Chalamila kuwa makini sana na kujiingiza kwenye mambo marefu kuliko wewe. Kwenye hili la maamndanano kaa pembeni hizi sio zama za Magufuli.
Hizi ni zama za uwekezaji, watalii, majirani kutumia...
Wanaccm wote wamesema kuanzisha Shule za Kata ni Ubunifu wa Lowasa
Basi tumuenzi kwa kuziita Shule za Lowasa
Kwa mfano
Shule ya Lowasa Mtakuja Kunduchi
Edward Ngoyai Lowasa ameondoka. Yuko mahali salama pasipo na mgao wa umeme wala usanii wa treni za umeme. Amepumzika baada ya kazi ngumu. Anapokufa mtu mzito kama Lowassa, kuna makundi matatu...
Habari wanaJF,
Watu 14 wanaodhaniwa kuwa Raia wa Burundi wamekamatwa nyumbani kwa Mbunge wa Jimbo la Kiteto, Manyara wakiwa wanafanyakazi kwa Mbunge huyo.
Moja kwa moja kwenye mada.
Hatimaye Beberu USA ameirejesha tena Tanzania kwenye mpango wa kufaidi pesa za ruzuku(grants) kupitia programu ya "Millennium Challenge Corporation" -MCC ambapo...
Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.
Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema...
Maandamano DSM ilikuwa hususani kupinga miswada ya sheria ya uchaguzi kuendelea bungeni lakini iliendelea.
Mwanza CHADEMA 15/2/2024 tunaandama kwa lipi?
Hello mwanaJF kila ninapopata nafasi nitakujuza mambo ya hovyo ambayo hufanyika serikalini na wengi wetu hatufahamu. Wengi tunafahamu zaidi kuhusu matokeo na sio chanzo.
Wengi wetu hudhani kwamba...
Mwaka 2015 ulikuwa mwaka wa uchaguzi hapa Tanzania.
Wagombea walikuwa ni wengi lakini wakubwa walikuwa ni MH Lowasa na Magufuli. Nilishangazwa sana na kauli za mh Kikwete kuwa CCM Wana uhakika wa...
Rais mstaafu Jakaya Kikwete kwenye shughuli ya kuaga mwili wa hayati Edward Lowassa kwenye viwanja vya Karimjee,
“TUMSHUKURU Mwenyezi Mungu kwa muda aliotupatia wa kuishi na kuhudumiwa na ndugu...
Kwa muda mrefu watanzania wamekuwa wakipiga kelele kuhusu mkataba unaoitwa wa kinyonyaji wa Richmond.lakini jambo la kushangaza ni kuwa Tanesco imeingia mikataba ya kinyonyaji mingi tu na mingine...
Ni katika kuitafuta haki, kuondoa fitina, majungu au habari zisizo na mshiko na za kusadikikasadikika.
1. Ufisadi wa Richmond ukoje? Je tunaupembua kama rushwa, kukiukwa sheria & taratibu za...
Habari zenu wanaJF wenzangu
Kwanza natoa pole kwa familia ya mzee wetu hayati Edward Lowasa kwa kuondokewa na kipenzi chao, natoa pole pia kwa watanzania wenzangu kwa kuondokewa na aliewahi kuwa...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema mh Boniface Jacob amesema msafara mkubwa sana wa Viongozi na Wanachama wa Chadema uko njiani kuelekea Mwanza tayari kabisa kwa Maandamano ya kesho
Picha zitawajia...
Wakuu heshima kwenu.
Poleni na msiba mkubwa sana wa kitaifa wenye historia kubwa hapa JamiiForums. Nipende kuwakumbusha kuwa akiwa ziarani Iringa ndugu Makonda alikutana na KERO ya wafanyakazi...
Asalaaam Aleykum Warrahmatullahi Wabarakattuhu.
Ndugu Wa Tanzania.
Ndege ya Rais Ndugu John Pombe Magufuli imetinga Geneva Uswisi masaa 24 yaliyopita.
Commander in Chief (NDUGU MAGUFULI) kama...
Rais amefanya teuzi zifuatazo:
1. Dkt. Thomas Nestory Bwana kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI)
Kabla ya uteuzi huu Dkt. Bwana alikuwa Mkurugenzi Msaidizi...
Tofauti na zamani nilivyokuwa nadhani nimekuja kugundua kuwa wanasiasa wa Tanzania nao wanakariri maisha kama vile mwanafunzi wa kidato cha kwanza anavyokariri masomo shuleni. Ni wazi kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.