Dr. Slaa aunga mkono Hotuba ya Lissu, asema Chakula kwa Wananchi ni muhimu zaidi kuliko mambo mengine

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,373
217,433
Wilbroad Slaa ambaye aliwahi kuwa kiongozi wa Chadema kabla ya kurejea CCM, ameisifu hotuba ya Tundu Lissu aliyoitoa Temeke huku akidai kwamba imegusa penyewe hasa.

Amedai kwamba kitendo cha Lissu kuzungumzia ugumu wa maisha na kupanda kwa bei za vyakula kwa kiwango cha kutisha kama bei za sasa ni jambo la muhimu sana , ambalo linagusa jamii yote ya Kitanzania wakiwemo Polisi , ambao amesema hawana masoko binafsi ya kununua mahitaji yao ya vyakula , bei ikipanda hata polisi wanasota , amesema kwamba bila wananchi kushiba huwezi kuwaeleza kuhusu SGR wala Madaraja maana hawatakuelewa .

Dr Slaa pia amesifu muunganiko wa Hotuba ya Lissu na Mbowe na hasa baada ya Mbowe kurudisha suala la Katiba kwa wananchi kwa kutaka wajiorodheshe kwa majina yao kwa kila mtaa .

Amesifu lugha iliyotumika kwenye Hotuba hiyo , akidai kwamba ni lugha ngumu ambayo ilibidi kutumika ili kufikisha ujumbe , japo amedai pamoja na ugumu wake hakuna maadili yaliyokiukwa

Kwa ujumla Dr Slaa ameona fyucha ya Chadema katika mtazamo Chanya , ambao anasema kuna dalili ya Chama hicho kutwaa madaraka 2025

TOA MAONI YAKO
 
Maoni yangu ni kwamba anapiga hodi kimkakati baada ya kuona amexhuja na watu hawana mpango nae tena. Pia amedhihirisha ukunguru wake kwani vyama vya upinzani vilipobanwa aliufyata na kuunga mkono juhudi, akashadadia kesi ya Mbowe napo hakupata uungwaji mkono hata kutoka ccm. Sasa anatafuta mlango wa uani arudi CDM.
 
Maoni yangu ni kwamba anapiga hodi kimkakati baada ya kuona amexhuja na watu hawana mpango nae tena. Pia amedhihirisha ukunguru wake kwani vyama vya upinzani vilipobanwa aliufyata na kuunga mkono juhudi, akashadadia kesi ya Mbowe napo hakupata uungwaji mkono hata kutoka ccm. Sasa anatafuta mlango wa uani arudi CDM.
Balozi mstaafu atafata nini Chadema? Mihogo?!!!
 
Tumia akili acha kutumia makanyagio
Maoni yangu ni kwamba anapiga hodi kimkakati baada ya kuona amexhuja na watu hawana mpango nae tena. Pia amedhihirisha ukunguru wake kwani vyama vya upinzani vilipobanwa aliufyata na kuunga mkono juhudi, akashadadia kesi ya Mbowe napo hakupata uungwaji mkono hata kutoka ccm. Sasa anatafuta mlango wa uani arudi CDM.
 
Wilbroad Slaa ambaye aliwahi kuwa kiongozi wa Chadema kabla ya kurejea CCM, ameisifu hotuba ya Tundu Lissu aliyoitoa Temeke huku akidai kwamba imegusa penyewe hasa.

Amedai kwamba kitendo cha Lissu kuzungumzia ugumu wa maisha na kupanda kwa bei za vyakula kwa kiwango cha kutisha kama bei za sasa ni jambo la muhimu sana , ambalo linagusa jamii yote ya Kitanzania wakiwemo Polisi , ambao amesema hawana masoko binafsi ya kununua mahitaji yao ya vyakula , bei ikipanda hata polisi wanasota , amesema kwamba bila wananchi kushiba huwezi kuwaeleza kuhusu SGR wala Madaraja maana hawatakuelewa .

Dr Slaa pia amesifu muunganiko wa Hotuba ya Lissu na Mbowe na hasa baada ya Mbowe kurudisha suala la Katiba kwa wananchi kwa kutaka wajiorodheshe kwa majina yao kwa kila mtaa .

Amesifu lugha iliyotumika kwenye Hotuba hiyo , akidai kwamba ni lugha ngumu ambayo ilibidi kutumika ili kufikisha ujumbe , japo amedai pamoja na ugumu wake hakuna maadili yaliyokiukwa

Kwa ujumla Dr Slaa ameona fyucha ya Chadema katika mtazamo Chanya , ambao anasema kuna dalili ya Chama hicho kutwaa madaraka 2025

TOA MAONI YAKO
Kwa ujumla Dr Slaa ameona fyucha ya Chadema katika mtazamo Chanya , ambao anasema kuna dalili ya Chama hicho kutwaa madaraka 2025

Huyu mzee haaminiki tena! Kile kitendo alichofanya 2015 kimemtia doa lisilofutika hadi kifo
 
Wilbroad Slaa ambaye aliwahi kuwa kiongozi wa Chadema kabla ya kurejea CCM, ameisifu hotuba ya Tundu Lissu aliyoitoa Temeke huku akidai kwamba imegusa penyewe hasa.

Amedai kwamba kitendo cha Lissu kuzungumzia ugumu wa maisha na kupanda kwa bei za vyakula kwa kiwango cha kutisha kama bei za sasa ni jambo la muhimu sana , ambalo linagusa jamii yote ya Kitanzania wakiwemo Polisi , ambao amesema hawana masoko binafsi ya kununua mahitaji yao ya vyakula , bei ikipanda hata polisi wanasota , amesema kwamba bila wananchi kushiba huwezi kuwaeleza kuhusu SGR wala Madaraja maana hawatakuelewa .

Dr Slaa pia amesifu muunganiko wa Hotuba ya Lissu na Mbowe na hasa baada ya Mbowe kurudisha suala la Katiba kwa wananchi kwa kutaka wajiorodheshe kwa majina yao kwa kila mtaa .

Amesifu lugha iliyotumika kwenye Hotuba hiyo , akidai kwamba ni lugha ngumu ambayo ilibidi kutumika ili kufikisha ujumbe , japo amedai pamoja na ugumu wake hakuna maadili yaliyokiukwa

Kwa ujumla Dr Slaa ameona fyucha ya Chadema katika mtazamo Chanya , ambao anasema kuna dalili ya Chama hicho kutwaa madaraka 2025

TOA MAONI YAKO
Huyu anatafuta njia ya kurudi chadema ila kwa taarifa yake hatutampokea, abaki hukohuko asitusumbue kabisa mchumia tumbo wa kiwango cha lami
 
Kwa ujumla Dr Slaa ameona fyucha ya Chadema katika mtazamo Chanya , ambao anasema kuna dalili ya Chama hicho kutwaa madaraka 2025

Huyu mzee haaminiki tena! Kile kitendo alichofanya 2015 kimemtia doa lisilofutika hadi kifo
Ndio maana tumeomba maoni yenu wadau
 
Kwa ujumla Dr Slaa ameona fyucha ya Chadema katika mtazamo Chanya , ambao anasema kuna dalili ya Chama hicho kutwaa madaraka 2025

Huyu mzee haaminiki tena! Kile kitendo alichofanya 2015 kimemtia doa lisilofutika hadi kifo
Kutwaa madaraka labda mpaka 2520.
 
Wilbroad Slaa ambaye aliwahi kuwa kiongozi wa Chadema kabla ya kurejea CCM, ameisifu hotuba ya Tundu Lissu aliyoitoa Temeke huku akidai kwamba imegusa penyewe hasa.

Amedai kwamba kitendo cha Lissu kuzungumzia ugumu wa maisha na kupanda kwa bei za vyakula kwa kiwango cha kutisha kama bei za sasa ni jambo la muhimu sana , ambalo linagusa jamii yote ya Kitanzania wakiwemo Polisi , ambao amesema hawana masoko binafsi ya kununua mahitaji yao ya vyakula , bei ikipanda hata polisi wanasota , amesema kwamba bila wananchi kushiba huwezi kuwaeleza kuhusu SGR wala Madaraja maana hawatakuelewa .

Dr Slaa pia amesifu muunganiko wa Hotuba ya Lissu na Mbowe na hasa baada ya Mbowe kurudisha suala la Katiba kwa wananchi kwa kutaka wajiorodheshe kwa majina yao kwa kila mtaa .

Amesifu lugha iliyotumika kwenye Hotuba hiyo , akidai kwamba ni lugha ngumu ambayo ilibidi kutumika ili kufikisha ujumbe , japo amedai pamoja na ugumu wake hakuna maadili yaliyokiukwa

Kwa ujumla Dr Slaa ameona fyucha ya Chadema katika mtazamo Chanya , ambao anasema kuna dalili ya Chama hicho kutwaa madaraka 2025

TOA MAONI YAKO
Ni hatua njema nchi hii inahitaji watu wenye uthubutu kuikomboa. Kuvunjika kwa koleo si mwisho wa uhunzi.
 
Back
Top Bottom