johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,109
Nimependa Hii Falsafa ya Katibu mkuu wa CCM Kwamba anapenda Wasema kweli, anapenda Wachapakazi na anapenda Wazalendo
Kwa kifupi Hii inaitwa Kweli, Kazi na Uzalendo ( KKU)
Kwenye Kweli yupo Mungu
Kwenye Kazi upo Utu
Kwenye Uzalendo ipo Nchi
Mungu wa mbinguni mbariki Dr Nchimbi
Kwa kifupi Hii inaitwa Kweli, Kazi na Uzalendo ( KKU)
Kwenye Kweli yupo Mungu
Kwenye Kazi upo Utu
Kwenye Uzalendo ipo Nchi
Mungu wa mbinguni mbariki Dr Nchimbi