Leo Bungeni Waitara alikuwa anajenga hoja ya swali la nyongeza lakini kabla hajamaliza hoja yake Naibu Spika akamwamuru na kusema "Kaa Chini".
Kitendo cha Naibu Spika kumtolea lugha ya kaa...
Wakuu,
Ni bandiko la pendekezo kwa serikali ya Tanzania kwamba kwa kuwa mji mkongwe wa Mikindani, Mtwara una historia ya kuvutia sana kwa vizazi vya sasa na vijavyo napendekeza makao makuu ya...
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amekutana na kufanya mazungumzo na Bw. Bakhti Lamine Mkurugenzi wa Michezo wa Wizara ya Vijana na Michezo ya nchini Algeria...
1. Gharama ya maisha kupanda wenyewe wakijiongezea posho ili kupambana na gharama za maisha wakiwasahau wananchi
2. Kuadimika kwa bidhaa muhimu kwa wananchi wenyewe wakipata kirahisi kwa Kodi za...
Nilikua Morogoro, wanakata asubuhi ya saa moja na kurudishwa saa 12 jioni. Wasipo kata mchana basi tegemea usiku kutakua Giza Toka saa moja hadi saa sita usiku. Hii ndo Tanzania ya CCM
Mpango wa Serikali kutumia miaka mitatu kutoa elimu ya Katiba kwa wananchi kabla ya kuendelea na mchakato umepata upinzani mpya baada ya mawaziri wakuu watatu wastaafu kuhoji sababu za uelimishaji...
Kupitia TBC tulimsikia Mh Rais Samia Suluhu Hassan akihutubia kwenye mkutano wa wadau wa kilimo na chakula.
Katika mkutano huo waliandaa jukwaa kwaajili ya vijana kumuuliza maswali Mh Rais Samia...
Nilikuwa maeneo ya Katoro ,soko kuu la ccm, nimeona wafanyabiashara wa eneo hilo na machinga wa soko wakilaumu kuwa wamepewa notisi ya siku 49 kupisha mwekezaji mpya wa kujenga hilo soko, ambae...
Wadau nawasalimu.
Naomba nielekee kwenye hoja muhimu kuhusu Mhimili wa Mahakama.
Mahakama zetu zimekuwa zikipokea idadi kubwa ya mashauri kwa lengo la kutoa hukumu.
Hata hivyo, kumekuwa na...
Asalam,
Mods, nipeni nafasi kidogo na mada zangu. Kwa kawaida zina utofauti sana na nyingine pamoja na changamoto ya uandishi, kueleweka na mapambano hapa jukwaani.
1. Changamoto ya uandishi...
Ndugu zangu Watanzania,
Nimeendelea kuzisikia Sauti za watanzania kupitia mitandao ya kijamii, kuona hali halisi katika vituo vya mafuta vilivyo karibu na mtaani kwangu. Nimeendelea kufanya...
MBUNGE EDWARD LEKAITA AKICHANGIA MSWADA WA MABADILIKO YA SHERIA YA KANDA MAALUM YA UWEKEZAJI (MAUZO YA NJE) NA UCHUMI
Mhe. Edward Ole Lekaita akichangia Bungeni jijini Dodoma katika Mswada wa...
Mwanasheria wa BASATA Mhe. Kamugisha amesema wao hawana taarifa za Nay wa Mitego kuitwa Polisi na kwamba mambo ya Jinai siyo majukumu yao.
Kamugisha amesema wao wanadili na Maadili ya Sanaa tu na...
Je gari analotumia namba yake inabidi ibadilishwe kuwa NWM au itawekwa ngao? Au inasomekaje?
Anakuwa na msafara kama Waziri Mkuu?
Ofisi yake ipo ndani ya ofisi ya Waziri Mkuu?
Endapo kuna...
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Ndugu Abdulrahman Kinana, ameziagiza kamati za siasa za CCM, kuwafuatilia na kuwachukulia hatua wanachama walioanza kupitapita kusaka...
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema akimaliza mkoa wa Mara kituo kinachofuata ni Kanda ya Nyasa na wataanzia Mbeya kwa Wakili Msomi Mwabukusi kisha wataendelea Songwe kwa mh Mdude, Rukwa...
Naomba wale walioko Zanzibar watueleze hali ya upatikanaji wa Mafuta upande huo na ikiwezekana watupe na bei kwa lita Moja , tulinganishe na Tanganyika ambaye ni Mshirika wao wa Muungano...
Akizungumza kwenye kipindi cha asubuhi katibu wa waagizaji wa mafuta anasema hao wanaosema mafuta yamefichwa hawasemi ukweli.
Anasema waliishauri serikali tangu January kwamba iongeze dollar ili...
Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki katika Jukwaa la Mfumo wa Chakula barani Afrika (AGRF) inayofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere...
Ikiwa ni siku 3 kupita tangu waziri mwenye dhamana kuwahadaa wananchi kuwa Tanzania kunamafuta ya kutosheleza.
Ikiwa ni siku 2 kabla ya mwenge wa uhuru kumulika wilaya ya kyela.
Naomba kutoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.