RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,719
- 4,241
Katibu mwenezi Wa CCM amewatolea uvivu watu wanafiki wanaojifanya kuwa walikuwa karibu na Lowassa huku wakati anaumwa hakuna aliyefika hata hospitali kumjulia Hali.
Amenena maneno hayo akiwa ziarani mkoani Mtwara katika shughuli za chama.
Amesema kwamba yeye hamungunyi maneno na kweli itakuweka huru kwamba badhi ya watanzania ni wanafiki hasa wale waliokuwa na ukaribu na kiongozi huyo enzi za uhai wake.
"Tuache unafiki kuna wengine wanajiita marafiki wa Lowassa na hawakwenda kumuona halafu baada ya kufariki wanajifanya wao marafiki zake lakini hawakujitokeza waache kumsemea mtu mazuri baada ya kufa"
Amenena maneno hayo akiwa ziarani mkoani Mtwara katika shughuli za chama.
Amesema kwamba yeye hamungunyi maneno na kweli itakuweka huru kwamba badhi ya watanzania ni wanafiki hasa wale waliokuwa na ukaribu na kiongozi huyo enzi za uhai wake.
"Tuache unafiki kuna wengine wanajiita marafiki wa Lowassa na hawakwenda kumuona halafu baada ya kufariki wanajifanya wao marafiki zake lakini hawakujitokeza waache kumsemea mtu mazuri baada ya kufa"