Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Habari wana jamvi. Hii ndio taarifa juu ya tukio na maamuzi yaliuochkuliwa baada ya watu/ mtu kjvunja , kukufuru na kunajisi kanisa katoliki lililoko Buzirayombo.
8 Reactions
131 Replies
11K Views
Kwa habari nilizozipata nikuwa ili kupunguza ghrama za ujenzi mkandarasi anayejenga barabara ya ITONI- LUSITU kwenye eneo la Kitulila anafanya MPANGO wa Kuchepusha Barabara ambako ni karibu sana...
0 Reactions
0 Replies
816 Views
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu leo amevurumisha mikutano 5 mfululizo kwenye jimbo moja tu la Bariadi Vijijini Kama Kawaida yake, Lissu amewaomba...
10 Reactions
36 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa, Kilio changu ni Hapa Mbeya Mjini maeneo ya iwambi, Iyunga na Mbalizi umeme unasumbua Sana. Pia hawatuambii tatizo, Rais Samia tunakuomba uwe mkali saaana watendaji wako...
1 Reactions
35 Replies
2K Views
Yule Dkt. Slaa 'mtabe' wa kujenga hoja sio Dkt. Slaa huyu anayepuyanga tu bila hoja. Na hapa ndio tunakumbushwa juu ya kuchana na baadhi ya mambo umri ukikutupa mkono, balozi dkt. Slaa kaamua...
-2 Reactions
25 Replies
2K Views
Kichwa cha Habari Chajieleza , Uongozi wowote wa Umma Duniani kote ni dhamana ya muda mfupi sana , tena ni dhamana ya kusaidia kuboresha maisha ya jamii husika (BOTTOM UP) , ni fursa kwa...
9 Reactions
17 Replies
2K Views
IV. LAWYER AND JUDGE Lawyers and judges owe each other respect, diligence, candor, punctuality, and protection against unjust and improper criticism and attack. Lawyers and judges are equally...
1 Reactions
2 Replies
620 Views
Hakuna mwajiriwa anayempa masharti Mwajiri. Katiba yetu hii mbaya iliyopo inatamka wazi kuwa mamlaka ya Serikali yatatoka kwa wananchi. Hii inamaanisha wazi kuwa mamlaka ya Rais yanatoka kwa...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
Jinsi hali ilivyo mbaya hasa maeneo ya Kijijini na hata mijini pia, Serikali inajaribu kuweka mamba sawa - Unajiuliza utawalipaje watumishi mishahara. Uongeze ajira mpya mana wasio na Ajira ni...
0 Reactions
26 Replies
1K Views
Na. Emmanuel Magira Werema Ifahamike na ieleweke kuwa maamuzi yoyote yanayotakiwa kufanywa na serikali ya nchi yoyote ile duniani, ni lazima yawe yamefanyiwa uchambuzi wa kina kwasababu serikali...
0 Reactions
0 Replies
614 Views
SALAAM! # Wakulima wa tumbaku wa hapa Biharamulo (Kalenge) kutolipwa fedha za mauzo ya tumbaku musimu huu - ni takriban 100,000USD wanaidai KAMPUNI iitwayo Mkwawa Leave Tobacco Ltd; # Rushwa -...
0 Reactions
1 Replies
604 Views
Niko hapa arusha kikazi kama wiki sasa! Kilicho nishangaza ni kwamba USD hakuna kabisa, yani kuanzia maduka ya kubadili fedha mpaka benki zote hakuna! Sasa najiuliza, je hii ni kawaida?
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Dr Slaa amesema nchi alizohudumu kama Balozi Ndio wanajua ubora wa Kazi zake Slaa amesisitiza hayuko tayari kuhongwa Ili akae Kimya Source: Jambo TV
27 Reactions
121 Replies
7K Views
Wananchi wa Kata ya Nyatwali wapatao 15,800 wanahamishwa na Serikali kupisha ongezeko la Hifadhi ya Serengeti bila sababu za msingi. Tayari makadirio ya fidia zao zimekwishakamilika bado tu...
0 Reactions
4 Replies
692 Views
Rais Samia ametuvunja moyo wengi. Nilikuwa chawa na shabiki wake kindakindaki!! Nikiri tu kuwa mimi ni miongoni mwa watu waliokuwa shabiki nambari moja wa Mama Samia alipoingia madarakani...
41 Reactions
116 Replies
6K Views
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amesema katika mwaka huu wa fedha 2023/24, Rais Samia Suluhu Hassan ameelekeza Jumla ya Bilioni 51...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Wanaoliangamiza Taifa hili ni watawala wenye upeo duni. Nchi zinazoongozwa na watu wenye upeo mkubwa, kabla ya kuandaa sera, kutunga sheria na kupanga kodi, huainisha vipaumbele vyao. Kisha...
0 Reactions
1 Replies
515 Views
umofia kwenu Misimamo na utahibiti katika kujenga hoja ni eneo ambalo limeifanya CHADEMA kuinuka kwa kasi kubwa baada ya kujeruhiwa vibaya na dola kipindi cha jiwe. Mbeleko na kupoteza mwelekeo...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus leo Jumapili Septemba 03, 2023 kuanzia Saa 4 asubuhi hii anakutana na Wahariri wa Vyombo vya Habari ili kuzungumzia Mkutano mkubwa wa...
0 Reactions
0 Replies
759 Views
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Mwigulu Nchemba, Naomba kutoa ushauri wangu kwenye ushuru wa magari. Nimeona ushuru wa magari unazidi kuongezeka, Mhe Rais/Waziri wa fedha dunia inabadilika...
8 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom