Kwenye nchi yenye ardhi, mabonde, mito na maziwa kibao bila kusahau bahari. Inakuwaje hatujitoshelezi kwa sukari?
Hiki chama ni kipi inajivunia kwa miaka zaidi ya 60?
Sukari!! Aibu naona mimi.
Bora kuzaliwa mende Ulaya kuliko kuwa mtanzania chini ya CCM.
Hiki chama ni kipi inajivunia kwa miaka zaidi ya 60?
Sukari!! Aibu naona mimi.
Bora kuzaliwa mende Ulaya kuliko kuwa mtanzania chini ya CCM.