HUSSEN KAMBI
Senior Member
- Dec 4, 2023
- 175
- 212
Yani kubadilisha jina kutoka tume ya taifa nec, hadi tume huru ya uchaguzi, ndio wanatuaminisha, teari washarekebisha, matatizo ya tume, kwa kubadilisha jina, kwahio hapo ndio teari mapungufu ya tume yasha shughulikiwa yani wanatuona watanzania uwezo wetu wa kufikiri mdogo sana kweli wanatuona manyani