Lipo kundi lisilozidi watu 100 hao wakitolewa ndani ya serikali na chama nchi hii Itapona maendeleo yataonekana.

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,615
3,909
Nchi yetu ina kikundi kidogo hatari kinachoibagaza nchi kupitia kwenye siasa kundi hili ndilo halitaki taifa lipige hatua kwenye rel umeme na miundo mbinu kwa ujumla wapo tayari kutumia njia yoyote wanaoitumikia vyema nchi wasipewe madaraka yoyote ndani ya nchi na ikibidi pindi tu mzalendo yoyote anapotokea humuundia vikao vya chini kwa chini kwa ajiri ya kumkwamisha.
Ndugu zangu watanzania msiwe chawa WA watu hao mkiamini kupewa vyeo kupitia wao hata wao hawana hatimiliki ya nchi hii njia moja ya ku deal na watu hao NI kuwakataa kwa njia yoyote Ile maana hao watu mkiendelea kuwaabudu kama mungu nchi yetu haitopiga hatua mjuwe kabisa hao watu tangu wanakula cake ya nchi hawajawahi kuridhika na wanazidi kuweka mifumo ya kurisishana

Angalieni SGR hiyo inavyopigwa danadana kipande Tu cha daresalaam Hadi morogoro
Kila siku ni maneno maneno.
 
Wengi ni wale waliobeba $$$ kwa mifuko ya sandarusi bank Ile😡
 
Nizaidi ya watu 50 wamo jeshini na usalaama wa taifa ! Wamewekeza Sana huko
 
Nchi yetu ina kikundi kidogo hatari kinachoibagaza nchi kupitia kwenye siasa kundi hili ndilo halitaki taifa lipige hatua kwenye rel umeme na miundo mbinu kwa ujumla wapo tayari kutumia njia yoyote wanaoitumikia vyema nchi wasipewe madaraka yoyote ndani ya nchi na ikibidi pindi tu mzalendo yoyote anapotokea humuundia vikao vya chini kwa chini kwa ajiri ya kumkwamisha.
Ndugu zangu watanzania msiwe chawa WA watu hao mkiamini kupewa vyeo kupitia wao hata wao hawana hatimiliki ya nchi hii njia moja ya ku deal na watu hao NI kuwakataa kwa njia yoyote Ile maana hao watu mkiendelea kuwaabudu kama mungu nchi yetu haitopiga hatua mjuwe kabisa hao watu tangu wanakula cake ya nchi hawajawahi kuridhika na wanazidi kuweka mifumo ya kurisishana

Angalieni SGR hiyo inavyopigwa danadana kipande Tu cha daresalaam Hadi morogoro
Kila siku ni maneno maneno.

Weka hiyo list tuwatambue
 
A
Nchi yetu ina kikundi kidogo hatari kinachoibagaza nchi kupitia kwenye siasa kundi hili ndilo halitaki taifa lipige hatua kwenye rel umeme na miundo mbinu kwa ujumla wapo tayari kutumia njia yoyote wanaoitumikia vyema nchi wasipewe madaraka yoyote ndani ya nchi na ikibidi pindi tu mzalendo yoyote anapotokea humuundia vikao vya chini kwa chini kwa ajiri ya kumkwamisha.
Ndugu zangu watanzania msiwe chawa WA watu hao mkiamini kupewa vyeo kupitia wao hata wao hawana hatimiliki ya nchi hii njia moja ya ku deal na watu hao NI kuwakataa kwa njia yoyote Ile maana hao watu mkiendelea kuwaabudu kama mungu nchi yetu haitopiga hatua mjuwe kabisa hao watu tangu wanakula cake ya nchi hawajawahi kuridhika na wanazidi kuweka mifumo ya kurisishana

Angalieni SGR hiyo inavyopigwa danadana kipande Tu cha daresalaam Hadi morogoro
Kila siku ni maneno maneno.
Adui no. 1 wa taifa Ili ni CCM yaani viongizi wa CCM. Mfano kipindi Cha utawala wa Mwl Nyerere Nchi yetu ilikuwa na Viwanda vya Nguo, Viwanda vya Pamba Viwanda vya Cement Viwanda vya kuzalisha matairi ya Magari Bora pale Arusha, Kiwanda Cha kuzalisha Karatasi pale Mufundi. Kati ya vyot kinachoniuma ni Kiwanda Cha kutengeneza matairi Cha Arusha kwani kilikuwa kinazalisha matairi Bora lakini Kwa ila za watu Fulani kile Kiwanda kilikufa ....Na kumbuka hii nchi haitajawaliwa na Chama kingine tofauti na CCM ...ila kwenye Cha Cha CCM Kuna watu ambao ni wazuri mfano Magufuri alikuwa ni mtu mwenye angalau uchungu na Mali za Taifa lakini Sasa hivi Kuna watu wanaiona CCM ni sehemu ya mradi wa kipato Chao...ukijaribu kuongea uozo wao unaonekana adui wa taifa...daah.
Hapa Tz Kuna kiongozi mmoja ni Tajiri sana kuliko wanasiasa yote nchi ameiweka kiganjani mwake ukijaribu kufuatulia mambo yake utagundua utajiri wake uliopitiliza hata wakina Mo hawamfikiii
 
kundi ilo ndo llilokuwa na nyerere na mpaka leo wapo wengine na washangatulia .wanawatoto zao wengine wapo kwenye siasa na uongozi au nafasi kubwa sana
 
Nchi yetu ina kikundi kidogo hatari kinachoibagaza nchi kupitia kwenye siasa kundi hili ndilo halitaki taifa lipige hatua kwenye rel umeme na miundo mbinu kwa ujumla wapo tayari kutumia njia yoyote wanaoitumikia vyema nchi wasipewe madaraka yoyote ndani ya nchi na ikibidi pindi tu mzalendo yoyote anapotokea humuundia vikao vya chini kwa chini kwa ajiri ya kumkwamisha.
Ndugu zangu watanzania msiwe chawa WA watu hao mkiamini kupewa vyeo kupitia wao hata wao hawana hatimiliki ya nchi hii njia moja ya ku deal na watu hao NI kuwakataa kwa njia yoyote Ile maana hao watu mkiendelea kuwaabudu kama mungu nchi yetu haitopiga hatua mjuwe kabisa hao watu tangu wanakula cake ya nchi hawajawahi kuridhika na wanazidi kuweka mifumo ya kurisishana

Angalieni SGR hiyo inavyopigwa danadana kipande Tu cha daresalaam Hadi morogoro
Kila siku ni maneno maneno.
Mwenyekiti ni mzembe, mvivu anapenda holidays, bata kuliko kazi yake kuwasikiliza wananchi. Ndio anaamua bei ya chakula chako, ajira yako, nauli yako, kodi zako. Ila hataki kuongea na wewe. Bora aende ulaya kumumzika.
 
Nchi yetu ina kikundi kidogo hatari kinachoibagaza nchi kupitia kwenye siasa kundi hili ndilo halitaki taifa lipige hatua kwenye rel umeme na miundo mbinu kwa ujumla wapo tayari kutumia njia yoyote wanaoitumikia vyema nchi wasipewe madaraka yoyote ndani ya nchi na ikibidi pindi tu mzalendo yoyote anapotokea humuundia vikao vya chini kwa chini kwa ajiri ya kumkwamisha.
Ndugu zangu watanzania msiwe chawa WA watu hao mkiamini kupewa vyeo kupitia wao hata wao hawana hatimiliki ya nchi hii njia moja ya ku deal na watu hao NI kuwakataa kwa njia yoyote Ile maana hao watu mkiendelea kuwaabudu kama mungu nchi yetu haitopiga hatua mjuwe kabisa hao watu tangu wanakula cake ya nchi hawajawahi kuridhika na wanazidi kuweka mifumo ya kurisishana

Angalieni SGR hiyo inavyopigwa danadana kipande Tu cha daresalaam Hadi morogoro
Kila siku ni maneno maneno.
Matatizo ya kiutamaduni na kimfumo huwezi kuyamaliza kwa kuondoa watu 100.

Hao watu 100 wamekuwa hivyo na kufika hapo kwa sababu ya mfumo mbovu na utamaduni mbovu, hao watu 100 ni matokeo, si sababu.

Deal na sababu, usi deal na matokeo ya sababu.

Unachotaka kufanya hapa ni kutibu dalili za Kifua Kikuu, unataka kutibu kukohoa, kwa Cofta, wakati huangaliii sababu za kukohoa, Kifua Kikuu.

Cofta yako haiwezi kumaliza tatizo la kukohoa, kwa sababu haitibu ugonjwa wa msingi, Kifua Kikuu, ina address dalili moja tu ya ugonjwa.

Watanzania wengi tunapenda kuangalia watu badala ya mifumo na utamaduni.

Tunataka kutibu dalili za ugonjwa bila kuangalia ugonjwa wenyewe.
 
Angalieni SGR
SGR?

DAWASA kapewa ugonjwa na TANESCO sasa maji mtaani hayatoki mitambo ya DAWASA imezima haifanyi kazi Waziri wa Nishati yupo Waziri wa Maji yupo wanaofanya hayo wanajulikana Ila nahisi wanaogopwa hata kukemewa au kuchomolewa ushikaji umekua mwingi sana

Usilete ushikaji kwenye kazi kazi inaendelea Ila ushikaji umekua mwingi sana
 
SGR?

DAWASA kapewa ugonjwa na TANESCO sasa maji mtaani hayatoki mitambo ya DAWASA imezima haifanyi kazi Waziri wa Nishati yupo Waziri wa Maji yupo wanaofanya hayo wanajulikana Ila nahisi wanaogopwa hata kukemewa au kuchomolewa ushikaji umekua mwingi sana

Usilete ushikaji kwenye kazi kazi inaendelea Ila ushikaji umekua mwingi sana
Kazi ya Rais ni nini?
 
Back
Top Bottom