Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu wana JF nimeona nishare na ninyi kile walichonieleza hawa marafiki zangu niliokutana nao South Africa kipindi nahangaikia ndoto zangu kuhusu mtazamo wao kwa aliyekuwa rais wetu JPM. Kuna...
45 Reactions
89 Replies
7K Views
Katika nchi ambayo ina wasomi wengi sana nje ya nchi, ni Kenya. Kenya wamewekeza katika elimu ambayo inajibu mahitaji ya soko la dunia, wasomi wao wanakubalika sana duniani. Katika kuenzi maisha...
5 Reactions
75 Replies
5K Views
Akiongea na Wandishi wa habari Waziri wa Afya Nassor Mazirui (ACT wazalendo) amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ipo kwenye mchakato wa kubinafsisha Hospitali zote za Zanzibar ile...
9 Reactions
123 Replies
13K Views
19 February 2024 Munich, Germany Speaking at the Munich Security Conference, Tanzania Defense Minister Stergomena Tax discusses issues facing Africa currently, and how they can be addressed...
0 Reactions
0 Replies
653 Views
Habari za usiku huu wana nzengo, kutokana na research niliyofanya kupitia sample (x) nimegundua ya kwamba Oktoba 2025 historia inaenda kuandikwa hapa Tanzania. Mama huenda ndiyo akawa raisi...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Nianze kwa kumnukuu Hayati Mwalimu Nyerere... Inapotokea vipindi vya uchaguzi wagombea wakiwa wanatafuta kura, pamoja na sera nzuri za kujiuza wanazokuwa nazo, pia huweza kutumia njia nyingine...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Kumekuwa na msuguano mkali kati ya wananchi wa Kitulila na Uongozi wa wakala wa Barabara mkoa wa Njombe. Wananchi wanapinga kusudio la Tanroad kuchepusha Barabara ya Njombe Ludewa kwenye mradi wa...
0 Reactions
1 Replies
630 Views
Kama ilivyo desturi hatuwezi kukaa kimya kuacha sinema za karne iliyopita ziendelee tena kila uchaguzi unapokaribia. Sukari adimu kwa maelezo Yao wenyewe uzalishaji ni mdogo kuliko mahitaji...
0 Reactions
2 Replies
467 Views
Hatuvumi ila tumo. Tanzania inashika namba 8 Afrika Kwa Nchi zinazotumia pesa nyingi Kwa shughuli za kijeshi yaani defence expenditures ambapo inakadiriwa kutumia takribani Shilingi Trilioni 4.5...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Nikiwa nimehathiwa historia ya uhuru na kusoma historia zilizonadikwa kuhusu uhuru wa Afrika, niligundua kuwa mipango ya kuwapatia uhuru wa’frika ilitibuliwa na watu walioitwa baadaye wapigania...
0 Reactions
3 Replies
479 Views
Nisiwe na porojo nyingi, nadhani wote mmemsikia Lissu akihojiwa kwenye kipindi cha ajenda. Naomba majibu.
18 Reactions
113 Replies
9K Views
Naona badala ya kuongea siasa kila wakati tunaweza kuelimishana kwenye mammbo muhimu hapa.Hii topic nilishawahi kuituma. Tanzania inakabiliwa na matatizo mengi ya uchumi. Moja la tatizo kubwa...
5 Reactions
35 Replies
5K Views
Hii ndio taarifa mpya ya sasa , kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania amekwishatua Jijini Mbeya , hii maana yake ni kwamba ataongoza Maandamano ya Amani ya kupinga dhiki , Ufukara na Ugumu wa...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Sababu mojawapo ya Tanzania kuwa na ajira ndogo ni riba kubwa za mikopo ya bank zetu. Imefika wakati hata Kimei ambaye alikuwa mkurugenzi wa CRDB kasema bungeni. Riba ikiwa kubwa biashara ndogo...
7 Reactions
25 Replies
4K Views
Yani kama si Mungu leo hii nusu ya Watanzania ingekua kila siku wanakimbia mijini maana hii hali khatari sana kila kukicha serikali ya CCM inatafuta ugumu wa maisha kwa watu hali ya chini kwa...
3 Reactions
11 Replies
827 Views
Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe , ametoa ujumbe Maalumu kwa Wakazi wa Mwanza kama shukrani kwa kuunga mkono Maandamano ya Amani ya kupinga Ufukara na ugumu wa maisha , pamoja na Miswada...
6 Reactions
28 Replies
2K Views
Huyu jamaa ana uelewa mkubwa sana wa mambo ya finance. Huyu jamaa ana uzoefu mkubwa kwenye industry ya uchumi. Huyu jamaa ana uelewa mkubwa juu ya uchumi hasa wa nchi inayoendelea kama Tanzania.
21 Reactions
137 Replies
12K Views
Nimemsoma Spika Dr Tulia PhD Kule X akisema Spika Sitta alikuwa wa Kasi na Viwango hivyo ndiye Spika bora lakini kumlinganisha na yeye iwe pale atakapomaliza muhula wake wa Uspika Nakubaliana...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Mtakaofanikiwa kuiona clip hiyo wakiwa Bungeni nadhani kuna haja ya kupima na kutathimini hoja ya huyo mjeshi aliyesimamishwa na Spika na kisha kupima hoja ya Spika. Kwa mtazamo wangu naona kuna...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari JF, life it's too short guys. Nimesikia Mbowe kwenye mkutano wake bila shaka ni Jijini Mwanza. Mbowe anawaambia wanachama, kwamba Chadema haina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu. Then...
19 Reactions
89 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…