Huu ni mtazamo wangu binafsi kuhusu hali ya kisasa nchini sijui ni nini kimetokea kwenye taifa letu. Hilo jambo litatokea si Kwa sababu watu wanamapenzi mema na CCM na wala si kwa sababu watu wana...
1. Eti msichanganye dini na siasa wakati kwenye misaafu tunasoma dini na siasa haviwezi kutenganishwa. Na ndiyo maana viongozi wetu huapa kwa misaafu hiyo.
2. Eti viongozi wa dini wanapaswa...
Mtu kaanza kazi 2005 analipwa laki 4 mfano level ya diploma kufikia 2015 kapata mabadiliko makubwa analipwa zaidi ya million 1 ila angalia mshahara wa mtumishi kutoka 2015 mpaka Leo 2023 aliyeanza...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akihutubia kwenye Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 2023) Nairobi- Kenya tarehe 05 Septemba...
Pichani, Kipara anaonekana yupo na mama katika mkutano wa viongozi barani Africa wa mabadiliko ya tabia nchi unaoendelea muda huu katika ukumbi wa KICC huko Nairobi Kenya
Naomba mnikumbushe tena...
Waziri Mkuu Mstaafu, Mzee CLEOPA DAVID MSUYA akihojiwa na ITV kwenye kipindi cha dakika 45 amesema CHADEMA ni wazuri na mahiri wa kuchambua mambo kwa kina na lazima tujifunze kwao.
-
Hawa CHADEMA...
Akizungumzia kuhusu malalamiko yaliyopo kwenye kikokotoo katika ufunguzi wa Kikao kazi cha Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi, Oysterbay, leo Septemba 4, 2023, Rais Samia amesema Serikali...
Niseme kutoka moyoni, mimi ninamkubali sana Mhe. Mbunge wa Nkasi kwa hoja zake Bungeni.
Japo ni Mbunge mmoja ambaye yuko pale kihalali upande wa CHADEMA lakini hoja zake zina mashiko.
Ameeleza...
DC huyu haonekani ofisini, hasikiliza kero za wananchi,
Kinyume chake amebadili gia angani sasa ni mchimbaji mdogo na anamiliki maduara na makarasha ya kusaga dhahabu kwenye maeneo ya...
Ndio kama tulivyosema hapo awali kwamba , usimpe mtu cheo kutokana na uchawa wake , ni vema ukiangalia rekodi yake .
Aliyeshindwa Umeya unampaje Wizara ?
Hata wiki haijaisha , kishaanza kashfa...
Hili amenidokeza rafiki yangu mmoja mwenye Vituo vya mafuta. Walishakaa na Waziri wakawekana sawa na sasa ni utekelezaji. Kwa kweli jamaa anasema mama anaupiga mwingi mpaka unamwagika.
Watanzania...
Awamu ya jamaa yule hakuna mkuu wa taasisi kitengo au kaya aliyethubutu kutengeneza mkao wa kula jasho la wengine kupitia ofisi ya umma.
Leo hii katika hii awamu ya sita kila mbuzi kwenye ofisi...
Kupitia vugu vugu la Bandari nimegundua Viongozi wengi wa Dini na Wananchi hawana elimu. Mashehe ndio kabisaa hawana uelewa wa kuelewa na kudadavua mambo nyeti ya nchi hii.
Kwa karne hii kweli kwenye hadhira rasmi viongozi wanaruhusu huu ujinga?
Ni hofu?
Ni woga?
Ni matisho?
Ni mkwara ama ninini?
Wazee wa Paje wamejitokeza hadharani na kuchimba mkwara kwa yeyote...
Kwa mara ya mwisho nguvu ya Mikutano ya kisiasa niliiona pale Mwembeyanga kwenye ile list of shame ambayo hadi leo wajukuu wanarithishwa dhambi
Nawaona Chadema ni kama wako serious hivi kwenye...
Fuatilia yanayojiri kwenye mkutano wa waandishi wa habari unaoendelea muda huu ambapo Dkt. Slaa, Mwabukusi na Mbatia wanazungumza.
https://www.youtube.com/live/CpVkVel-IRM?si=kRb-q_tl6RKvlnne...
Kusema la kweli nchi hii ina wasomi wengi.
Nakumbuka Dkt. Ayub Rioba wa TBC enzi akiwa chuoni hakika alikuwa mwanazuoni na tishio la watawala enzi hizo.
Makala zake nzito ndizo zilizopelekea...
Ndugu zangu Watanzania,
Habari zinazoendelea kusambaa kwa kasi ya moto wa petroli juu ya nyasi kavu ni kuhusu kutua kwa kishindo kwa Rais Samia Suluhu Hasssan katika Ardhi ya kenya. Imekuwa ni...
Hapa ni Utegi jimbo la Rorya hali ni tete kwa Chadema
Wananchi waeleza Mikutano kupata watu kidogo ni kutokana na kuhubiri udini, kukosa sera mbadala na kufanya ujasiriamali wa kisiasa kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.