johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,980
Kwa namna demokrasia inavyokandamizwa dhahiri Kabisa pale ACT Wazalendo ni Wazi katika Vyama Vyote vya Siasa nchini Chadema Ndio ina Mfumo wa kidemokrasia kwenye chaguzi za Viongozi wake
Chadema hushindanisha Wagombea lakini hapa ACT Wazalendo unaona Kabisa mmiliki wa Chama aliyeng'atuka anatimiza mbinu za Nyerere kuweka Viongozi wake Ili yeye asiachie remote control
Bado tuna safari ndefu
Chadema hushindanisha Wagombea lakini hapa ACT Wazalendo unaona Kabisa mmiliki wa Chama aliyeng'atuka anatimiza mbinu za Nyerere kuweka Viongozi wake Ili yeye asiachie remote control
Bado tuna safari ndefu