionekana tatizo la Umeme limedhibitiwa. Umeme wetu unatumia vyanzo vya maji, Gesi na mafuta.kuna mipango mizuri na ya uhakika ya kupeleke umeme Kila vijiji. Lakini hakuna mipango thabiti ya kuhuisha vyanzo vyetu vya umeme vya dharura, wakati tunasubiri mradi Makubwa wa maji, ambao pia hatuna uhakika na mvua, miradi ya dharura ingepewa kipaumbele Cha kuzarisha umeme katika kipindi hiki.

Tunajigamba na Madini ya Uranium, tunasafirisha yakazalishe umeme wa Nuklia huko Duniani, wakati sisi hatuna ufumbuzi wa kudumu! Kiongozi ambaye Hana maono Makubwa ya kutufanya tusahau kukatika Kwa umeme hana haja ya kuingizwa tena madarakani.

Usalama wa Taifa, unapaswa kujua mahitaji ya nchi na kuyapa kipaumbele, madalali wa madaraka hawapaswi kupitishwa Ili kuepusha nchi katika hasara zisizo za lazima.nguvu kubwa zinazozibiti wapinzani wasitawale, zitumike kuzuia Viongozi wa hovyo wasipitishwe na kikundi kidogo Cha watu wanaoamua mustakhabali wetu.

Umeme wa maji/ dharura sio ufumbuzi wa kudumu wa chanzo chetu Cha nishati. Tujifunze Kwa nchi zilizofanikiwa katika Hilo, nafuu tukope Ili kuimarisha eneo hilo Kuliko kujenga madarasa na matundu ya vyoo, yaliyo ndani ya uwezo wetu.

Mungu ibariki nchi yetu.
Hagombei
 
Nchi yetu inakuwa Kwa kasi, Ujenzi wa Makazi, Biashara,Viwanda. zinaongezeka Kila kukicha, Tunashukuru Mungu.Viongozi wetu wanapaswa kwenda na kasi hiyo katika mipango yao.

Miaka michache ya utawala uliopita ilionekana tatizo la Umeme limedhibitiwa. Umeme wetu unatumia vyanzo vya maji, Gesi na mafuta.kuna mipango mizuri na ya uhakika ya kupeleke umeme Kila vijiji. Lakini hakuna mipango thabiti ya kuhuisha vyanzo vyetu vya umeme vya dharura, wakati tunasubiri mradi Makubwa wa maji, ambao pia hatuna uhakika na mvua, miradi ya dharura ingepewa kipaumbele Cha kuzarisha umeme katika kipindi hiki.

Tunajigamba na Madini ya Uranium, tunasafirisha yakazalishe umeme wa Nuklia huko Duniani, wakati sisi hatuna ufumbuzi wa kudumu! Kiongozi ambaye Hana maono Makubwa ya kutufanya tusahau kukatika Kwa umeme hana haja ya kuingizwa tena madarakani.

Usalama wa Taifa, unapaswa kujua mahitaji ya nchi na kuyapa kipaumbele, madalali wa madaraka hawapaswi kupitishwa Ili kuepusha nchi katika hasara zisizo za lazima.nguvu kubwa zinazozibiti wapinzani wasitawale, zitumike kuzuia Viongozi wa hovyo wasipitishwe na kikundi kidogo Cha watu wanaoamua mustakhabali wetu.

Umeme wa maji/ dharura sio ufumbuzi wa kudumu wa chanzo chetu Cha nishati. Tujifunze Kwa nchi zilizofanikiwa katika Hilo, nafuu tukope Ili kuimarisha eneo hilo Kuliko kujenga madarasa na matundu ya vyoo, yaliyo ndani ya uwezo wetu.

Mungu ibariki nchi yetu.
Yote tisa, kumi bei ya sukari imegonga 7,000
 
Nchi yetu inakuwa Kwa kasi, Ujenzi wa Makazi, Biashara,Viwanda. zinaongezeka Kila kukicha, Tunashukuru Mungu.Viongozi wetu wanapaswa kwenda na kasi hiyo katika mipango yao.

Miaka michache ya utawala uliopita ilionekana tatizo la Umeme limedhibitiwa. Umeme wetu unatumia vyanzo vya maji, Gesi na mafuta.kuna mipango mizuri na ya uhakika ya kupeleke umeme Kila vijiji. Lakini hakuna mipango thabiti ya kuhuisha vyanzo vyetu vya umeme vya dharura, wakati tunasubiri mradi Makubwa wa maji, ambao pia hatuna uhakika na mvua, miradi ya dharura ingepewa kipaumbele Cha kuzarisha umeme katika kipindi hiki.

Tunajigamba na Madini ya Uranium, tunasafirisha yakazalishe umeme wa Nuklia huko Duniani, wakati sisi hatuna ufumbuzi wa kudumu! Kiongozi ambaye Hana maono Makubwa ya kutufanya tusahau kukatika Kwa umeme hana haja ya kuingizwa tena madarakani.

Usalama wa Taifa, unapaswa kujua mahitaji ya nchi na kuyapa kipaumbele, madalali wa madaraka hawapaswi kupitishwa Ili kuepusha nchi katika hasara zisizo za lazima.nguvu kubwa zinazozibiti wapinzani wasitawale, zitumike kuzuia Viongozi wa hovyo wasipitishwe na kikundi kidogo Cha watu wanaoamua mustakhabali wetu.

Umeme wa maji/ dharura sio ufumbuzi wa kudumu wa chanzo chetu Cha nishati. Tujifunze Kwa nchi zilizofanikiwa katika Hilo, nafuu tukope Ili kuimarisha eneo hilo Kuliko kujenga madarasa na matundu ya vyoo, yaliyo ndani ya uwezo wetu.

Mungu ibariki nchi yetu.

Pamoja na shida zote tunazokutana nazo ikiwemo sugu ya umeme….mwakani kwenye uchaguzi kama kawaida tunakipa chama pendwa ushindi!
 
Nchi yetu inakuwa Kwa kasi, Ujenzi wa Makazi, Biashara,Viwanda. zinaongezeka Kila kukicha, Tunashukuru Mungu.Viongozi wetu wanapaswa kwenda na kasi hiyo katika mipango yao.

Miaka michache ya utawala uliopita ilionekana tatizo la Umeme limedhibitiwa. Umeme wetu unatumia vyanzo vya maji, Gesi na mafuta.kuna mipango mizuri na ya uhakika ya kupeleke umeme Kila vijiji. Lakini hakuna mipango thabiti ya kuhuisha vyanzo vyetu vya umeme vya dharura, wakati tunasubiri mradi Makubwa wa maji, ambao pia hatuna uhakika na mvua, miradi ya dharura ingepewa kipaumbele Cha kuzarisha umeme katika kipindi hiki.

Tunajigamba na Madini ya Uranium, tunasafirisha yakazalishe umeme wa Nuklia huko Duniani, wakati sisi hatuna ufumbuzi wa kudumu! Kiongozi ambaye Hana maono Makubwa ya kutufanya tusahau kukatika Kwa umeme hana haja ya kuingizwa tena madarakani.

Usalama wa Taifa, unapaswa kujua mahitaji ya nchi na kuyapa kipaumbele, madalali wa madaraka hawapaswi kupitishwa Ili kuepusha nchi katika hasara zisizo za lazima.nguvu kubwa zinazozibiti wapinzani wasitawale, zitumike kuzuia Viongozi wa hovyo wasipitishwe na kikundi kidogo Cha watu wanaoamua mustakhabali wetu.

Umeme wa maji/ dharura sio ufumbuzi wa kudumu wa chanzo chetu Cha nishati. Tujifunze Kwa nchi zilizofanikiwa katika Hilo, nafuu tukope Ili kuimarisha eneo hilo Kuliko kujenga madarasa na matundu ya vyoo, yaliyo ndani ya uwezo wetu.

Mungu ibariki nchi yetu.
Hakuna Rais hapa ni bomu Tena la kienyeji
 
Nchi yetu inakuwa Kwa kasi, Ujenzi wa Makazi, Biashara,Viwanda. zinaongezeka Kila kukicha, Tunashukuru Mungu.Viongozi wetu wanapaswa kwenda na kasi hiyo katika mipango yao.

Miaka michache ya utawala uliopita ilionekana tatizo la Umeme limedhibitiwa. Umeme wetu unatumia vyanzo vya maji, Gesi na mafuta.kuna mipango mizuri na ya uhakika ya kupeleke umeme Kila vijiji. Lakini hakuna mipango thabiti ya kuhuisha vyanzo vyetu vya umeme vya dharura, wakati tunasubiri mradi Makubwa wa maji, ambao pia hatuna uhakika na mvua, miradi ya dharura ingepewa kipaumbele Cha kuzarisha umeme katika kipindi hiki.

Tunajigamba na Madini ya Uranium, tunasafirisha yakazalishe umeme wa Nuklia huko Duniani, wakati sisi hatuna ufumbuzi wa kudumu! Kiongozi ambaye Hana maono Makubwa ya kutufanya tusahau kukatika Kwa umeme hana haja ya kuingizwa tena madarakani.

Usalama wa Taifa, unapaswa kujua mahitaji ya nchi na kuyapa kipaumbele, madalali wa madaraka hawapaswi kupitishwa Ili kuepusha nchi katika hasara zisizo za lazima.nguvu kubwa zinazozibiti wapinzani wasitawale, zitumike kuzuia Viongozi wa hovyo wasipitishwe na kikundi kidogo Cha watu wanaoamua mustakhabali wetu.

Umeme wa maji/ dharura sio ufumbuzi wa kudumu wa chanzo chetu Cha nishati. Tujifunze Kwa nchi zilizofanikiwa katika Hilo, nafuu tukope Ili kuimarisha eneo hilo Kuliko kujenga madarasa na matundu ya vyoo, yaliyo ndani ya uwezo wetu.

Mungu ibariki nchi yetu.
Kama kuna watu wanadhani Samia anaweza kuinua uchumi wa Tanzania na Watanzania Atakuwa Kichaa kama Magufuli aliyeteua mtu dhaifu kiasi hiki kuwa makamu wake
 
Na mvimbe mpasuke, mezeni wembe, sageni chupa mnywe ila 2025 ni Samia Tena !!!
images - 2024-02-01T011308.922.jpeg

images - 2024-02-01T011259.670.jpeg
 
Kwa miswada hii 3 aliyopeleka bungeni, hakuna namna nyingine, atashinda tu. Tena asubuhi na mapema.

Asiyetaka aende Burundi
 
Kama kuna watu wanadhani Samia anaweza kuinua uchumi wa Tanzania na Watanzania Atakuwa Kichaa kama Magufuli aliyeteua mtu dhaifu kiasi hiki kuwa makamu wake
Ni kawaida watu imara kuteua wasaidizi dhaifu ili wawaamrishe bila kuhoji.
 
Huyu mama ananyoto ya umasikini na ufukara..nchi inanuka shida..watu wanateseka sana,biashara haziendi,maisha yanapanda kila kukicha
 
Nchi yetu inakuwa Kwa kasi, Ujenzi wa Makazi, Biashara,Viwanda. zinaongezeka Kila kukicha, Tunashukuru Mungu.Viongozi wetu wanapaswa kwenda na kasi hiyo katika mipango yao.

Miaka michache ya utawala uliopita ilionekana tatizo la Umeme limedhibitiwa. Umeme wetu unatumia vyanzo vya maji, Gesi na mafuta.kuna mipango mizuri na ya uhakika ya kupeleke umeme Kila vijiji. Lakini hakuna mipango thabiti ya kuhuisha vyanzo vyetu vya umeme vya dharura, wakati tunasubiri mradi Makubwa wa maji, ambao pia hatuna uhakika na mvua, miradi ya dharura ingepewa kipaumbele Cha kuzarisha umeme katika kipindi hiki.

Tunajigamba na Madini ya Uranium, tunasafirisha yakazalishe umeme wa Nuklia huko Duniani, wakati sisi hatuna ufumbuzi wa kudumu! Kiongozi ambaye Hana maono Makubwa ya kutufanya tusahau kukatika Kwa umeme hana haja ya kuingizwa tena madarakani.

Usalama wa Taifa, unapaswa kujua mahitaji ya nchi na kuyapa kipaumbele, madalali wa madaraka hawapaswi kupitishwa Ili kuepusha nchi katika hasara zisizo za lazima.nguvu kubwa zinazozibiti wapinzani wasitawale, zitumike kuzuia Viongozi wa hovyo wasipitishwe na kikundi kidogo Cha watu wanaoamua mustakhabali wetu.

Umeme wa maji/ dharura sio ufumbuzi wa kudumu wa chanzo chetu Cha nishati. Tujifunze Kwa nchi zilizofanikiwa katika Hilo, nafuu tukope Ili kuimarisha eneo hilo Kuliko kujenga madarasa na matundu ya vyoo, yaliyo ndani ya uwezo wetu.

Mungu ibariki nchi yetu.
Tatizo siyo rais.
Tatizo ni CCM au Mfumo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom