Tatizo la madereva siyo pasipoti bali gharama kubwa za vibali Zambia wanapotumia pasipoti za vitabu.

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
876
4,101
Nimeona Makonda akisema madereva wapatiwe pasipoti kwa gharama za Mhe. Rais nikashtuka sana kwamba nchi ina viongoz wasiojua tatizo la watu wake

Nchi ya Zambia ukiingia kama dereva kwa kutumia pasipoti kubwa ya Tanzania unalipishwa zaidi ya milioni moja kama gharama za vibali. Hii kero hata Mh. Rais aliikuta Zambia.

Lengo la Zambia nikuwakwamisha madereva wa Tanzania wasiingie Zambia ili RAIA wa Zambia wawe wanafanya kazi za udereva kuchukua mizigo Tanzania.

Madereva wetu kwa kujua tatizo lilipo wamekuwa wakitumia pasipoti za muda mfupi ambazo ukiingia Zambia hata mara kumi hakuna gharama za ziada.

Kwa mtu anayefanya biashara na Zambia hasa usafirishaji wa mizigo atakubaliana na mimi kwamba anachosema Makonda sicho tunacholalamikia; alipaswa aeleze ni nini Wizara ya Mambo ya nje imefanya kuondokana na changamoto hii.

Kama mnakumbuka hivi karibuni Mhe. Rais alitangaza wazambia waingie Tanzania bure wakae siku 180. Lakini hakuna Mtanzania anaweza kuishi Zambia zaidi ya siku 90 bila kukamatwa.

Wanasiasa wanapokwenda kwenye majukwaa wasipende kubeba hoja nyepesi wakaacha hoja za msingi. Kwanini madereva wasiwe wanapanga foleni kutafuta pasipoti kwenda Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na Malawi? Ni kwa sababu hizo nchi hakuna masharti magumu kwa waajiri na madereva kama Zambia.

Tukitaka kuwatetea madereva tuzungumze na serikali ya Zambia waheshimu makubaliano ya kiplomasia. Tuliona kama wao kuja Tanzania ni bora ila sisi kwenda Kwao ni kero.

Politicians fanyeni tafiti, shirikini kwenye busines mjifunze tunavyoteseka. Leo unakwenda kumpa kazi Mhe. Rais kulipa gharama za pasipoti sijui atakuwa analipishaje hayo malipo maana kila ukiomba pasipoti lazima utoe control number.......na kibaya zaidi hizi pasipoti za Tunduma ukiondoka ukarudi imeisha.
 
Kila atakachofanya Makonda lazima mkione kibaya! Kwani si alisema akiwa nao hao madereva? Au alikuwa ofisi za CCM? Wao wanao endesha hawakuona hilo?
 
Kila atakachofanya Makonda lazima mkione kibaya! Kwani si alisema akiwa nao hao madereva? Au alikuwa ofisi za CCM? Wao wanao endesha hawakuona hilo?
Una uhakika gani kama hao ni madereva? Nimeukiza kwanini mipaka mingine ya Tanzania hakuna hizi changamoto za pasipoti na madereva ni hao hao?

Tunachotaka ni wizara ya mambo ya nje kukaa na Zambia tuwe na suluhisho la kudumu. Few months tuliona foleni na kero iliyokuwa Tunduma.....kwamba ilikuwa pasipoti?

Nchi ya Zambia na Kongo zinatuonea sana sisi tunapokwenda huko kufanya biashara. Tuache mawazo ya kijamaa twende kwenye mawazo ya kibepari.....

Hakuna Dreva anakosa 150K yakulipia pasipoti. Tutafute permanent solution ya hoja ya Tz and Zambia.

Na matatizo hayo yameelezwa ila kwa sababu niyakidiplomasia hakuna wakuyasemea
 
Haya kazi kwenu Chawa sio kusifia sifia tu kama mazezeta ....wakati mwingine mchukue mambo kama haya fikisheni kwa muajiri wenu..
Mtoa hoja upo vizuri!
 
Una uhakika gani kama hao ni madereva? Nimeukiza kwanini mipaka mingine ya Tanzania hakuna hizi changamoto za pasipoti na madereva ni hao hao?

Tunachotaka ni wizara ya mambo ya nje kukaa na Zambia tuwe na suluhisho la kudumu. Few months tuliona foleni na kero iliyokuwa Tunduma.....kwamba ilikuwa pasipoti?

Nchi ya Zambia na Kongo zinatuonea sana sisi tunapokwenda huko kufanya biashara. Tuache mawazo ya kijamaa twende kwenye mawazo ya kibepari.....

Hakuna Dreva anakosa 150K yakulipia pasipoti. Tutafute permanent solution ya hoja ya Tz and Zambia.

Na matatizo hayo yameelezwa ila kwa sababu niyakidiplomasia hakuna wakuyasemea
Mkuu umeeleza vizuri achana na huyo boya hana hoja...
 
Nimeona Makonda akisema madereva wapatiwe pasipoti kwa gharama za Mhe. Rais nikashtuka sana kwamba nchi ina viongoz wasiojua tatizo la watu wake

Nchi ya Zambia ukiingia kama dereva kwa kutumia pasipoti kubwa ya Tanzania unalipishwa zaidi ya milioni moja kama gharama za vibali. Hii kero hata Mh. Rais aliikuta Zambia.

Lengo la Zambia nikuwakwamisha madereva wa Tanzania wasiingie Zambia ili RAIA wa Zambia wawe wanafanya kazi za udereva kuchukua mizigo Tanzania.

Madereva wetu kwa kujua tatizo lilipo wamekuwa wakitumia pasipoti za muda mfupi ambazo ukiingia Zambia hata mara kumi hakuna gharama za ziada.

Kwa mtu anayefanya biashara na Zambia hasa usafirishaji wa mizigo atakubaliana na mimi kwamba anachosema Makonda sicho tunacholalamikia; alipaswa aeleze ni nini Wizara ya Mambo ya nje imefanya kuondokana na changamoto hii.

Kama mnakumbuka hivi karibuni Mhe. Rais alitangaza wazambia waingie Tanzania bure wakae siku 180. Lakini hakuna Mtanzania anaweza kuishi Zambia zaidi ya siku 90 bila kukamatwa.

Wanasiasa wanapokwenda kwenye majukwaa wasipende kubeba hoja nyepesi wakaacha hoja za msingi. Kwanini madereva wasiwe wanapanga foleni kutafuta pasipoti kwenda Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na Malawi? Ni kwa sababu hizo nchi hakuna masharti magumu kwa waajiri na madereva kama Zambia.

Tukitaka kuwatetea madereva tuzungumze na serikali ya Zambia waheshimu makubaliano ya kiplomasia. Tuliona kama wao kuja Tanzania ni bora ila sisi kwenda Kwao ni kero.

Politicians fanyeni tafiti, shirikini kwenye busines mjifunze tunavyoteseka. Leo unakwenda kumpa kazi Mhe. Rais kulipa gharama za pasipoti sijui atakuwa analipishaje hayo malipo maana kila ukiomba pasipoti lazima utoe control number.......na kibaya zaidi hizi pasipoti za Tunduma ukiondoka ukarudi imeisha.
Unateseka ukiwa wapi mamaeee?

Achana na MAKONDA nyota yake imewaka
 
Kwa hiyo kosa la makonda ni kumwomba rais atoe ofa ya kuwalipia madereva passport?,mapovu yoote hayo ni kwa sababu ya hilo tu!?,
 
Hao hao Zambia hawazitaki hizo passport za karatasi za mda mfupi wanataka madereva wawe na passport za kitabu
 
Yaani wavimba macho mnachekesha sana.Mara mnaponda anachokifanya Makonda mara mje na ushauri mkiwa na maslahi kwenye anayoyatatua.
 
Kwa hiyo kosa la makonda ni kumwomba rais atoe ofa ya kuwalipia madereva passport?,mapovu yoote hayo ni kwa sababu ya hilo tu!?,
Nchi imejaaa wajinga, so Raisi awalipie pasport madereva? Hao madereva si wanalipwa mishahara? au wanafanya kazi kwa kujitolea? Hii nchi ina wajinga sana aisee napata hasira sana kuona levo ya juu ya ujinga katika taifa hili.

Passport ni sh 150,000/ hata Dereva wa toyo tu anaweza lipia achilia mbali madereva wa Malori. Siasa za kijinga sana nchi ina matatizo makubwa sana wajinga wamewekeza kwenye siasa za kijinga jinga tupu na wanakuwa sapoted na wapumbavu kama wewe.
 
Yaani wavimba macho mnachekesha sana.Mara mnaponda anachokifanya Makonda mara mje na ushauri mkiwa na maslahi kwenye anayoyatatua.
Makaonda anacheza na akiliza wa wajinga kama wewe, hakuna kitu anafanya wewe mjinga, kwa nini asipeleke hoja Bungeni na mambo yakarekebishwa? si wana idadi kubwa ya wabunge?

Hadaaa hizi huwezi zikuta kokote kule chini ya hii sayari ya Dunia zaidi ya Tanzania ilio jaaa wapumbavu.
 
Makaonda anacheza na akiliza wa wajinga kama wewe, hakuna kitu anafanya wewe mjinga, kwa nini asipeleke hoja Bungeni na mambo yakarekebishwa? si wana idadi kubwa ya wabunge?

Hadaaa hizi huwezi zikuta kokote kule chini ya hii sayari ya Dunia zaidi ya Tanzania ilio jaaa wapumbavu.
Apeleke hoja ipi wewe mvimba macho?Kero binafsi za wananchi zipelekwe bungeni?Yaani unadai pesa yako kwenye Halmshauri apeleke hoja bungeni?Umeshirikisha akili kweli?
 
Apeleke hoja ipi wewe mvimba macho?Kero binafsi za wananchi zipelekwe bungeni?Yaani unadai pesa yako kwenye Halmshauri apeleke hoja bungeni?Umeshirikisha akili kweli?
eti kero halamashauri, So inabidi awe na kazi ya kuzungukia halimashauri zote wananchi wanao dai Halimashauri? Taifa limejaa wapumbavu sana Mungu siadia sana
 
Kwanza jifunze kuandika ili watu watilie maanani unayoandika.
 
Nimeona Makonda akisema madereva wapatiwe pasipoti kwa gharama za Mhe. Rais nikashtuka sana kwamba nchi ina viongoz wasiojua tatizo la watu wake

Nchi ya Zambia ukiingia kama dereva kwa kutumia pasipoti kubwa ya Tanzania unalipishwa zaidi ya milioni moja kama gharama za vibali. Hii kero hata Mh. Rais aliikuta Zambia.

Lengo la Zambia nikuwakwamisha madereva wa Tanzania wasiingie Zambia ili RAIA wa Zambia wawe wanafanya kazi za udereva kuchukua mizigo Tanzania.

Madereva wetu kwa kujua tatizo lilipo wamekuwa wakitumia pasipoti za muda mfupi ambazo ukiingia Zambia hata mara kumi hakuna gharama za ziada.

Kwa mtu anayefanya biashara na Zambia hasa usafirishaji wa mizigo atakubaliana na mimi kwamba anachosema Makonda sicho tunacholalamikia; alipaswa aeleze ni nini Wizara ya Mambo ya nje imefanya kuondokana na changamoto hii.

Kama mnakumbuka hivi karibuni Mhe. Rais alitangaza wazambia waingie Tanzania bure wakae siku 180. Lakini hakuna Mtanzania anaweza kuishi Zambia zaidi ya siku 90 bila kukamatwa.

Wanasiasa wanapokwenda kwenye majukwaa wasipende kubeba hoja nyepesi wakaacha hoja za msingi. Kwanini madereva wasiwe wanapanga foleni kutafuta pasipoti kwenda Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na Malawi? Ni kwa sababu hizo nchi hakuna masharti magumu kwa waajiri na madereva kama Zambia.

Tukitaka kuwatetea madereva tuzungumze na serikali ya Zambia waheshimu makubaliano ya kiplomasia. Tuliona kama wao kuja Tanzania ni bora ila sisi kwenda Kwao ni kero.

Politicians fanyeni tafiti, shirikini kwenye busines mjifunze tunavyoteseka. Leo unakwenda kumpa kazi Mhe. Rais kulipa gharama za pasipoti sijui atakuwa analipishaje hayo malipo maana kila ukiomba pasipoti lazima utoe control number.......na kibaya zaidi hizi pasipoti za Tunduma ukiondoka ukarudi imeisha.
Akili hiyo ya kuzungumza mabo ya kidiplomasia anayo?
 
eti kero halamashauri, So inabidi awe na kazi ya kuzungukia halimashauri zote wananchi wanao dai Halimashauri? Taifa limejaa wapumbavu sana Mungu siadia sana
Umeelewa na kusoma ulichoandika?
 
Back
Top Bottom