Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 12, Kikao cha 8, leo Septemba 7, 2023.
https://www.youtube.com/live/soJPf67OkQM?si=PyIaBMuE5kEcrnq-
Ratiba:
Hati za kuwasilishwa Mezani...
Mungu wa mbinguni mbariki sana Tundu Antipas Lissu Ili siku moja aliongoze Taifa Hili
Tundu Antipas Lissu ni Muujiza Unaoishi
Mungu wa mbinguni awabariki sana wote mlioshiriki kuutetea Uhai wa...
Nimekuwa nikijiuliza: Tanzania kama Taifa huru tunanufaika nini na uwekezaji unaofanyika Loliondo na Ngorongoro?
Najiuliza swali hili kutokana na mateso na manyanyaso ambayo inaelezwa wenzetu...
Hakika ziara ya kanda ya ziwa ilikuwa na mafanikio makubwa.
---
Leo, natoa shukrani zangu za dhati kwa watu wote waliowezesha mikutano yetu ya Chadema katika Mikoa ya Simiyu, Shinyanga, na Mara...
Wanasiasa wamekubalu kudanganywa katika mustakabali mzima wa Uchumi na kufanya huko tunakoelekea kusitabirike
Haitoshi tu kusema Bei ya Mafuta inapanda duniani na sisi hatuchukui Hatua zozote...
Leo Bungeni Waitara alikuwa anajenga hoja ya swali la nyongeza lakini kabla hajamaliza hoja yake Naibu Spika akamwamuru na kusema "Kaa Chini".
Kitendo cha Naibu Spika kumtolea lugha ya kaa...
Wakuu,
Ni bandiko la pendekezo kwa serikali ya Tanzania kwamba kwa kuwa mji mkongwe wa Mikindani, Mtwara una historia ya kuvutia sana kwa vizazi vya sasa na vijavyo napendekeza makao makuu ya...
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amekutana na kufanya mazungumzo na Bw. Bakhti Lamine Mkurugenzi wa Michezo wa Wizara ya Vijana na Michezo ya nchini Algeria...
1. Gharama ya maisha kupanda wenyewe wakijiongezea posho ili kupambana na gharama za maisha wakiwasahau wananchi
2. Kuadimika kwa bidhaa muhimu kwa wananchi wenyewe wakipata kirahisi kwa Kodi za...
Nilikua Morogoro, wanakata asubuhi ya saa moja na kurudishwa saa 12 jioni. Wasipo kata mchana basi tegemea usiku kutakua Giza Toka saa moja hadi saa sita usiku. Hii ndo Tanzania ya CCM
Mpango wa Serikali kutumia miaka mitatu kutoa elimu ya Katiba kwa wananchi kabla ya kuendelea na mchakato umepata upinzani mpya baada ya mawaziri wakuu watatu wastaafu kuhoji sababu za uelimishaji...
Kupitia TBC tulimsikia Mh Rais Samia Suluhu Hassan akihutubia kwenye mkutano wa wadau wa kilimo na chakula.
Katika mkutano huo waliandaa jukwaa kwaajili ya vijana kumuuliza maswali Mh Rais Samia...
Nilikuwa maeneo ya Katoro ,soko kuu la ccm, nimeona wafanyabiashara wa eneo hilo na machinga wa soko wakilaumu kuwa wamepewa notisi ya siku 49 kupisha mwekezaji mpya wa kujenga hilo soko, ambae...
Wadau nawasalimu.
Naomba nielekee kwenye hoja muhimu kuhusu Mhimili wa Mahakama.
Mahakama zetu zimekuwa zikipokea idadi kubwa ya mashauri kwa lengo la kutoa hukumu.
Hata hivyo, kumekuwa na...
Asalam,
Mods, nipeni nafasi kidogo na mada zangu. Kwa kawaida zina utofauti sana na nyingine pamoja na changamoto ya uandishi, kueleweka na mapambano hapa jukwaani.
1. Changamoto ya uandishi...
Ndugu zangu Watanzania,
Nimeendelea kuzisikia Sauti za watanzania kupitia mitandao ya kijamii, kuona hali halisi katika vituo vya mafuta vilivyo karibu na mtaani kwangu. Nimeendelea kufanya...
MBUNGE EDWARD LEKAITA AKICHANGIA MSWADA WA MABADILIKO YA SHERIA YA KANDA MAALUM YA UWEKEZAJI (MAUZO YA NJE) NA UCHUMI
Mhe. Edward Ole Lekaita akichangia Bungeni jijini Dodoma katika Mswada wa...
Mwanasheria wa BASATA Mhe. Kamugisha amesema wao hawana taarifa za Nay wa Mitego kuitwa Polisi na kwamba mambo ya Jinai siyo majukumu yao.
Kamugisha amesema wao wanadili na Maadili ya Sanaa tu na...
Je gari analotumia namba yake inabidi ibadilishwe kuwa NWM au itawekwa ngao? Au inasomekaje?
Anakuwa na msafara kama Waziri Mkuu?
Ofisi yake ipo ndani ya ofisi ya Waziri Mkuu?
Endapo kuna...
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Ndugu Abdulrahman Kinana, ameziagiza kamati za siasa za CCM, kuwafuatilia na kuwachukulia hatua wanachama walioanza kupitapita kusaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.