Sababu mojawapo ya Tanzania kuwa na ajira ndogo ni riba kubwa za mikopo ya bank zetu. Imefika wakati hata Kimei ambaye alikuwa mkurugenzi wa CRDB kasema bungeni.
Niongezee tu
Nilikuwa naulizia mkopo kwenye bank inaitwa Equity Bank wakaniambia riba kwa diaspora ni 17% kwa Tsh na 9% kwa $$. Nimenunua gari mwaka jana nimepata riba ya 4.5% na wamenipa miaka 7. Kwasasa nilikuwa naulizia mkopo wa kujenga apartment.
Riba ni tatizo kubwa sana sitaweza kuchukuwa mkopo wa 17% au 9% kwa $$$ ni juu sana
- Riba ikiwa kubwa biashara ndogo ndogo hazitaweza kukopa hivyo haziwezi kuwekeza kwenye ukuaji wa biashara. Hii inasababisha ajira ndogo na kodi ndogo
- Riba kubwa zinaongeza gharama za uzalishaji na uuzaji wa vitu. Mfanyabiashara inabidi aongezee gharama za bank kwenye maligafi anazotaka kuuza na kusababisha malighafi kuwa na gharama kubwa na kushidwa kabisa kushindana na malighafi za nchi ambazo wana riba ndogo
Niongezee tu
Nilikuwa naulizia mkopo kwenye bank inaitwa Equity Bank wakaniambia riba kwa diaspora ni 17% kwa Tsh na 9% kwa $$. Nimenunua gari mwaka jana nimepata riba ya 4.5% na wamenipa miaka 7. Kwasasa nilikuwa naulizia mkopo wa kujenga apartment.
Riba ni tatizo kubwa sana sitaweza kuchukuwa mkopo wa 17% au 9% kwa $$$ ni juu sana