Tusizungumze mengi sana twende tu moja kwa moja kwenye pointi ninayotaka kusema.
1. Paul Makonda elimu yake inatiliwa mashaka.
2. Paul Makonda alifanya mambo yasiyo na weledi wa kiuongozi alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar, mojawapo ni kuvamia kituo na redio cha Clounds FM, kuwaweka chini ya ulizi watangazaji, na kukifungia bila kufuata utaratibu.
3. Huyu mtu aliwahi kupigwa ban kuingia Marekani kwasababau ya rekodi yake mbaya ya haki za binadamu
4. Paul Makonda amewatukana na kuwakejeli watu wengi
5. Makonda amekuwa mropokaji mkubwa, asiye na tahadhari katika matamshi yake
6. Makonda hata Magufuli mwenyewe alimtupa baada ya kuona hafai akamwondoa ukuu wa mkoa
7. Ndio huyu Makonda aliyeibua matamshi yenye hisia za kikabila wakati wa kifo cha Reginald Mengi
8. Makonda amehusishwa na kashfa la makontena 20 bandarini wakati wa Magufuli na kuwekwa kando
9. Makonda amewahi kuonekana akitaka kumpiga waziri mkuu mstaafu Joseph Sinde Warioba katika picha
10. Ni huyu Makonda hata baada ya kuwa mwenezi wa CCM ameonekana akiwapangia majukumu kuanzia waziri mkuu, mawaziri na wakuu wengine wa nchi na akiamini kuwa ana uwezo wa kufanya hivyo
11. Makonda sio tu kwamba ana majivuno, dharau, roho mbaya na uchongezi, bali ni mtu mwenye ujinga mkubwa huku akiamini kuwa ndio bora zaidi ya kila mtu.
12. Makonda amehusishwa na kuteswa na kupotea kwa watu wengi nchini wakati wa Magufuli na anahusishwa kwa karibu na nusu kifo cha Tundu Lissu.
Binafsi namchukulia Makonda kama kipimo cha ujinga wa wakuu wake na ishara kuwa chama tawala kimedhamiria kufanya siasa chafu zisizo na manufaa kwa watanzania kwa kupitia Makonda.
1. Paul Makonda elimu yake inatiliwa mashaka.
2. Paul Makonda alifanya mambo yasiyo na weledi wa kiuongozi alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar, mojawapo ni kuvamia kituo na redio cha Clounds FM, kuwaweka chini ya ulizi watangazaji, na kukifungia bila kufuata utaratibu.
3. Huyu mtu aliwahi kupigwa ban kuingia Marekani kwasababau ya rekodi yake mbaya ya haki za binadamu
4. Paul Makonda amewatukana na kuwakejeli watu wengi
5. Makonda amekuwa mropokaji mkubwa, asiye na tahadhari katika matamshi yake
6. Makonda hata Magufuli mwenyewe alimtupa baada ya kuona hafai akamwondoa ukuu wa mkoa
7. Ndio huyu Makonda aliyeibua matamshi yenye hisia za kikabila wakati wa kifo cha Reginald Mengi
8. Makonda amehusishwa na kashfa la makontena 20 bandarini wakati wa Magufuli na kuwekwa kando
9. Makonda amewahi kuonekana akitaka kumpiga waziri mkuu mstaafu Joseph Sinde Warioba katika picha
10. Ni huyu Makonda hata baada ya kuwa mwenezi wa CCM ameonekana akiwapangia majukumu kuanzia waziri mkuu, mawaziri na wakuu wengine wa nchi na akiamini kuwa ana uwezo wa kufanya hivyo
11. Makonda sio tu kwamba ana majivuno, dharau, roho mbaya na uchongezi, bali ni mtu mwenye ujinga mkubwa huku akiamini kuwa ndio bora zaidi ya kila mtu.
12. Makonda amehusishwa na kuteswa na kupotea kwa watu wengi nchini wakati wa Magufuli na anahusishwa kwa karibu na nusu kifo cha Tundu Lissu.
Binafsi namchukulia Makonda kama kipimo cha ujinga wa wakuu wake na ishara kuwa chama tawala kimedhamiria kufanya siasa chafu zisizo na manufaa kwa watanzania kwa kupitia Makonda.