Ni balozi wa Nchi gani alifukuzwa Tanzania kwa sababu aliwajua waliomshambulia Lissu?

Nisiwe na porojo nyingi , nadhani wote mmemsikia Lissu akihojiwa kwenye kipindi cha ajenda

Naomba majibu
Unaomba majibu kwa maana kwamba lissu hakutoa hayo majibu wakati anahojiwa.?

Lissu anazidi kuweka mambo hadharani.
Anazidi kuweka mambo gani hadharani wakati mtoa mada bado ana maswali.?
 
Balozi huyo anapaswa kutoa majibu haraka iwezekanavyo.

Kama kweli alifukuzwa, kwa nini asingesema alifukuzwa kwa sababu za A.B.C?

ila tunajua aliitwa huko alipotoka- kwa Lugha na sababu za kidiplomasia- na hakuwahi kutamka ama kuashiria uwepo wa Uhalifu juu ya T.L. Itoshe, inavosikika alijihusisha na Ushoga. Anyways wacha na mimi nisiongezee kwenye njama hizi.

...lakini uwezekano aliingilia sehemu asizopaswa kuingilia.

Kwa maoni yangu, Lissu anaharibu uhusiano wa Kidiplomasia.
 
Balozi huyo anapaswa kutoa majibu haraka iwezekanavyo.

Kama kweli alifukuzwa, kwa nini asingesema alifukuzwa kwa sababu za A.B.C?

ila tunajua aliitwa huko alipotoka- kwa Lugha na sababu za kidiplomasia- na hakuwahi kutamka ama kuashiria uwepo wa Uhalifu juu ya T.L. Itoshe, inavosikika alijihusisha na Ushoga. Anyways wacha na mimi nisiongezee kwenye njama hizi.

...lakini uwezekano aliingilia sehemu asizopaswa kuingilia.

Kwa maoni yangu, Lissu anaharibu uhusiano wa Kidiplomasia.
Watu wa Ubalozi hawawezi kuongea waziwazi.
Mara nyingi hata hawaambiwi sababu za kufukuzwa kwao ingawaje ni rahisi kuhisi.
 
Ni huyu hapa
IMG_9970.jpeg
 
Watu wa Ubalozi hawawezi kuongea waziwazi.
Mara nyingi hata hawaambiwi sababu za kufukuzwa kwao ingawaje ni rahisi kuhisi.
Ni kweli hawawezi kuongelea suala hilo hadharani.

Lakini, T.L ameamsha dude(stirring up diplomatic waters) na yanaweza kusaidia uhusiano wetu au kuuharibu. Yote yatetegemea na uzito wa suala hilo.

Kuna Uzito.

Tuone bwana January ata respond vipi au EU wata respond vipi.

Balozi anaweza, sambamba na Mh. Waziri ku 'clarify or refute' Tione!
 
..kuna Mama toka Afrika Magharibi alikuwa UN naye alifukuzwa.

..labda tuangalie kama muda aliofukuzwa ni kabla au baada ya shambulizi la Tundu Lissu.

..lakini kama ni Lissu ametonywa na watu wa Ubalozi basi uwezekano wa taarifa hizo kuwa za kweli ni mkubwa sana.
 
Ni kweli hawawezi kuongelea suala hilo hadharani.

Lakini, T.L ameamsha dude(stirring up diplomatic waters) na yanaweza kusaidia uhusiano wetu au kuuharibu. Yote yatetegemea na uzito wa suala hilo.

Kuna Uzito.

Tuone bwana January ata respond vipi au EU wata respond vipi.

Balozi anaweza, sambamba na Mh. Waziri ku 'clarify or refute' Tione!
Lisu mzee wa kiki kuliko siasa baada ya kutangaza sera na kuelezea mapungufu ya serikali ya awamu ya Tano yeye ameng'ang'ana na mambo ya mwaka 47.

Suala la umeme kwa Sasa lilopofikia linatosha kuiangusha serikali ya awamu ya sita hata Sasa achilia mbali uchaguzi wa mwakani
 
Back
Top Bottom