Nchi 10 Zenye Bajeti Kubwa ya Jeshi Afrika, Tanzania ni namba 8

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,110
49,825
Hatuvumi ila tumo.

Tanzania inashika namba 8 Afrika Kwa Nchi zinazotumia pesa nyingi Kwa shughuli za kijeshi yaani defence expenditures ambapo inakadiriwa kutumia takribani Shilingi Trilioni 4.5 ($1.8bln).

Kiufupi hiyo ni Bajeti Kubwa sana ya Ulinzi kulingana na geopolitics ya eneo letu kiusalama.

View: https://twitter.com/east_facts/status/1759242700346229168?t=Zm6xL-DnpoKHDY7hZA0Vwg&s=19

Swali.
1. Kunani Algeria? Haina mahala Kwa Kupeleka pesa au?

2. Botswana yenye watu wasiozidi mil. 2 na isiyokuwa na matishio yeyote kiusalama kwanini inatumia pesa nyingi kiasi hicho?
 
Hatuvumi ila tumo.

Tanzania inashika namba 8 Afrika Kwa Nchi zinazotumia pesa nyingi Kwa shughuli za kijeshi yaani defence expenditures ambapo inakadiriwa kutumia takribani Shilingi Trilioni 4.5 ($1.8bln).

Kiufupi hiyo ni Bajeti Kubwa sana ya Ulinzi kulingana na geopolitics ya eneo letu kiusalama.
Katika mazingira ya kisiasa ya Tanzania ya sasa hivi, bajeti kubwa ya jeshi sio jambo la kushangaza. Kwa mfano, ulijiuliza kwa nini wakati wa vuguvugu kali nchini juu ya bandari kupewa DP World, wakuu wa jeshi wote wastaafu walinunuliwa Land Cruser brand new kabisa? Unafikiri it was just a coincidence?
 
Hatuvumi ila tumo.

Tanzania inashika namba 8 Afrika Kwa Nchi zinazotumia pesa nyingi Kwa shughuli za kijeshi yaani defence expenditures ambapo inakadiriwa kutumia takribani Shilingi Trilioni 4.5 ($1.8bln).

Kiufupi hiyo ni Bajeti Kubwa sana ya Ulinzi kulingana na geopolitics ya eneo letu kiusalama.

View: https://twitter.com/east_facts/status/1759242700346229168?t=Zm6xL-DnpoKHDY7hZA0Vwg&s=19

Swali.
1. Kunani Algeria? Haina mahala Kwa Kupeleka pesa au?

2. Botswana yenye watu wasiozidi mil. 2 na isiyokuwa na matishio yeyote kiusalama kwanini inatumia pesa nyingi kiasi hicho?

Sie wa tz hatujui bajeti ya jeshi letu, hao wamejulia wapi?
 
Back
Top Bottom