Dkt. Makame: Hakuna haja ya kumsafirisha Mstaafu Mwinyi kwa matibabu kwasasa (Tumuombee)

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,304
Rais mstaafu wa awamu ya pili wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Alhaji Ali Hassan Mwinyi anaendelea kupatiwa matibabu ya kifua akiwa chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari bingwa

"Anaendelea kupatiwa matibabu na baadhi ya wakati anakuwa na uangalizi wa karibu sana wa madaktari na wamesema kwamba wataendelea kumpa matibabu kwa hapa, hakuna haja kwa sasa ya kumsafirisha labda kama wataona haja ya kufanya hivyo hapo baadaye kwa sababu na umri pia umesogea kidogo lakini mimi chakusema tu ni kwamba tumuombee mzee wetu, tufanye dua, tumuombee aweze kuimarika afya yake na aweze kutoka katika hali hiyo ya maradhi ili aungane na sisi tena tuendelee kupata faida kutoka kwake" -Dkt. Makame

Dkt. Abdallah Makame aliyekuwa Katibu wa Rais mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi amezungumza hayo alipofanya mahojiano maalumu na Azam TV Februari 15.2024
 
Mwenyezi Mungu ampe unafuu Mzee wetu. Ametutoa mbali toka kupanga foleni na kadi ya kaya kununua sukari ya ugawaji {NMC},chawa,kunguni funza,viroboto kutokana na ukosefu wa sabuni na mafuta,kusikiliza RTD mpaka kuangalia CNN,BBc,DStv Azam kuvaa kaniki na midabwada yenye viraka pamoja na kutembea peku mpaka Sasa kuwa na machaguo ya nguo na viatu.

Watu wanamiliki magari binafsi kuanzia salon mpaka mamia ya magari,maroli,mabasi mpaka ndege yote ni matokeo ya maamuzi magumu ya kubadili mfumo wa nchi
 
Rais mstaafu wa awamu ya pili wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Alhaji Ali Hassan Mwinyi anaendelea kupatiwa matibabu ya kifua akiwa chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari bingwa

"Anaendelea kupatiwa matibabu na baadhi ya wakati anakuwa na uangalizi wa karibu sana wa madaktari na wamesema kwamba wataendelea kumpa matibabu kwa hapa, hakuna haja kwa sasa ya kumsafirisha labda kama wataona haja ya kufanya hivyo hapo baadaye kwa sababu na umri pia umesogea kidogo lakini mimi chakusema tu ni kwamba tumuombee mzee wetu, tufanye dua, tumuombee aweze kuimarika afya yake na aweze kutoka katika hali hiyo ya maradhi ili aungane na sisi tena tuendelee kupata faida kutoka kwake" -Dkt. Makame

Dkt. Abdallah Makame aliyekuwa Katibu wa Rais mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi amezungumza hayo alipofanya mahojiano maalumu na Azam TV Februari 15.2024
tumuombee aweze kuimarika afya yake na aweze kutoka katika hali hiyo ya maradhi ili aungane na sisi tena tuendelee kupata faida

kutoka kwake" -Dkt. Makame
 
Rais mstaafu wa awamu ya pili wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Alhaji Ali Hassan Mwinyi anaendelea kupatiwa matibabu ya kifua akiwa chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari bingwa

"Anaendelea kupatiwa matibabu na baadhi ya wakati anakuwa na uangalizi wa karibu sana wa madaktari na wamesema kwamba wataendelea kumpa matibabu kwa hapa, hakuna haja kwa sasa ya kumsafirisha labda kama wataona haja ya kufanya hivyo hapo baadaye kwa sababu na umri pia umesogea kidogo lakini mimi chakusema tu ni kwamba tumuombee mzee wetu, tufanye dua, tumuombee aweze kuimarika afya yake na aweze kutoka katika hali hiyo ya maradhi ili aungane na sisi tena tuendelee kupata faida kutoka kwake" -Dkt. Makame

Dkt. Abdallah Makame aliyekuwa Katibu wa Rais mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi amezungumza hayo alipofanya mahojiano maalumu na Azam TV Februari 15.2024
tumuombee aweze kuimarika afya yake na aweze kutoka katika hali hiyo ya maradhi ili aungane na sisi tena tuendelee kupata faida

kutoka kwake" -Dkt. Makame
 
Sote wa Mungu na kwake tutarejea, tunawatakia heri wote waliotutangulia
 
Rais mstaafu wa awamu ya pili wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Alhaji Ali Hassan Mwinyi anaendelea kupatiwa matibabu ya kifua akiwa chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari bingwa

"Anaendelea kupatiwa matibabu na baadhi ya wakati anakuwa na uangalizi wa karibu sana wa madaktari na wamesema kwamba wataendelea kumpa matibabu kwa hapa, hakuna haja kwa sasa ya kumsafirisha labda kama wataona haja ya kufanya hivyo hapo baadaye kwa sababu na umri pia umesogea kidogo lakini mimi chakusema tu ni kwamba tumuombee mzee wetu, tufanye dua, tumuombee aweze kuimarika afya yake na aweze kutoka katika hali hiyo ya maradhi ili aungane na sisi tena tuendelee kupata faida kutoka kwake" -Dkt. Makame

Dkt. Abdallah Makame aliyekuwa Katibu wa Rais mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi amezungumza hayo alipofanya mahojiano maalumu na Azam TV Februari 15.2024
tumuombee aweze kuimarika afya yake na aweze kutoka katika hali hiyo ya maradhi ili aungane na sisi tena tuendelee kupata faida

kutoka kwake" -Dkt. Makame
MBONA SIELEWI JAMANI
Amekaribia kabisa kuondoka kutoka maisha haya
 
Back
Top Bottom