Baada ya miaka 60+ Tumefeli kabisa kwenye swala la umeme.
Ukija kwenye maji mfano kwa Dar es Salaam kuna maeneo wana week ya pili maji hayatoki despite kulikua na mvua za vuli dawasco nao...
Kufuatia kauli ya Mnadhimu mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni Tanzania na Rais wa Chama cha Mawakili Tanzania Mh Tundu Lissu, kwamba tukio la kupigwa kwake risasi kulikuwa ni mpango wa mauaji ya...
Wanajamvi,
Mimi nilikuwa mfanyakazi wa alphatel mwaka 2001. Kwa kifupi, kuna alphatel ambaye mmili ni fred Lowassa na shivacom ambayo mmiliki ni Rostam Azizi.
Kampuni ya pili ni Integrated...
Baada ya kuliangalia kwa makini bunge katika kikao chao cha jana nakiri kusema kuna tofauti ndogo sana kati ya kikao hicho na kile cha Halmashauri kuu ya CCM (NEC)
Upinzani una wabunge 25 kati ya...
Tunaelekea Uchaguzi wa Serikali za mitaa ila kiukweli CCM tutegemee ushindani na Changamoto za kutosha
Matatizo ya mtaani kwa sasa ni Umeme, Maji, Sukari, Bima ya Afya nk
Mawaziri niliowataja...
Mzee Bwege mbunge wa zamani wa CUF, anaumwa na amekatwa mguu kutokana na maradhi yaliyokuwa yanamsumbua.
Vyombo vya habari vya Tanzania vimeripoti.
Natoa wito kwa wadau wa jf na wengine...
"Mimi kama Spika katika demokrasia ya Kibunge suala siyo ujuzi wa kusema na kupanga hoja, ni muhimu sana Wabunge wa @ccm_tanzania wakazidi theluthi mbili ya Wabunge wote ili tuweze kuamua jambo...
Hapo Mbeya ndio alitokea mbunge aliyepata Kura nyingi kuliko Wabunge wote wa Tanzania mh Joseph Mbilinyi aka Sugu
Hapo Mbeya ndio Shujaa Magufuli alishuka kwenye Gari lake na kumpandisha mbunge...
Ndugu zangu Watanzania,
Aliyekuwa katibu wa Rais mstaafu ndugu Dkt Abdallal makame amesema ya kuwa mzee Alli Hassan Mwinyi Rais mstaafu wa awamu ya pili ,Anaendelea kupatiwa matibabu ya kifua...
Wakubwa zangu, nawasalimu. Natumai mu wazima wa afya.
Naomba niwaulize wakuu zangu wanaJF...
Huwa naona humu mara nyingi sana watu wakiongea kuhusu "Lumumba Buku 7". Je, hii ni ajira rasmi...
John Magufuli, the late president of Tanzania, made significant investments in the country's ports during his time in office. He saw ports as a key driver of economic growth and development, and...
Unaweza kuwadharau lakini ukweli utabaki ukweli kwamba Chadema inafufuka
Nilichoshangaa ni kuwaona kwenye Maandamano Makamanda original Wote akina Prof Lwaitama, akina BAK, Dr Slaa nk.
Mimi na...
Ukisikiza maelezo ya Waziri wa Fedha Dr.Mwigulu Nchemba kuhusu matumizi ya Fedha Yako clear na yenye hoja lakini ukisikiliza maswali na maelezo ya Wabunge walio wengi ni weupe kichwani.
Kwamba...
Rais mstaafu wa awamu ya pili wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Alhaji Ali Hassan Mwinyi anaendelea kupatiwa matibabu ya kifua akiwa chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari bingwa...
Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa
Kamati hiyo imewataka Chadema...
Wanabodi,
Jumapili ya leo, naendelea na mada zangu za kuhamasisha watu wajitokeze kwa wingi kupiga kura.
Natoa tena samahani kwa kuanza ni kichwa cha habari cha matukano, kuwa sisi Watanzania...
Hii ni kali kwelikweli, sijawahi ona ng'ombe wengi kiasi hiki (zaidi ya 100) kwenye msiba mmoja na wenye afya kama hawa wakichinjwa kuliwa nyama msibani..
Bila shaka Arusha, Manyara na...
Kwema Wakuu,
Ukishakuwa Chawa katika siasa jihesabie upo kundi la wanyonge. Utawala unaanzia kwenye nafsi ya mtu. Ukifuatilia watawala wakubwa wa ngazi za juu hasa ufalme au Urais wanafanana...
Hili ni Suala la Tofauti Tu - Siyo Chuki
Na. M. M. Mimi Mwanakijiji
Wao wana haki ya kumtaka Lowassa kama Rais wa Tanzania; na sisi tunahaki ya kumkataa Lowassa kama Rais wa Tanzania. Wao wana...
Wanabodi,
Wale wa longi kama mimi mnaweza kukumbuka yale mazungumzo ya amani ya Burundi yaliyokuwa yakisimamiwa na Mwalimu Nyerere mjini Arusha, kila siku mazungumzo yalikuwa hayafiki mwisho kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.