MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,784
Tanzania ina madhaifu makuu matatu ambayo yameshaonekana mpaka sasa DINI, RUSHWA na UJINGA (NAIVETY).
SOMO LA KWANZA: UFALME WA UJERUMANI (UJINGA or NAIVETY)
Usidanganyike, huhitaji kutumia nguvu kubwa kuvamia taifa la watu ambao wamehalilisha rushwa kama sehemu ya utamaduni wa maisha yao. Adui hahitaji kutumia kujiingiza kwenye vita kubwa ambayo itamgharimu hata yeye, bali anachohitaji ni kumwaga mapesa mengi kwa watawala halafu kazi inakuwa imekwisha. Tokea mwaka 1871, Ufalme wa Ujerumani ndiyo taifa lililokuwa na nguvu iliyomithirika barani Ulaya. Kiufupi hakukuwa na taifa duniani ambalo lingeweza kupambana kijeshi na Ujerumani.
Mwaka 1917, miaka mitatu baada ya vita ya kwanza ya dunia, Uingereza, Urusi na Ufaransa walikuwa wamecharazwa vibaya mno na jeshi la Ujerumani na walikuwa wanapanga kusalimu amri. Kifupi ni kwamba, miaka miwili ya mwanzo ya vita ya kwanza ya dunia, Uingereza na Ufaransa zilivurugwa bila hata risasi yao moja kufika kwenye ardhi ya Ujerumani. Bahati mbaya sana Ujerumani alikuwa na tatizo kubwa la UJINGA. Serikali ya Ujerumani ilikuwa imajaa WAYAHUDI kwenye nafasi nyeti za kimaamuzi, huku wengi wakiwa hawajichukulii kama WAJERUMANI.
Mwaka 1917, Wazayuni waliwaambia Waingereza kwamba wasisalimu amri wao watawasaidia kushinda kwa kuhakikisha Marekani anaingia kwenye vita, ila tu baada ya vita kuisha waahidi kwamba watawapa eneo liitwalo Palestina liwe nchi ya Wayahudi. Uingereza kupitia waziri wake wa mambo ya nje, Arthur Balfour akatoa tamko liitwalo The Balfour Declaration ambapo akasema endapo Wayahudi duniani kote wataungana kuisadia Uingereza basi watapewa ardhi Palestina.
Maelfu ya Wayahudi waliokuwepo Ujerumani kwenye nafasi kubwa kisiasa na kibiashara wakaanza kufanya hujuma dhidi ya Ujerumani, na baadaye nchi ikashindwa vibaya vita mno. Wajerumani wameenda kusaini mkataba wa Versailles mwaka 1919, wanawakuja Wayahudi ambao Wajerumani wako kwenye mkutano wakidai Palestine, wakabaki kushangaa na kufahamu kwamba kumbe tulisalitiwa na watu ambao tulidhani ni raia wenzetu. Watu hawapendi kusema ukweli, ila hii ndiyo ilikuwa ni moja ya sababu chama cha KINAZI kupata nguvu kubwa Ujerumani na kuanza kuua maelfu ya Wayahudi.
SOMO LA PILI: DOLA LA RUMI (UJINGA or NAIVETY)
Moja ya sababu ya dola la Rumi kuanguka ni kuruhusu wageni kuingia bila mpangilio, wakidhani kwamba watawadhibiti endapo watasumbua. Karne ya nne, Rumi ilivamiwa na maelfu ya wakimbizi wa Kijerumani (Germanic Tribes) ambao walikimbia vita nchini kwao kwasababu The Huns kutoka Asia waliwaua na kuwachinja vibaya. Baada ya kupokelewa Rumi walianza kukaa kama raia wa kawaida. Rumi ilivyoingia kwenye matatizo makubwa ya vita za wao kwa wao, makabila haya yaliamua kutumia mwaka huu kuamua kutengeneza nchi zao ndani ya dola la Rumi.
Mara zote walipojaribu, vikosi vya kirumi viliwadhibiti, ila baada ya kipindi kupita wajerumani wakapata nguvu sana na kuamua kuvamia Roma, kuuchoma moto na kumteka mfale. Mwaka 410, chifu wa Kijerumani aitwaye Odoacer alivamia Ujerumani na kumpindua Kaisari Romulus na kuanzisha ufalme wake mpya wa Italia. Huu ndiyo ukawa mwisho wa dola la Rumi la Magharibi (The Western Roman Empire). Baada ya hapo warumi na kutawala kote dunia, wakajikuta wamegeuka watumwa wa vikabila vya watu ambao walikuwa hawafahamu hata kuandika, havina ustaarabu wowote ule, ambao hapo mwanzo waliwaajiri kama wachunga ng'ombe wao na wafanyakazi wa ndani.
SOMO LA KWANZA: UFALME WA UJERUMANI (UJINGA or NAIVETY)
Usidanganyike, huhitaji kutumia nguvu kubwa kuvamia taifa la watu ambao wamehalilisha rushwa kama sehemu ya utamaduni wa maisha yao. Adui hahitaji kutumia kujiingiza kwenye vita kubwa ambayo itamgharimu hata yeye, bali anachohitaji ni kumwaga mapesa mengi kwa watawala halafu kazi inakuwa imekwisha. Tokea mwaka 1871, Ufalme wa Ujerumani ndiyo taifa lililokuwa na nguvu iliyomithirika barani Ulaya. Kiufupi hakukuwa na taifa duniani ambalo lingeweza kupambana kijeshi na Ujerumani.
Mwaka 1917, miaka mitatu baada ya vita ya kwanza ya dunia, Uingereza, Urusi na Ufaransa walikuwa wamecharazwa vibaya mno na jeshi la Ujerumani na walikuwa wanapanga kusalimu amri. Kifupi ni kwamba, miaka miwili ya mwanzo ya vita ya kwanza ya dunia, Uingereza na Ufaransa zilivurugwa bila hata risasi yao moja kufika kwenye ardhi ya Ujerumani. Bahati mbaya sana Ujerumani alikuwa na tatizo kubwa la UJINGA. Serikali ya Ujerumani ilikuwa imajaa WAYAHUDI kwenye nafasi nyeti za kimaamuzi, huku wengi wakiwa hawajichukulii kama WAJERUMANI.
Mwaka 1917, Wazayuni waliwaambia Waingereza kwamba wasisalimu amri wao watawasaidia kushinda kwa kuhakikisha Marekani anaingia kwenye vita, ila tu baada ya vita kuisha waahidi kwamba watawapa eneo liitwalo Palestina liwe nchi ya Wayahudi. Uingereza kupitia waziri wake wa mambo ya nje, Arthur Balfour akatoa tamko liitwalo The Balfour Declaration ambapo akasema endapo Wayahudi duniani kote wataungana kuisadia Uingereza basi watapewa ardhi Palestina.
Maelfu ya Wayahudi waliokuwepo Ujerumani kwenye nafasi kubwa kisiasa na kibiashara wakaanza kufanya hujuma dhidi ya Ujerumani, na baadaye nchi ikashindwa vibaya vita mno. Wajerumani wameenda kusaini mkataba wa Versailles mwaka 1919, wanawakuja Wayahudi ambao Wajerumani wako kwenye mkutano wakidai Palestine, wakabaki kushangaa na kufahamu kwamba kumbe tulisalitiwa na watu ambao tulidhani ni raia wenzetu. Watu hawapendi kusema ukweli, ila hii ndiyo ilikuwa ni moja ya sababu chama cha KINAZI kupata nguvu kubwa Ujerumani na kuanza kuua maelfu ya Wayahudi.
SOMO LA PILI: DOLA LA RUMI (UJINGA or NAIVETY)
Moja ya sababu ya dola la Rumi kuanguka ni kuruhusu wageni kuingia bila mpangilio, wakidhani kwamba watawadhibiti endapo watasumbua. Karne ya nne, Rumi ilivamiwa na maelfu ya wakimbizi wa Kijerumani (Germanic Tribes) ambao walikimbia vita nchini kwao kwasababu The Huns kutoka Asia waliwaua na kuwachinja vibaya. Baada ya kupokelewa Rumi walianza kukaa kama raia wa kawaida. Rumi ilivyoingia kwenye matatizo makubwa ya vita za wao kwa wao, makabila haya yaliamua kutumia mwaka huu kuamua kutengeneza nchi zao ndani ya dola la Rumi.
Mara zote walipojaribu, vikosi vya kirumi viliwadhibiti, ila baada ya kipindi kupita wajerumani wakapata nguvu sana na kuamua kuvamia Roma, kuuchoma moto na kumteka mfale. Mwaka 410, chifu wa Kijerumani aitwaye Odoacer alivamia Ujerumani na kumpindua Kaisari Romulus na kuanzisha ufalme wake mpya wa Italia. Huu ndiyo ukawa mwisho wa dola la Rumi la Magharibi (The Western Roman Empire). Baada ya hapo warumi na kutawala kote dunia, wakajikuta wamegeuka watumwa wa vikabila vya watu ambao walikuwa hawafahamu hata kuandika, havina ustaarabu wowote ule, ambao hapo mwanzo waliwaajiri kama wachunga ng'ombe wao na wafanyakazi wa ndani.