Nikiwa nimehathiwa historia ya uhuru na kusoma historia zilizonadikwa kuhusu uhuru wa Afrika, niligundua kuwa mipango ya kuwapatia uhuru wa’frika ilitibuliwa na watu walioitwa baadaye wapigania uhuru.
Suala la kutoa uhuru lilianza kwa wazungu wenyewe na mikakati ya namna ya kutoa uhuru walipanga wao. Viongozi wetu wa wakati huo walialikwa kwenye vikao vya uhuru kwenye nchi za wazungu.
Ila mpango ule wa wazungu wa namna ya kukabidhi madaraka ya uongozi uliingia dosari baada ya viongozi wa kipindi hicho kutaka mamlaka kamili ikiwemo kuendesha uchumi na elimu.
Huo ndiyo ukawa mwanza wa Afrika isiyoeleweka. Haijui inaenda wapi. Hadi leo hii tarehe 19 Feb 2024, Afrika bado haina muelekeo.
Kipi kifanyike kuikomboa Afrika kwenye hili balaa la ukosefu wa uongozi wenye malengo ya maendeleo?
Suala la kutoa uhuru lilianza kwa wazungu wenyewe na mikakati ya namna ya kutoa uhuru walipanga wao. Viongozi wetu wa wakati huo walialikwa kwenye vikao vya uhuru kwenye nchi za wazungu.
Ila mpango ule wa wazungu wa namna ya kukabidhi madaraka ya uongozi uliingia dosari baada ya viongozi wa kipindi hicho kutaka mamlaka kamili ikiwemo kuendesha uchumi na elimu.
Huo ndiyo ukawa mwanza wa Afrika isiyoeleweka. Haijui inaenda wapi. Hadi leo hii tarehe 19 Feb 2024, Afrika bado haina muelekeo.
Kipi kifanyike kuikomboa Afrika kwenye hili balaa la ukosefu wa uongozi wenye malengo ya maendeleo?