Rais WA Tanzania kutokea Kizimkazi usiku huu yupo Kenya.
Je ameenda kimya kimya Kwani nini?
======
Rais Samia Suluhu Hassan amewasili nchini Kenya kuhudhuria mkutano unaondelea kuhusu hali ya...
Mtwara - Tandahimba "Wanajeshi wanakagua vitambulisho na mizigo" Kama huna jiandae kuruka kichura chura!,kubebana na kukoana makwenzi.
Ni lazima ,kila mtu kubeba kitambulisho.
Wenyewe wanasema...
Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?
Yaani...
Akizungumza leo Sept. 4, 2023 wakati wa ufunguzi wa Kikao cha Maofisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi, Rais Samia amesema wananchi bado wanalalamikia tatizo la Rushwa hasa kwa Askari wa Barabarani...
Katika moja ya mikutano yake na waandishi wa habari akijibu swali la mwandishi wa chombo kimoja cha habari aliyetaka kujua kama kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
Mwalimu Nyerere na sera ya vijiji vya ujamaa haitofutika kamwe, ila nakuakikishia BBT ya Bashe na Rais Samia inaweza kufa kifo cha mende endapo mabilioni ya fedha yanayotumika pasipo kuzingatia...
Kama msomaji wa JF, kuwa wa kwanza kuipata hii habari.
Ndio vyanzo vya ndani kabisa vinavyotanabaisha.
Ilikuwa akamatwe jumanne, lakini wakaona kwanza wapime upepo kuona baadhi ya matukio...
Tukiondoa nguvu ya wazee wakina Pinda, Kinana, Makamba senior, Kikwete, Wassira, Mangula na wengineo kwenye Chama changu cha Ccm basi, generation ya vijana ambao baadae wanakuja kushika nguvu ya...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi bado yuko Chunya kwa ziara ya kikazi, ambako ameendelea kuelimisha Wananchi kuhusu Umuhimu wa Katiba Mpya ambayo itazaa Tume huru ya Uchaguzi...
Siasa za Tanzania zimekuwa za Hovyo sana na hasa Vita vya kiuchumi inapobebwa na Chama cha Siasa
Hii hali ya kuchafua Watu pamoja na taasisi zenye mchango mkubwa kwa Uchumi wa nchi mfano hizi...
CHADEMA CHADEMA CHADEMA
Mmeishiwa sasa mnakusanya watoto? Yaani wakati mama anafanikisha ujenzi wa madarasa na kuwatengenezea mazingira mazuri ya kupata elimu, nyie mnawatoa watoto mashuleni...
Nawasalimu kwa jina la Bwana.
Leo nimekumbuka kisa kilichoandikwa kwenye Biblia, 1 Samweli 17.
Sura hii kwa ufupi inahusu kisa cha kijana mdogo Daudi na Goliathi. Daudi alikuwa ni mchunga...
Tazama picha mbalimbali mkutano wa CHADEMA ulivyokosa watu kwa siku ya leo wataalam wasiasa watoa hoja ni muda muufaka wa CHADEMA kurudi mezani kujipanga upya.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki ufunguzi wa Kikao kazi cha Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi, Oystebay, leo Septemba 4, 2023...
Serikali inaendelea kufanya mapitio ya sheria ya utumishi ili kupata muarobaini wale wote wanaojitolea katika taasisi mbalimbali za umma.
Hayo yameelezwa leo Jumatatu Septemba 04, 2023 Bungeni...
Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwa , Tulisema kwamba Chadema ikipewa nafasi ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara , ccm haina pa kutokea , hii ni kwa sababu ccm ndio chama kilicholeta kila...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amesema wakati fulani yeye na wenzake wanachukia majukwaani na wakati mwingine hata kuwa na lugha nzito, kwasababu hawapo tayari kuona Rais wa...
Tulishasema humu na kwingineko kwamba kuiteketeza CCM kunahitaji muda mfupi sana, wala hatuhitaji miezi mingi.
Muda huu ninaoandika hapa tayari Mwamba wa siasa za Eneo la Maziwa Makuu, Freeman...
Wakati serikali imesema inaingia hatua ya pili ya mkataba katika uwekezaji bandarini Dar kati yake na DP world,ningependa watu wote bila kujali kama mnaunga mkono au kupinga maudhui ya mkataba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.