HUSSEN KAMBI
Senior Member
- Dec 4, 2023
- 196
- 250
Ifikapo 2021 Tanzania tutakua na umeme wakutosha na mpaka mwengine tutauza nje ya nchi alisikika kiongozi mmoja akisema hivyo lakini leo 2024 umeme unakatika kuanzia. Saa 12 asubuhi mpaka saa sita usiku