Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,366
Inasemekana eneo la Uyole mara zote nyakati za usiku huwa na watu wengi, hii ni kutokana na eneo hilo kuwa njia panda ambayo Magari mengi hupita, Magari ya kwenda Malawi na yale ya kwenda zambia yote hupita hapo.
Lakini umati unaokusanyika usiku huu kwenye eneo hilo si wa kawaida , watu ni wengi mno na wengi wao hawana hata mabegi, hii ni ishara kwamba watu hao si wasafiri, Bali ifahamike kwamba UYOLE ni miongoni mwa vituo vitatu vilivyoainishwa na CHADEMA kuwa sehemu ya kuanzia maandamano , Wananchi wengi wamechagua kuanzia maandamano yao kwenye eneo hilo, hii ndio sababu wananchi wanaanza kujazana mapema , zipo tetesi kwamba Mbowe au Lissu wataanzia hapa.
Lakini umati unaokusanyika usiku huu kwenye eneo hilo si wa kawaida , watu ni wengi mno na wengi wao hawana hata mabegi, hii ni ishara kwamba watu hao si wasafiri, Bali ifahamike kwamba UYOLE ni miongoni mwa vituo vitatu vilivyoainishwa na CHADEMA kuwa sehemu ya kuanzia maandamano , Wananchi wengi wamechagua kuanzia maandamano yao kwenye eneo hilo, hii ndio sababu wananchi wanaanza kujazana mapema , zipo tetesi kwamba Mbowe au Lissu wataanzia hapa.