johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,033
Unaweza kuwadharau lakini ukweli utabaki ukweli kwamba Chadema inafufuka
Nilichoshangaa ni kuwaona kwenye Maandamano Makamanda original Wote akina Prof Lwaitama, akina BAK, Dr Slaa nk.
Mimi na mzee Mgaya tutasogea hapo Mbeya tukajiridhishe hawa Pipozi Pawa ndio wanafufuka kweli?
Sisi ni akina Tomaso 😂😂
Mlale unono!
Nilichoshangaa ni kuwaona kwenye Maandamano Makamanda original Wote akina Prof Lwaitama, akina BAK, Dr Slaa nk.
Mimi na mzee Mgaya tutasogea hapo Mbeya tukajiridhishe hawa Pipozi Pawa ndio wanafufuka kweli?
Sisi ni akina Tomaso 😂😂
Mlale unono!