Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nijuavyo Mimi ,Jimbo la Rungwe Magharibi ambako ni nyumbani Kwa Spika Dr Tulia ndio lilimfaa sana maana kule kwanza hakunaga upinzani Wala watu hawana shobo na upinzani. Mbunge wa Sasa anaitwa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nawaza tu nanyi mnisaidie kuwaza pamoja. Kuondolewa kwa kipara wizara ile na kuwekwa Biteko huenda ni bomu ametegeshewa ljmlipukie. Baada ya kipara kuboronga pale na kupiga dili za kufa mtu...
1 Reactions
7 Replies
955 Views
Ukifuatilia teuzi za siku hizi katika ngazi zote, vigezo vikuu ambavyo vinaonekana kwa macho ya kawaida kabisa ni:- 1. Kuwa kada mtiifu wa CCM 2. Kuwa muongeaji mzuri wa kusifia sifia...
7 Reactions
16 Replies
986 Views
Mawaziri Wakuu wastaafu Mzee Warioba, mzee Msuya, Mzee Sumaye na Mzee Lowassa mara kadhaa wamekuwa wakiisifia Chadema kwamba ni Bora kuliko CCM Tena Sumaye na Lowassa waliwahi kuhamia kabisa...
10 Reactions
66 Replies
4K Views
Ikiwa ni siku moja baada ya kuwasili ofisini Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Mhe. Dkt.Damas Ndumbaro ameanza kazi Wizarani hapo kwa kukutana na kuzungumza na watumishi na viongozi wa Idara ya...
0 Reactions
3 Replies
634 Views
Kuna kautamaduni kameibuka ka kuchukia watu wanaofanya bidii na kufanikiwa katika kazi, biashara, masomo au hata maisha kwa ujumla. Ukipata cheo watasema umependelewa, ukifanikiwa kibiashara...
40 Reactions
360 Replies
34K Views
Utekelezaji wa ilani ya CCM 2020 - 2025 inatekelezwa Kwa vitendo na Mbunge wa jimbo la Mufindi kaskazini Mhe. Exaud Kigahe. Barabara ya kutoka Ugenza Kwenda Sinai Kilomita sita sasa imefunguliwa...
3 Reactions
9 Replies
728 Views
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Ndugu Abdulrahman Kinana, ameziagiza kamati za siasa za CCM, kuwafuatilia na kuwachukulia hatua wanachama walioanza kupitapita kusaka...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Salaam wanabodi, Ndiyo, kumekuwako ukosefu wa mafuta katika baadhi ya vituo vya kuuzia mafuta nchini, ukifika hapo unaambiwa petrol imekwisha. Mtazamo wangu ni kuwa hawa wafanya biashara aidha...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Bila kupepesa macho Makamba amefeli kila idara, huku kwenye nishati nchi nzima leo haina umeme. Yeye ndiye aliyesema kwamba kwenye mradi wa bwawa la Nyerere uzalishaji ukianza umeme usishuke bei...
19 Reactions
35 Replies
4K Views
1. Mafuta yapo, wanaoleta shida ni wenye vituo kuzuia kuuza stock ya mafuta wakisubiri bei mpya iende juu ili faida yao iwe kubwa. 2. Serikali ifanye msako na kutoa adhabu kwa vituo vinavyofanya...
2 Reactions
14 Replies
788 Views
Serikari haina umiliki halali yaani moja kwa moja wa mafuta ya hakiba hivyo hupelekea mlipuko wa bei. Bei hupanda na kushuka hata kama kuna changamoto zinazo epukika mfano plani ya miaka kadhaa...
0 Reactions
0 Replies
381 Views
Mkurugenzi wa Ewura hatufai afunguliwe kesi kwa kulidanganya taifa Jana tu kasema mafuta yapo ya kutosha na tunajitosheleza kwa siku 19 leo tena bei zinapanda Huyu anapaswa kujiuzulu na...
4 Reactions
9 Replies
914 Views
Wadau nawasabahi. Kumekuwa na Sintofahamu juu ya Upatikanaji wa Mafuta karibu sehemu KUBWA ya Nchi.Toka Mafuta yaanze kuadimika kumekuwa na TETESI kuwa Bei ya MAFUTA ZITAPANDA. Nimekuwa najiuliza...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Wakati sisi tunalia mafuta kupanda huko nchini ZANZIBAR mafuta hayajawahi kupanda kabisa na yapo chini sana Sisi huku Tanganyika wacha tufwe tu madhali sisi ni Watanganyika ZANZIBAR SMZ huwa...
2 Reactions
5 Replies
695 Views
Upinzani sasa hivi wanasema Samia ameshindwa uongozi na ni kiongozi mbaya kuwahi kutokea. Yaani ni mbaya kuliko hata Magufuli waliyekuwa wanadai ni kiongozi mbaya zaidi. Tundu Lissu mara kadhaa...
3 Reactions
108 Replies
5K Views
Kwanza naomba nikiri kwamba mimi ni miongoni mwa wasafirishaji wa mizigo na Abiria ndani na nje ya nchi . Nimetumiwa Private message kwamba kutakuwa na kikao Alhamisi hii cha kujadili ongezeko...
3 Reactions
6 Replies
570 Views
Tulionya humu mapema sana kwamba , Moto utakaowashwa na Chadema kwenye Oparesheni 255, hakuna wa kuuzima, Kauli hii imetimia, Nadhani wote mmeona jinsi Katibu Mkuu wa CCM alivyojaribu na baada ya...
10 Reactions
30 Replies
3K Views
Sisi wananchi wa maeneo ya vijijini na mikoa ya pembezoni tunayo heshima kubwa kumuomba waziri wa katiba na sheria kutoa elimu kwetu sisi kwa kipindi cha miaka mitano sio miaka mitatu...
0 Reactions
4 Replies
421 Views
Penye ukweli pasi na kujali kambi ni heri kuusema. Vinginevyo tutaendelea kutwanga maji kwenye kinu milele. Hongereni CCM Kwa kushinda chaguzi zenu na kama mabwege yakiendelea kulaza damu kazeni...
7 Reactions
55 Replies
2K Views
Back
Top Bottom