Kwa jambo hili niliwaunga Mkono TCRA . Nchi hii wenye akili ni wachache sana

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,468
23,745
Hakuna Mtangazaji mwenye akili anaweza ongea jambo kama hili. Tanesco wana matatizo yao na pengine ni ya kisiasa zaidi. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu atapendezwa na suala hili la kukatika katika umeme.

Lakini ni mtu mpumbavu tu anaweza fanyia mzaha jambo hili zito Kitaifa. Ni wakati sasa wa vyombo vya habari kuajiri waandishi wenye weledi na akili. Hawa wapuuzi wanaojificha kwenye neno ubunifu ni upumbavu na mzigo kwa Taifa.


 
Hakuna Mtangazaji mwenye akili anaweza ongea jambo kama hili. Tanesco wana matatizo yao na pengine ni ya kisiasa zaidi. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu atapendezwa na suala hili la kukatika katika umeme.

Lakini ni mtu mpumbavu tu anaweza fanyia mzaha jambo hili zito Kitaifa. Ni wakati sasa wa vyombo vya habari kuajiri waandishi wenye weledi na akili. Hawa wapuuzi wanaojificha kwenye neno ubunifu ni upumbavu na mzigo kwa Taifa.

View attachment 2912967
Clip wameihujumu haichezi
 
Back
Top Bottom