johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,028
- 142,079
Rais Samia ni yule yule mama mwenye Upendo, Muungwana, mnyenyekevu na Mwenye Huruma
Ni Kiongozi pekee wa Serikali aliyekwenda kumjulia hali mh Tundu Lisu kule Nairobi baada ya kupigwa risasi
Ni Kiongozi pekee wa Serikali aliyesifiwa na familia ya nguli wa Siasa nchini kwa kumsaidia kwa karibu sana Mpendwa Wetu Edward wakati akiwa mgonjwa
Katika Hili niko na Fred Lowasa kwa asilimia mia
Nawatakieni Jumatano ya Majivu Yenye Baraka 😄
Ni Kiongozi pekee wa Serikali aliyekwenda kumjulia hali mh Tundu Lisu kule Nairobi baada ya kupigwa risasi
Ni Kiongozi pekee wa Serikali aliyesifiwa na familia ya nguli wa Siasa nchini kwa kumsaidia kwa karibu sana Mpendwa Wetu Edward wakati akiwa mgonjwa
Katika Hili niko na Fred Lowasa kwa asilimia mia
Nawatakieni Jumatano ya Majivu Yenye Baraka 😄