Ufisadi nyangumi; Tatizo la umeme, umaskini endelevu

mwanamichakato

JF-Expert Member
Mar 20, 2015
889
707
Nadhani maamuzi magumu yanapaswa kufanywa na viongozi wakuu ktk Serikali zetu uswahiba na ukaribu na watuhumiwa nyangumi wa ufisadi ktk nishati ni kikwazo kikubwa sana cha maamuzi yenye tija Kwa watendakazi wa chini.Refer DOWANS,Richmond,Symbion,IPTL na sasa Gas.

Wafanyabiashara na matajiri waliopata mabilioni kupitia matatizo ya umeme hawawezi kuruhusu nchi iwe na nishati kujitosheleza.Ukaribu wao na viongozi waandamizi na wingi wa fedha walizokwapua na kupata kupitia dubious deals ni siraha Yao kubwa ya kumrubuni yeyote na popote..

Yawezekana wamerubuni na kudhoofisha miradi Mikuu ya uzalishaji umeme ili kupata Mianya na upenyo wa kufaidi cake ya taifa maskini Lenye wingi wa maskini licha ya utajiri wa rasilimali..

Tulivumbua gesi asilia mtwara yakasemwa na wanasiasa kuwa tumepata mwarobaini wa umeme..Mafisadi yakabaka mchakato wa uwekezaji na ujenzi wa miundombinu leo gesi si yetu tena..Imeuzwa na kuna familia chache Za watanzania wenzetu wanapata mapesa kupitia offshore accounts zao..Tunafaidika nini na uwepo wa gesi?Bomba la gesi limegharamiwa na serikali (Mkopo toka China)lakini ni Mali ya nani?

Wana mamlaka ya kumpigia DG yeyote,PS yeyote,Waziri yeyote,Kiongozi wa Chama yeyote na kutoa miongozo,ahadi na matamanio yao (Sera)..Wana nguvu haswaa..Hawapigi picha na viongozi buree..Hawagharamii safari zao pamoja na viongozi buree..

Matatizo ya umeme ni ya kutengeneza na wanufaika wakubwa ktk deals mbalimbali kimfumo..

Kama taifa yatupasa kusema inatosha kuzongwa na kurubuniwa Kwa tende,peremende na porojo Za mafisadi wanaojiona wazalendo wa Taifa Kwa faida zao binafsi na Koo zao..Tusikubali kuwekwa mifukoni na kuharibu uchumi pia kesho ya vizazi vyetu..

Tuna Uranium ya kutosha,Kwa nini tusifunge vinu vya Nyukria kupitia msaada wa RUSSIA,Germany,JAPAN..Tupate umeme wa uhakika?

Tuumie,Tuchukuie,Tuchukue hatua..Hawa wachache wanaotafuta nchi kila kukicha wanatuzodoa sana na wanatudharau sana ..Madini-Wapo,Gesi-Wapo,-Bandari -Wapo,..Hakuna sehemu hawapo..Tunabakwa
 
Kama taifa, tukiwa hapa nyuma ya keyboard tumeshasema hapana! Inatosha, tatizo wafanyamaamuzi hawatuogopi sisi keyboard worriers!
 
Nadhani maamuzi magumu yanapaswa kufanywa na viongozi wakuu ktk Serikali zetu uswahiba na ukaribu na watuhumiwa nyangumi wa ufisadi ktk nishati ni kikwazo kikubwa sana cha maamuzi yenye tija Kwa watendakazi wa chini.Refer DOWANS,Richmond,Symbion,IPTL na sasa Gas.

Wafanyabiashara na matajiri waliopata mabilioni kupitia matatizo ya umeme hawawezi kuruhusu nchi iwe na nishati kujitosheleza.Ukaribu wao na viongozi waandamizi na wingi wa fedha walizokwapua na kupata kupitia dubious deals ni siraha Yao kubwa ya kumrubuni yeyote na popote..

Yawezekana wamerubuni na kudhoofisha miradi Mikuu ya uzalishaji umeme ili kupata Mianya na upenyo wa kufaidi cake ya taifa maskini Lenye wingi wa maskini licha ya utajiri wa rasilimali..

Tulivumbua gesi asilia mtwara yakasemwa na wanasiasa kuwa tumepata mwarobaini wa umeme..Mafisadi yakabaka mchakato wa uwekezaji na ujenzi wa miundombinu leo gesi si yetu tena..Imeuzwa na kuna familia chache Za watanzania wenzetu wanapata mapesa kupitia offshore accounts zao..Tunafaidika nini na uwepo wa gesi?Bomba la gesi limegharamiwa na serikali (Mkopo toka China)lakini ni Mali ya nani?

Wana mamlaka ya kumpigia DG yeyote,PS yeyote,Waziri yeyote,Kiongozi wa Chama yeyote na kutoa miongozo,ahadi na matamanio yao (Sera)..Wana nguvu haswaa..Hawapigi picha na viongozi buree..Hawagharamii safari zao pamoja na viongozi buree..

Matatizo ya umeme ni ya kutengeneza na wanufaika wakubwa ktk deals mbalimbali kimfumo..

Kama taifa yatupasa kusema inatosha kuzongwa na kurubuniwa Kwa tende,peremende na porojo Za mafisadi wanaojiona wazalendo wa Taifa Kwa faida zao binafsi na Koo zao..Tusikubali kuwekwa mifukoni na kuharibu uchumi pia kesho ya vizazi vyetu..

Tuna Uranium ya kutosha,Kwa nini tusifunge vinu vya Nyukria kupitia msaada wa RUSSIA,Germany,JAPAN..Tupate umeme wa uhakika?

Tuumie,Tuchukuie,Tuchukue hatua..Hawa wachache wanaotafuta nchi kila kukicha wanatuzodoa sana na wanatudharau sana ..Madini-Wapo,Gesi-Wapo,-Bandari -Wapo,..Hakuna sehemu hawapo..Tunabakwa
NARUDIA TENA KUSEMA KAMA ROSTAM AZIZI ASIPOULIWA HARAKA IWEZEKANAVYO BASI HAKUNA KITU CHOCHOTE KITAKACHO FANIKIWA NCHINI
 
Kama taifa, tukiwa hapa nyuma ya keyboard tumeshasema hapana! Inatosha, tatizo wafanyamaamuzi hawatuogopi sisi keyboard worriers!


Ni kweli
Wanasema nchi Ina wenyewe
Na wenyewe sio wananchi Bali wenye nguvu

Tutaumia na kuteseka ila Yana mwisho
 
Huyu Waziri fake naye kashapata mgao toka kwa Makamba

Kwa mfumo uliosukwa tunahitaji zaidi ya mtu kutatua na kumaliza changamoto za umeme na nishati..

Tukijikumbusha sakata la TEGETA ESCROW na mapana yake /Mtikisiko wake/wahusika wake/Miguu na mikono yake tutajielekeza vema kuelewa ukubwa wa vita hii..

Tukijikumbusha Richmond..Dowans..Symbion…Msuguano wake..Timbwili lake na sakarasi zake twaweza elewa Kwa nini Tupo tulipo..

It must reach a point we should say Enough is Enough🔥
 
LETS RESORT INTO NUCLEAR ENERGY..

Former DG wa Tanesco ndio Permanent Secretary wa Ministry of Energy..Ataweza kufanya mapinduzi na kuacha alama
 
NARUDIA TENA KUSEMA KAMA ROSTAM AZIZI ASIPOULIWA HARAKA IWEZEKANAVYO BASI HAKUNA KITU CHOCHOTE KITAKACHO FANIKIWA NCHINI
Mwenyezi Mungu atamchukua kwa wakati wake na siyo kwa wakati wetu sisi .Kama wenye kulinda nchi wako kimya,basi hii hali itaisha siku dunia ikifika mwisho!
 
Kwa mfumo uliosukwa tunahitaji zaidi ya mtu kutatua na kumaliza changamoto za umeme na nishati..

Tukijikumbusha sakata la TEGETA ESCROW na mapana yake /Mtikisiko wake/wahusika wake/Miguu na mikono yake tutajielekeza vema kuelewa ukubwa wa vita hii..

Tukijikumbusha Richmond..Dowans..Symbion…Msuguano wake..Timbwili lake na sakarasi zake twaweza elewa Kwa nini Tupo tulipo..

It must reach a point we should say Enough is Enough🔥
Kwani Kalemani aliwezaje hata baada ya Dikteta kufariki? mafisadi yalimtoa ili yapige pesa
 
Kutegemea wanasiasa pekee ktk utatuzi wa changamoto za kiuchumi na kisayansi ni ulemavu wa ufahamu..

Kila mwanasiasa nafasi yeyote anayopata ya mamlaka ya kidola ni fulsa ya utajiri na ukwasi Kwa familia na ukoo..Vyeo vya kisiasa vinageuka vya ukoo,Ndugu,Jamaa na Marafiki..Watoto wa wakubwa na marafiki zao wanatisha Kwa mamlaka Za Wazazi wao..Wanaogopwa na kuogopeka..Tupo kimya,Tumeufyata kimya..

Ukiwa kiherehere wa kuchokonoa biriani na vanilla cake Za wafaidika utawindwa/tekwa au kuoewa sumu utangulie huko walikolala wenye mashujaa wa kupigania maskini..Inauma sana

Wacha nikachunge mbuzi zangu bondeni..
 
Back
Top Bottom