Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Binafsi siwezi kumlaumu Bashite bali lawama zangu ni kwa ccm.
Bashite huyu aliyakataliwa na dunia kuingia kwenye nchi zao,
Kwa madhambi aliyo tenda.
Lkn kwa ccm leo anaonekana shujaa kwa kupewa magari mengi kwenye msafara wake.
Tunawaomba wana ccm kwanza watupatie wasifu wa huyu Bashite.
Bashite huyu aliyakataliwa na dunia kuingia kwenye nchi zao,
Kwa madhambi aliyo tenda.
Lkn kwa ccm leo anaonekana shujaa kwa kupewa magari mengi kwenye msafara wake.
Tunawaomba wana ccm kwanza watupatie wasifu wa huyu Bashite.