johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Tunaelekea Uchaguzi wa Serikali za mitaa ila kiukweli CCM tutegemee ushindani na Changamoto za kutosha
Matatizo ya mtaani kwa sasa ni Umeme, Maji, Sukari, Bima ya Afya nk
Mawaziri niliowataja jitahidini mtuvushe hali si njema sana Hii ni Kwaresma Unafiki wa kisiasa tumeuweka pembeni
Matatizo ya mtaani kwa sasa ni Umeme, Maji, Sukari, Bima ya Afya nk
Mawaziri niliowataja jitahidini mtuvushe hali si njema sana Hii ni Kwaresma Unafiki wa kisiasa tumeuweka pembeni