ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,049
- 49,731
Baada ya kebehi na dharula za muda mrefu kwa Arusha kukosa Standi Kuu na Bora ya Mabasi ya Mikoani Hatimaye Mama wa Vitendo Rais Samia amewapa wana Arusha furaha.
Mamlaka za ujenzi zimetoa michoro na renders za Standi ya Mkoa wa Arusha Bondeni City.
Picha ni Kali na Zenye hadhi ya Jiji ambalo ni mwenyeji wa Afcon 2027.Sasa kazi imesalia Kwa wajenzi kuhakikisha renders mlizotoa Mnajenga hivyo hivyo maana **** mazoea ya kuonyesha picha Kali ila Mnajenga vitu vingine kama pale Ubungo interchange.
My Take
Mrisho Gambo ndio Mbunge ambae Kwa kipindi Chake Arusha Jiji imepiga hatua kubwa za Maendelea kuanzia alipokuwa RC Hadi Mbunge.
View: https://www.instagram.com/reel/C3aM3D1tRlG/?igsh=cWNrYWcyZXpjcWMw
Mamlaka za ujenzi zimetoa michoro na renders za Standi ya Mkoa wa Arusha Bondeni City.
Picha ni Kali na Zenye hadhi ya Jiji ambalo ni mwenyeji wa Afcon 2027.Sasa kazi imesalia Kwa wajenzi kuhakikisha renders mlizotoa Mnajenga hivyo hivyo maana **** mazoea ya kuonyesha picha Kali ila Mnajenga vitu vingine kama pale Ubungo interchange.
My Take
Mrisho Gambo ndio Mbunge ambae Kwa kipindi Chake Arusha Jiji imepiga hatua kubwa za Maendelea kuanzia alipokuwa RC Hadi Mbunge.
View: https://www.instagram.com/reel/C3aM3D1tRlG/?igsh=cWNrYWcyZXpjcWMw