1. Rais Jakaya Kikwete.
2. Dkt. Mohammed Gharib Bilal.
3. Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein.
4. Philip Mangula.
6. Balozi Seif Ali Iddi.
7. Mizengo Pinda.
8. Abdulrahman Kinana.
9...
Hii wiki Nyota ya Chadema imeng'aa sana kwani kila kikwazo kilichoibuka mbele yao Walikiruka
Tulitangaziwa Tundu Lisu angehojiwa Star tv lakini hatukumuona na badala yake Mjumbe wa CCM ndio...
Kauli ya Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu (CWT), Mwalimu Japhet Maganga wakati akizungumza na Wanahabari ofisini kwake Mkoani Dodoma, amesema “Kuna mbinu chafu zinapangwa kunidhalilisha nionekane...
Huyu Mama kuliko nimpigie kura heri nimpigie kura mwingine iharibike, Tumekuwa na Rais mwongo na mawaziri waongo waongo. Kwanza mama hakai nchini kama alivyokuwaga Kikwete tu,hawa watu wa Pwani...
Mtibeli humu aliwahi kuandika humu na nampa credit Kwa kuliona hili mapema.
Leo katika mazishi ya Mwamba wa kaskazini Mzee Lowasa kwenye wasifu wa marehemu Kwa makusudi na mpaka Sasa haijurikani...
CHALINZE YAONGOZA UKUSANYAJI MAPATO NCHINI. YATIA FORA PIA UPELEKAJI WA FEDHA NYINGI ZA MIRADI YA MAENDELEO.
Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze Mkoani Pwani inayoongozwa na Mbunge Mhe. Ridhiwani...
Halmashauri ya wilaya ya Chalinze mkoani Pwani yenye Mbunge wake Ridhiwani Kikwete, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora, leo Ijumaa Novemba 24, 2023 imetunukiwa hati ya pongezi...
Wakati wa kutoa neno la shukrani, wanafamilia wawili wa Hayati Lowassa ambao ni Richard last born na Fredrick first born walisimama kutoa shukrani zao kwa waliohusika kushikamana na familia...
1. Lema na Usaliti ni vitu viwili tofauti
2. Namuona Dalali hapo kama kuna pesa hata Lema anaweza kuwa takataka kumzidi bashite
2. Namuona Dalali hapo mtu wa kujikomba komba akidhihilisha kuwa...
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amesema mifumo mipya mitatu iliyobuniwa na kufungwa kwenye utumishi wa umma itasaidia kwa kiasi kikubwa sana kupima utendaji...
Tunapokuwa na viongozi imara kama taifa tunakuwa na uwezekano mkubwa wa kuendelea.
Moja ya kiashiria cha uongozi bora ni uwezo wa kutuunganisha tunapotofautiana.
Je, viongozi wetu wa kitaifa...
Yaliyotokea leo hatuwezi kuyarudia kuyaandika hapa , bali ni dhahiri kwamba CCM na serikali yake inamuogopa mno Freeman Mbowe ( Tunaishukuru JF na wadau wake ) , Waliosabanisha Mbowe apewe...
Malasusa hajachaguliwa na kanisa amechaguliwa na Serikali
Hakuna asiyejua Malasusa ni member wa kaunda suti kule kitengo
Safari hii amewekwa na mamlaka kuisadia Serikali na kupambana na TEC...
Sikubaliani kabisa na huyu ndugu yangu mbowe na kwa upande wangu anakosa sifa hata za kuwa mgombea wa JMT kupitia chadema. Mimi ni mwana CCM by birth , ila hotuba ya Mbowe leo, CCM wenzangu...
Tume ya Ushindani wa Haki Tanzania (FCC) imefichua kuwa Adani tayari ameshapewa dili la kuendesha kontena la bandari ya Dar es Salaam, ingawa hakuna tangazo lililotolewa na TPA.
Ununuzi huo...
🕯Salaam Wakuu🕯
1. Nyuzi zinapishana sana
2. Historia imerudi nyuma
3. Mengi yameibuka.
4. Wengi wamezungumza
5. Lakini sioni wa kumwamini
Napata picha ENL alikua mtu mkubwa sana katika siasa ya...
Kelele na uongo mwingi unaozungumzwa ni kutokana na ndoto ya watu wa kaskazini kutoa Rais wa nchi kupotea huku matumaini yao makubwa yakiwekwa kwa Lowassa ambaye kwa wakati wake alionekana ndiye...
Wanabodi,
Mimi ni mtu wa mastori mastori, yaani mimi ni orator au story teller, kuna huu msemo wa Kiswahili wa "mgeni njoo mwenyeji apone" ila kuna ugeni mwingine ni Mgeni njoo mwenyeji akome...
Kuna mkuu wa Wilaya huko Serengeti ka agıza mwanachi yoyote asie hudhuria Mikutano akamatwe apelekwe kwa nguvu Kwenye mkutano au Apeleke mwenyewe 5000 kwenye ofisi ya kijiji ana shindwa kujua...