Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais WA Tanzania kutokea Kizimkazi usiku huu yupo Kenya. Je ameenda kimya kimya Kwani nini? ====== Rais Samia Suluhu Hassan amewasili nchini Kenya kuhudhuria mkutano unaondelea kuhusu hali ya...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Mtwara - Tandahimba "Wanajeshi wanakagua vitambulisho na mizigo" Kama huna jiandae kuruka kichura chura!,kubebana na kukoana makwenzi. Ni lazima ,kila mtu kubeba kitambulisho. Wenyewe wanasema...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;- "Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje? Yaani...
72 Reactions
281 Replies
17K Views
Akizungumza leo Sept. 4, 2023 wakati wa ufunguzi wa Kikao cha Maofisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi, Rais Samia amesema wananchi bado wanalalamikia tatizo la Rushwa hasa kwa Askari wa Barabarani...
9 Reactions
84 Replies
8K Views
Katika moja ya mikutano yake na waandishi wa habari akijibu swali la mwandishi wa chombo kimoja cha habari aliyetaka kujua kama kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
0 Reactions
2 Replies
808 Views
Mwalimu Nyerere na sera ya vijiji vya ujamaa haitofutika kamwe, ila nakuakikishia BBT ya Bashe na Rais Samia inaweza kufa kifo cha mende endapo mabilioni ya fedha yanayotumika pasipo kuzingatia...
15 Reactions
55 Replies
5K Views
Kama msomaji wa JF, kuwa wa kwanza kuipata hii habari. Ndio vyanzo vya ndani kabisa vinavyotanabaisha. Ilikuwa akamatwe jumanne, lakini wakaona kwanza wapime upepo kuona baadhi ya matukio...
30 Reactions
127 Replies
13K Views
Tukiondoa nguvu ya wazee wakina Pinda, Kinana, Makamba senior, Kikwete, Wassira, Mangula na wengineo kwenye Chama changu cha Ccm basi, generation ya vijana ambao baadae wanakuja kushika nguvu ya...
4 Reactions
66 Replies
5K Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi bado yuko Chunya kwa ziara ya kikazi, ambako ameendelea kuelimisha Wananchi kuhusu Umuhimu wa Katiba Mpya ambayo itazaa Tume huru ya Uchaguzi...
1 Reactions
6 Replies
836 Views
Huu utaratibu nimeupenda sana utasaidia kumpatia angalau rais wateule wenye weledi japo si kwa 100% Pia itaongeza uwajibikaji
8 Reactions
44 Replies
3K Views
Siasa za Tanzania zimekuwa za Hovyo sana na hasa Vita vya kiuchumi inapobebwa na Chama cha Siasa Hii hali ya kuchafua Watu pamoja na taasisi zenye mchango mkubwa kwa Uchumi wa nchi mfano hizi...
9 Reactions
47 Replies
5K Views
CHADEMA CHADEMA CHADEMA Mmeishiwa sasa mnakusanya watoto? Yaani wakati mama anafanikisha ujenzi wa madarasa na kuwatengenezea mazingira mazuri ya kupata elimu, nyie mnawatoa watoto mashuleni...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Nawasalimu kwa jina la Bwana. Leo nimekumbuka kisa kilichoandikwa kwenye Biblia, 1 Samweli 17. Sura hii kwa ufupi inahusu kisa cha kijana mdogo Daudi na Goliathi. Daudi alikuwa ni mchunga...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
Tazama picha mbalimbali mkutano wa CHADEMA ulivyokosa watu kwa siku ya leo wataalam wasiasa watoa hoja ni muda muufaka wa CHADEMA kurudi mezani kujipanga upya.
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki ufunguzi wa Kikao kazi cha Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi, Oystebay, leo Septemba 4, 2023...
2 Reactions
50 Replies
6K Views
Serikali inaendelea kufanya mapitio ya sheria ya utumishi ili kupata muarobaini wale wote wanaojitolea katika taasisi mbalimbali za umma. Hayo yameelezwa leo Jumatatu Septemba 04, 2023 Bungeni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwa , Tulisema kwamba Chadema ikipewa nafasi ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara , ccm haina pa kutokea , hii ni kwa sababu ccm ndio chama kilicholeta kila...
22 Reactions
62 Replies
5K Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amesema wakati fulani yeye na wenzake wanachukia majukwaani na wakati mwingine hata kuwa na lugha nzito, kwasababu hawapo tayari kuona Rais wa...
4 Reactions
32 Replies
3K Views
Tulishasema humu na kwingineko kwamba kuiteketeza CCM kunahitaji muda mfupi sana, wala hatuhitaji miezi mingi. Muda huu ninaoandika hapa tayari Mwamba wa siasa za Eneo la Maziwa Makuu, Freeman...
8 Reactions
33 Replies
3K Views
Wakati serikali imesema inaingia hatua ya pili ya mkataba katika uwekezaji bandarini Dar kati yake na DP world,ningependa watu wote bila kujali kama mnaunga mkono au kupinga maudhui ya mkataba...
8 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom