Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Narudia tena ni mtu mjinga tu anayeamini Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM au yule Mgombea uRais wa Zanzibar kupitia CCM anaweza Kushindwa Uchaguzi kwa Katiba ya sasa. Chadema mlimkosea sana Dr...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Ahmed Shabiby ameitaka Serikali kutafuta dola bila kujali watu watasema nini, Shabibi amesema ingekuwa ni yeye angekopa dola bilioni moja kukabiliana na uhaba wa dola nchini na kuziingiza kwenye...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Naona tangu itoke taarifa ya kunyofolewa kilemba cha ubalozi Dkt. Slaa wengi wamekuja na stori nyiingi kama kuna kosa kubwa limefanyika, kama Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema hukupa uhai ikafikia...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Dr Wilbroad Slaa ni mpinzani wa siku nyingi, toka kuanzishwa siasa za vyama vingi. Dr Slaa ni kama yule mchezaji katika timu, si wa kutegemewa sana, lakini anaweza kutokea nyuma na kufunga goli la...
29 Reactions
70 Replies
6K Views
Za asubuhi wanaJF, Naangalia taarifa ya habari ITV asubuhi hii naona taarifa inasomwa na msemaji wa jeshi la polisi akieleza kuhusu kikao cha tathmini cha utendaji wa polisi kuanzia Sept 4 hadi 7...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hayo ndio maneno ya VP Mpango wakati akitoa neno la salamu kwenye uapisho. Awali Rais Samia alisema mabadiliko aliyoyafanya sio adhabu Bali kuongeza Ufanisi kwani ni mabadiliko ya kawaida. ----...
1 Reactions
69 Replies
5K Views
Nadhani tunakoelekea hali itakuwa mbaya zaidi Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Wajukuu zetu Watafukua Makaburi ya Viongozi wa CCM na kuwapiga Marungu kwa jinsi Uongozi wao ulivyoiangamiza...
0 Reactions
1 Replies
263 Views
Laughing stock of the world. Kituko cha dunia. Jinsi Muafrika asivyojijali, asivyojiheshimu, asivyojipenda, asivyo na upeo. Rais aliyepita alisema mkimkamata mtu wetu huko duniani na madawa...
14 Reactions
24 Replies
3K Views
Kwa kuwa mamlaka zina ushahidi kwamba Dk. Slaa amefanya uhaini, ili kulinda hadhi ya cheo na utambulisho wa "balozi" nashauri Dk. Slaa avuliwe hadhi hiyo ambayo Ina heshma sana katika nchi hii...
13 Reactions
13 Replies
3K Views
Leo Dkt . Slaa amevuliwa hadhi ya Ubalozi na Rais wa JMT, Samia Suluhu. Dkt. Slaa anaingia katika orodha ya viongozi wengine waliovuliwa hadhi ya Ubalozi. Katika kumbukumbu zangu nakumbuka...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Mobutu Seseko wa Zaire alikufa kifo chenye fedheha na kisichofaa hata kidogo maana pamoja na kushirikiana ma wezi wa rasilimali za Wazaire sasa Drc alifia ugenini na bila heshima yoyote. Hii ni...
9 Reactions
11 Replies
910 Views
DIASPORA MLIOPATA URAIA WA NCHI ZA MAGHARIBI ACHENI KUICHAFUA TANZANIA Anaandika Chigaitan kutoka KIVU DRC. No, No, sisi sote ni Watanzania hatuna taifa jingine zaidi ya Tanzania, acheni...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa uchungu mkubwa na kwa maumivu makali ya upendo kwa Watanzania, Rais Samia ameonyesha namna ambavyo hapendi kuona wala kusikia wala kukuta Watanzania wanyonge wakiteswa...
7 Reactions
124 Replies
7K Views
Dkt. Slaa ameongea na mwananchi baada kuondolewa hadhi ya ubalozi, Slaa amesema taarifa hizo nae ameziona kwenye mtandao lakini hajutii chochote na nchi alizotumikia wanajua walikuwa na balozi wa...
16 Reactions
73 Replies
6K Views
Habari zenu, Siku za hivi karibuni Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan alifanya mabadiliko ya mabalozi wa Tanzania katika nchi mbalimbali. Kati ya taarifa iliyonishitua ni ya balozi Mbwelwa...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Nimemsikiliza Rais wakati akiwaapisha mawaziri ukweli ni kwamba kuwaza kuwa na uchaguzi kama wa 2020 kwa Rais huyu mwenye ushawishi kidogo au wa wastani ni kutaka kuleta fujo nchini. Wakati...
2 Reactions
9 Replies
805 Views
Wanajamvi Salam, Katika siasa hakuna kinachoweza kutokea kwa bahati mbaya. Kila jambo katika siasa hubuniwa na wabobezi na kupangwa kwa ustadi mkubwa kupindukia, na halafu huchakatwa kwa...
5 Reactions
31 Replies
3K Views
Katika awamu zote zilizopita tulishuhudia mawaziri waliojizolea sifa na kukubalika na wananchi zaidi. Kiasi ambacho ilifika mahali wakaonekana tishio kwa wakubwa zao. Mfano tu unaweza kuongezea...
6 Reactions
37 Replies
2K Views
Ni wazo tu. Tujaribu kuwaza kwa pamoja kwenye siasa za Tanzania. Rais Dkt. Samia ni Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ambapo kwa mujibu wa Katiba Yao wanasema Rais akianA awamu ya kwanza sharti...
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Huyu Dk. Slaa kipindi cha JPM alipokuwa balozi alibadilika sana na kukana kila kitu alichokuwa akikipigia debe alipokuwa upinzani Kwanza alidai mikutano ya hadhara ni sahihi kufungiwa sababu...
38 Reactions
88 Replies
4K Views
Back
Top Bottom