Kiongozi wa Israeli ajulikanae kama Bibi au Netanyahu ameapa kuwa wapalestina chini ya Hamasi hawatakuwa na nchi na watabaki chini ya utawala wa kiyaudi milele.
Na Zanzibar nayo ndio hivyo hawataweza kupata uongozi chini ya chama kingize zaidi ya CCM ,liwalo na liwe hakutatokea Chama kikaiondoa CCM,CCM wapo tayari kuuwa na yameshatokea alimuradi Tanganyika waitawale Zanzibar chini ya kivuli cha CCM aka Muungano.
Na Zanzibar nayo ndio hivyo hawataweza kupata uongozi chini ya chama kingize zaidi ya CCM ,liwalo na liwe hakutatokea Chama kikaiondoa CCM,CCM wapo tayari kuuwa na yameshatokea alimuradi Tanganyika waitawale Zanzibar chini ya kivuli cha CCM aka Muungano.