Waziri Nassor Mazrui: Hospitali zote za Zanzibar kupewa Sekta Binafsi waziendeshe

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
12,160
20,337
Akiongea na Wandishi wa habari Waziri wa Afya Nassor Mazirui (ACT wazalendo) amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ipo kwenye mchakato wa kubinafsisha Hospitali zote za Zanzibar ile ziweze kuendeshwa na watu binafsi kuleta tija.

Ikumbukwe tayari mpango huu umeshaanza kutekelezwa hasa katika Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja, ambapo huduma zote za Maabara na Vipimo vya Mionzi na Ultrasound tayari zinasimamiwa na makampuni binafsi.

Taarifa zisizo rasmi zinaonesha Lancent Labartories Ltd ndio wanaosimamia mpango huo kwa sasa. Tangu Dr. Ali Hussein Mwinyi aingie madarakani amefanya mabadiliko makubwa katika sekta mbalimbali kisiwani humo.

Katika Sekta ya Afya amefanikiwa kujenga hospitali kubwa za rufaa za mikoa za kisasa na kuajiri idadi kubwa ya madaktari na watoa huduma wa idara mbalimbali. Idadi hiyo inakadiriwa kuwa kiwango kikubwa kuliko awamu zilizopita.

Hata hivyo Dr. Hussein Mwinyi anapongezwa kwa usimamizi mzuri wa rasilimali za umma na hivyo kuungwa mkono na Wananchi wengi.

IMG-20230727-WA0028.jpg
 
Akiongea na Wandishi wa habari Waziri wa Afya Nassor Mazirui( ACT wazalendo) amesema serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ipo kwenye mchakato wa kubinafsisha hospitali zote za zanzibar ile ziweze kuendeshwa na watu binafsi kuleta tija

Ikumbukwe tayari mpango huu umeshaanza kutekelezwa hasa ktk hospitali kuu ya Mnazi Mmoja ambapo huduma zote za Maabara na vipimo vya mionzi na Ultrasound tayari zinasimamiwa na makampuni binafsi.

Taarifa zisizo rasimi zinaonesha Lancent Labartories ltd ndio wanaosimamia mpango huo kwa sasa

Tangu Dr Ali Hussein Mwinyi aingie madarakani amefanya mabadiliko makubwa ktk sekta mbali mbali kisiwani humo.

Ktk sekta ya Afya amefanikiwa kujenga hospitali kubwa za rufa za miko za kisasa na kuajiri idadi kubwa ya madaktari na watoa huduma wa idara mbali mbali inakadiriwa kuwa kiwango kikubwa kuliko awamu zilizopita.

Hata hivyo Dr Hussein mwinyi anapongezwa kwa usimamizi mzuri wa rasilimali za umma na hivyo kuungwa mkono na Wananchi wengi.
View attachment 2700538
Bora zazibar huku serikali analipa kila mwaka zaid ya 40bn shilling hasipitali za kanisa wakati hizo hela zinatosha kijenga hospiatli za umma kibaya zaidi huo mkataba hauna kikomo.
 
Akiongea na Wandishi wa habari Waziri wa Afya Nassor Mazirui( ACT wazalendo) amesema serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ipo kwenye mchakato wa kubinafsisha hospitali zote za zanzibar ile ziweze kuendeshwa na watu binafsi kuleta tija

Ikumbukwe tayari mpango huu umeshaanza kutekelezwa hasa ktk hospitali kuu ya Mnazi Mmoja ambapo huduma zote za Maabara na vipimo vya mionzi na Ultrasound tayari zinasimamiwa na makampuni binafsi.

Taarifa zisizo rasimi zinaonesha Lancent Labartories ltd ndio wanaosimamia mpango huo kwa sasa

Tangu Dr Ali Hussein Mwinyi aingie madarakani amefanya mabadiliko makubwa ktk sekta mbali mbali kisiwani humo.

Ktk sekta ya Afya amefanikiwa kujenga hospitali kubwa za rufa za miko za kisasa na kuajiri idadi kubwa ya madaktari na watoa huduma wa idara mbali mbali inakadiriwa kuwa kiwango kikubwa kuliko awamu zilizopita.

Hata hivyo Dr Hussein mwinyi anapongezwa kwa usimamizi mzuri wa rasilimali za umma na hivyo kuungwa mkono na Wananchi wengi.
View attachment 2700538
Kama hatuwezi ni muhimu tusaidiwe na wanaoweza !!
 
Bora zazibar huku serikali analipa kila mwaka zaid ya 40bn shilling hasipitali za kanisa wakati hizo hela zinatosha kijenga hospiatli za umma kibaya zaidi huo mkataba hauna kikomo.
Sio kweli, hizo hospitali za kanisa zinatoa msaada maeneo hata yasiyo na hospitali za umma kwa bei nafuu sana sababu ya hiyo ruzuku ya serikali. Kingine zinatibu hata wasio wakristo mfano kama kule Mafia hospitali ya kanisa inatibu eneo ambalo ni 99% Muslim Sasa unategemea wakiziendesha kama private hospital, hao wananchi matibabu watayamudu?

Afya na udini wapi na wapi
 
Back
Top Bottom