Chama kimoja kwa miaka 62 ni uzee tosha, tukibadili

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
15,103
22,545
Salaam, Shalom!!

SHERIA zetu ziko wazi kuwa, miaka sitini ni umri wa kustaafu, inaaminika baada ya miaka 60, uwezo na nguvu za kufanya KAZI Huwa unakuwa umefika KIKOMO na kuanza kupungua Polepole. Mzee mwenye umri wa miaka sitini , ndoto zake Huwa amezihamishia Kwa watoto na wajukuu zake.

Chama hiki kina miaka 62 sasa, uwezo wake katika kusikilizia na kutatua changamoto za wananchi umeenda ukipungua siku Hadi siku ,hivi sasa hakuna tena vision ya miaka ya mbele zaidi.

Kushindwa kutatua matatizo ya nchi yakaisha ni dalili za uzee,

1. Utaona Hadi sasa tangu uhuru tunanunua madawati Kila mwaka watoto wasikae chini. Madawati hayajawahi kutosha.

2.Kila mwaka tunajenga shule na hatujawahi kumaliza. Walimu hawajawahi kutosha, Wala hatujawahi kupata pesa za kuwalipa overtime walimu nk nk


3. Kila mwaka tunajenga na kukarabati barabara, na hatujawahi kujenga barabara ya kudumu Kwa miaka hata 20 bila matengenezo.

4. Kila mwaka kipindi Cha kiangazi lazima Kuna mgao wa umeme, na imeshakuwa Rasmi. Mwaka huu, pamoja na mvua za kutosha kuwepo, na mabwawa kujaa, Bado tunapitia mgao mkali wa umeme, uwezo wa kununua token ya luku Bado Si kigezo Cha kupata umeme.

5. Dalili za uzee ni kuambiwa kuwa wingi wetu ndiyo sababu kuu ya Serikali kushindwa kutuhudumia, maji jijini Dar ni mtihani mkubwa, unaweza kumiliki choo Cha kuflash lakini usiwe na HAKIKA ya maji ya kuflash choo chako hata kama una pesa ya kulipa bills zako.

6. Chama kizee hakiwezi tena kukamata Wala kutisha wezi wa raslimali za umma, Kila mtu ala Kwa urefu wa Kamba yake.

7. Kila mwaka, lazima pawepo na upungufu wa Sukari, na lazima vitolewe vibali kuagiza nje, mwaka huu umetisha, pamoja na vibali kutolewa, Bado sukari haipo. Tumetangaziwa, wauzaji sukari wote wajisajili Kwa DC na RC, tumerudi enzi za 1984, wakati haya yakitokea, hapo Zambia Kuna sukari ya kutosha, tungetumia ndege zetu kununua fasta na kujaza soko ndani ya wiki tatizo likaisha, uzee umetamalaki.

Matatizo ya nchi ni lukuki, shime ndugu Watanzania wenzangu, chama hiki kikongwe pamoja na Uzee wake, Bado kimegoma kutaja mrithi wake, kinasubiri siku ya kufa ndipo litaje mrithi.

Kuepuka sintofahamu hiyo,

TUKIPUMZISHE KWA MASLAHI YA UMMA.

Karibuni 🙏
 
Salaam, Shalom!!

SHERIA zetu ziko wazi kuwa, miaka sirini ni umri wa kustaafu, inaaminika baada ya miaka 60, uwezo na nguvu za kufanya KAZI Huwa unakuwa umefika KIKOMO na kuanza kupungua Polepole. Mzee mwenye umri wa miaka sirini ndoto zake Huwa amezihamishia Kwa watoto na wajukuu zake.

Chama hiki kina miaka 60 sasa, uwezo wake katika kusikilizia na kutatua changamoto za wananchi umeenda ukipungua siku Hadi siku ,hivi sasa hakuna tena vision ya miaka ya mbele zaidi.

Kushindwa kutatua matatizo ya nchi yakaisha ni dalili za uzee,

1. Utaona Hadi sasa tangu uhuru tunanunua madawati Kila mwaka watoto wasikae chini.

2.Kila mwaka tunajenga shule na hatujawahi kumaliza.


3. Kila mwaka tunajenga na kukarabati barabara, na hatujawahi kujenga barabara ya kudumu Kwa miaka hata 20 bila matengenezo.

4. Kila mwaka kipindi Cha kiangazi lazima Kuna mgao wa umeme, na imeshakuwa Rasmi.

5. Dalili za uzee ni kuambiwa kuwa wingi wetu ndiyo sababu kuu ya Serikali kushindwa kutuhudumia, maji jijini dar ni mtihani mkubwa, unaweza kumiliki choo Cha kuflash lakini usiwe na HAKIKA ya maji ya kuflash choo chako hata kama una pesa ya kulipa bills zako.

Matatizo ya nchi ni lukuki, shime ndugu Watanzania wenzangu, chama hiki kikongwe pamoja na Uzee wake, Bado kimegoma kutaja mrithi wake, kinasubiri siku ya kufa ndipo litaje mrithi.

Kuepuka sintofahamu hiyo,

TUKIPUMZISHE KWA MASLAHI YA UMMA.

Karibuni 🙏


PIA UNASAHAU KUWA OLD IS GOLD .

KWANZA NAPENDEKEZA MGOMBEA URAIS AWE NA UMRI USIYOPUNGUA MIAKA 50 .ANAPOMALIZA NGWE YAKE ATAKUWA NA 60 YEARS.
 
Salaam, Shalom!!

SHERIA zetu ziko wazi kuwa, miaka sirtini ni umri wa kustaafu, inaaminika baada ya miaka 60, uwezo na nguvu za kufanya KAZI Huwa unakuwa umefika KIKOMO na kuanza kupungua Polepole. Mzee mwenye umri wa miaka sirtini , ndoto zake Huwa amezihamishia Kwa watoto na wajukuu zake.

Chama hiki kina miaka 62 sasa, uwezo wake katika kusikilizia na kutatua changamoto za wananchi umeenda ukipungua siku Hadi siku ,hivi sasa hakuna tena vision ya miaka ya mbele zaidi.

Kushindwa kutatua matatizo ya nchi yakaisha ni dalili za uzee,

1. Utaona Hadi sasa tangu uhuru tunanunua madawati Kila mwaka watoto wasikae chini.

2.Kila mwaka tunajenga shule na hatujawahi kumaliza. Walimu hawajawahi kutosha, Wala hatujawahi kupata pesa za kuwalipa overtime walimu nk nk


3. Kila mwaka tunajenga na kukarabati barabara, na hatujawahi kujenga barabara ya kudumu Kwa miaka hata 20 bila matengenezo.

4. Kila mwaka kipindi Cha kiangazi lazima Kuna mgao wa umeme, na imeshakuwa Rasmi.

5. Dalili za uzee ni kuambiwa kuwa wingi wetu ndiyo sababu kuu ya Serikali kushindwa kutuhudumia, maji jijini dar ni mtihani mkubwa, unaweza kumiliki choo Cha kuflash lakini usiwe na HAKIKA ya maji ya kuflash choo chako hata kama una pesa ya kulipa bills zako.

6. Chama kizee hakiwezi tena kukamata Wala kutisha wezi wa raslimali za umma, Kila mtu ala Kwa urefu wa Kamba yake.

7. Kila mwaka, lazima pawepo na upungufu wa Sukari, na lazima vitolewe vibali kuagiza nje, mwaka huu umetisha, pamoja na vibali kutolewa, Bado sukari haipo. Tumetangaziwa, wauzaji sukari wote wajisajili Kwa DC na RC, tumerudi enzi za 1984, wakati haya yakitokea, hapo Zambia Kuna sukari ya kutosha, tungetumia ndege zetu kununua fasta na kujazwa soko ndani ya wiki tatizo likaisha, uzee umetamalaki.

Matatizo ya nchi ni lukuki, shime ndugu Watanzania wenzangu, chama hiki kikongwe pamoja na Uzee wake, Bado kimegoma kutaja mrithi wake, kinasubiri siku ya kufa ndipo litaje mrithi.

Kuepuka sintofahamu hiyo,

TUKIPUMZISHE KWA MASLAHI YA UMMA.

Karibuni 🙏
sasa mbona ni malalamiko tu na hakuna suluhisho mbadala 🐒
 
PIA UNASAHAU KUWA OLD IS GOLD .

KWANZA NAPENDEKEZA MGOMBEA URAIS AWE NA UMRI USIYOPUNGUA MIAKA 50 .ANAPOMALIZA NGWE YAKE ATAKUWA NA 60 YEARS.
Tunaongelea uzee wa chama tawala.
 
Kwakuwa chama kizee kimeshindwa kustaafu kikiwa na nguvu, Kwa HIARI.

Ni muda muafaka tukistaafishe Kwa LAZIMA.
 
Salaam, Shalom!!

SHERIA zetu ziko wazi kuwa, miaka sitini ni umri wa kustaafu, inaaminika baada ya miaka 60, uwezo na nguvu za kufanya KAZI Huwa unakuwa umefika KIKOMO na kuanza kupungua Polepole. Mzee mwenye umri wa miaka sitini , ndoto zake Huwa amezihamishia Kwa watoto na wajukuu zake.

Chama hiki kina miaka 62 sasa, uwezo wake katika kusikilizia na kutatua changamoto za wananchi umeenda ukipungua siku Hadi siku ,hivi sasa hakuna tena vision ya miaka ya mbele zaidi.

Kushindwa kutatua matatizo ya nchi yakaisha ni dalili za uzee,

1. Utaona Hadi sasa tangu uhuru tunanunua madawati Kila mwaka watoto wasikae chini. Madawati hayajawahi kutosha.

2.Kila mwaka tunajenga shule na hatujawahi kumaliza. Walimu hawajawahi kutosha, Wala hatujawahi kupata pesa za kuwalipa overtime walimu nk nk


3. Kila mwaka tunajenga na kukarabati barabara, na hatujawahi kujenga barabara ya kudumu Kwa miaka hata 20 bila matengenezo.

4. Kila mwaka kipindi Cha kiangazi lazima Kuna mgao wa umeme, na imeshakuwa Rasmi.

5. Dalili za uzee ni kuambiwa kuwa wingi wetu ndiyo sababu kuu ya Serikali kushindwa kutuhudumia, maji jijini dar ni mtihani mkubwa, unaweza kumiliki choo Cha kuflash lakini usiwe na HAKIKA ya maji ya kuflash choo chako hata kama una pesa ya kulipa bills zako.

6. Chama kizee hakiwezi tena kukamata Wala kutisha wezi wa raslimali za umma, Kila mtu ala Kwa urefu wa Kamba yake.

7. Kila mwaka, lazima pawepo na upungufu wa Sukari, na lazima vitolewe vibali kuagiza nje, mwaka huu umetisha, pamoja na vibali kutolewa, Bado sukari haipo. Tumetangaziwa, wauzaji sukari wote wajisajili Kwa DC na RC, tumerudi enzi za 1984, wakati haya yakitokea, hapo Zambia Kuna sukari ya kutosha, tungetumia ndege zetu kununua fasta na kujaza soko ndani ya wiki tatizo likaisha, uzee umetamalaki.

Matatizo ya nchi ni lukuki, shime ndugu Watanzania wenzangu, chama hiki kikongwe pamoja na Uzee wake, Bado kimegoma kutaja mrithi wake, kinasubiri siku ya kufa ndipo litaje mrithi.

Kuepuka sintofahamu hiyo,

TUKIPUMZISHE KWA MASLAHI YA UMMA.

Karibuni
Kina uzoefu wa kutosha, hicho ndicho kinafaa
 
Suluhu ni kukistaafisha Kwa lazima chama kikongwe.

Unaunga mkono?
mvivu wa kufikiri na mwenye muhemko ndio anaweza kukujibu 🐒
eleza mbadala wa malalamiko yako tujue akili zako 🤣
weka wazi mbadala wa pendekezo lako 🤣
 
...Where there is no vision, the people perish... Kwa kukosa maono, watu huangamia/kupotea.
Je, tuibadili CCM ili chama gani kiweze ku-fill hiyo ombwe.

Tumewahi kuwa na NCCR, ikaja CUF the CDM; NCCR ilipotea kwa kugombania madaraka. CUF ilishindwa kuwa jumuishi then nao wakapotea.

CDM 2015 waligeuzia gia angani kwa vipende vya fedha na sasa ni walamba asali. Kabla ya 2015 ilikuwa taasisi yenye falsafa na vision, ila baada ya vipande vya fedha ikadhihirika sio taasisi stable yenye watu reliable.

CCM ni kundi kubwa lenye watu wenye utofauti wa muono na fikra na CCM ya JKN na JPM ina utoaufi sana na CCM ya JK na AHM. Mzee wa Lupaso alikuwa vema kwa namna ila kwa namna alizungukwa na majamaa ambayo yaliweza hadi kumshawishi 133bn zikachotwa kwenye chungu cha nchi kusaidia chaguzi. Ni mangapi ya nyuma ya pazia kama Rada mbovu, mikataba ya madini ya kupata 3% kama mrahaba; unawaza, ilikuwaje aliruhusu mambo ya hovyo namna hiyo.
Kama Spika Sam Sitta angeweza kuwa CinC, CCM yake angekuwa na uongozi bora kabisa wenye kuwajibika kwa wananchi.

Kwa namna wapinzani walivyo, ni kama wana njaa kama Esau na wakipata dengu wanasahau lengo mama la wao kuwepo na dengu ikiwa nyingi wanagombania kama Mrema na Marando, Prof Ibrahim na Malim Seif.

CCM ya sasa Watanzania wataamua, japo kuna nyakati tume inaamua kutangaza matokeo ambayo sio maamuzi ya Watanzania.

So far, kuna dude linasemekana liko kile nchi linaitwa "deep state". Hili dude likiwa pro-people, trajectory huwa inakuwa pro-people, ila likiwa linavuta ngawira za wenye nazo, basi trajectory ya vetting ya kupata uongozi bora huwa inakuwa na mashaka pia.

Tuna safari ndefu ya kuwa na uongozi wenye akili za kutumia rasilamali za nchi hii ili kuleta neema kwa Watanzania wengi.
Alieshika usukani wa Zbar kwa sasa kuna namna anasomeka kweli kwenye ramani.
 
mvivu wa kufikiri na mwenye muhemko ndio anaweza kukujibu 🐒
eleza mbadala wa malalamiko yako tujue akili zako 🤣
weka wazi mbadala wa pendekezo lako 🤣
Tutakuwa tu,

Uchaguzi u karibu, wacha tulitafute kwanza Sanduku la kura, lirudi mahala pake.
 
...Where there is no vision, the people perish... Kwa kukosa maono, watu huangamia/kupotea.
Je, tuibadili CCM ili chama gani kiweze ku-fill hiyo ombwe.

Tumewahi kuwa na NCCR, ikaja CUF the CDM; NCCR ilipotea kwa kugombania madaraka. CUF ilishindwa kuwa jumuishi then nao wakapotea.

CDM 2015 waligeuzia gia angani kwa vipende vya fedha na sasa ni walamba asali. Kabla ya 2015 ilikuwa taasisi yenye falsafa na vision, ila baada ya vipande vya fedha ikadhihirika sio taasisi stable yenye watu reliable.

CCM ni kundi kubwa lenye watu wenye utofauti wa muono na fikra na CCM ya JKN na JPM ina utoaufi sana na CCM ya JK na AHM.
Kama Spika Sam Sitta angeweza kuwa CinC, CCM yake angekuwa na uongozi bora kabisa wenye kuwajibika kwa wananchi.

Kwa namna wapinzani walivyo, ni kama wana njaa kama Esau na wakipata dengu wanasahau lengo mama la wao kuwepo na dengu ikiwa nyingi wanagombania kama Mrema na Marando, Prof Ibrahim na Malim Seif.

CCM ya sasa Watanzania wataamua, japo kuna nyakati tume inaamua kutangaza matokeo ambayo sio maamuzi ya Watanzania.

So far, kuna dude linasemekana liko kile nchi linaitwa "deep state". Hili dude likiwa pro-people, trajectory huwa inakuwa pro-people, ila likiwa linavuta ngawira za wenye nazo, basi trajectory ya vetting ya kupata uongozi bora huwa inakuwa na mashaka pia.

Tuna safari ndefu ya kuwa na uongozi wenye akili za kutumia rasilamali za nchi hii ili kuleta neema kwa Watanzania wengi.
Alieshika usukani wa Zbar kwa sasa kuna namna anasomeka kweli kwenye ramani.
Hilo dude ndo liamke sasa,

Lipate mbadala wake kabla hatujapotea gizani zaidi.
 
Salaam, Shalom!!

SHERIA zetu ziko wazi kuwa, miaka sitini ni umri wa kustaafu, inaaminika baada ya miaka 60, uwezo na nguvu za kufanya KAZI Huwa unakuwa umefika KIKOMO na kuanza kupungua Polepole. Mzee mwenye umri wa miaka sitini , ndoto zake Huwa amezihamishia Kwa watoto na wajukuu zake.

Chama hiki kina miaka 62 sasa, uwezo wake katika kusikilizia na kutatua changamoto za wananchi umeenda ukipungua siku Hadi siku ,hivi sasa hakuna tena vision ya miaka ya mbele zaidi.

Kushindwa kutatua matatizo ya nchi yakaisha ni dalili za uzee,

1. Utaona Hadi sasa tangu uhuru tunanunua madawati Kila mwaka watoto wasikae chini. Madawati hayajawahi kutosha.

2.Kila mwaka tunajenga shule na hatujawahi kumaliza. Walimu hawajawahi kutosha, Wala hatujawahi kupata pesa za kuwalipa overtime walimu nk nk


3. Kila mwaka tunajenga na kukarabati barabara, na hatujawahi kujenga barabara ya kudumu Kwa miaka hata 20 bila matengenezo.

4. Kila mwaka kipindi Cha kiangazi lazima Kuna mgao wa umeme, na imeshakuwa Rasmi.

5. Dalili za uzee ni kuambiwa kuwa wingi wetu ndiyo sababu kuu ya Serikali kushindwa kutuhudumia, maji jijini dar ni mtihani mkubwa, unaweza kumiliki choo Cha kuflash lakini usiwe na HAKIKA ya maji ya kuflash choo chako hata kama una pesa ya kulipa bills zako.

6. Chama kizee hakiwezi tena kukamata Wala kutisha wezi wa raslimali za umma, Kila mtu ala Kwa urefu wa Kamba yake.

7. Kila mwaka, lazima pawepo na upungufu wa Sukari, na lazima vitolewe vibali kuagiza nje, mwaka huu umetisha, pamoja na vibali kutolewa, Bado sukari haipo. Tumetangaziwa, wauzaji sukari wote wajisajili Kwa DC na RC, tumerudi enzi za 1984, wakati haya yakitokea, hapo Zambia Kuna sukari ya kutosha, tungetumia ndege zetu kununua fasta na kujaza soko ndani ya wiki tatizo likaisha, uzee umetamalaki.

Matatizo ya nchi ni lukuki, shime ndugu Watanzania wenzangu, chama hiki kikongwe pamoja na Uzee wake, Bado kimegoma kutaja mrithi wake, kinasubiri siku ya kufa ndipo litaje mrithi.

Kuepuka sintofahamu hiyo,

TUKIPUMZISHE KWA MASLAHI YA UMMA.

Karibuni 🙏
Akili zako za nyumbu kwani ukoo wenu bado mnaishi nyumba ileile miaka 60 toka babu na bibi zenu hadi leo? Hamkujenga nyingine? Hamjaongezeka? Vitanda na meza bado vilevile hamjanunua wala kuongeza vingine vilivyo bora?
Akili za kipumbavu sana kuwaza maisha ya miaka 60 iliyopita yawe yaleyale Hadi leo.
Watoto wawe walewale, madarasa Yale yale! Pumbavu. Kisa Mbowe yuleyule wakati CCM mwenyekiti anabadilika kila miaka 10.
 
Back
Top Bottom