Wakuu salaam
Kama tunavyojua, kwenye Nchi yetu bado kuna Mvutano wa Wakurugenzi kusimamia Uchaguzi baada ya kubainika kwamba Wakurugenzi ni Makada wa chama cha Mapinduzi.
Hivyo Vyama vya...
Mbunge Nicodemus Maganga: Siasa Zisitugombanishe - Uchaguzi wa Diwani katika Kata ya Isebya
Mbunge wa Jimbo la Mbogwe Mkoani Geita Mhe. Nicodemus Maganga amewataka wananchi wa Kata ya Isebya...
Ni Jambo la kushangaza kwa Chama cha Mapinduzi CCM Kumteua Daniel Chongolo aliyekuwa KATIBU MKUU wa CCM aliyejiuzulu kwa KASHFA ziliyozagaa ktk VYOMBO mbalimbali vya Habari.
Ni wazi CCM...
Ndugu zangu Watanzania,
Marais na viongozi wetu wote wa jumuiya ya Afrika mashariki wamekubaliana kwa kauli moja kumuunga mkono waziri mkuu wa zamani wa kenya wakati wa utawala wa mwai kibaki...
Waziri Jerry Silaa, chambua kwa kina taarifa Za eneo hilo.
Nikukumbushe tu kuwa eneo hilo lilikuwa open space na sasa lina hati kamili.
Mwisho panajengwa kituo cha mafuta.
Rais Samia Hassan Suluhu amemteua Jacob Simon Nkwera kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba.
Kabla ya uteuzi huu, Nkwera alikuwa Afisa Mwandamizi, Taasisi ya Kuzuia na...
Uchaguzi wa 2020 na Uchaguzi wa 2025 hauna TOFAUTI
KATIBA bado ni ile ile
TUME ya UCHAGUZI bado ni ile ile
MWENYEKITI wa TUME bado ni Mteule wa Mgombea Urais
WAKURUGENZI wa Wilaya ambao ni...
Hivi nchi yetu itakuwa na raha kiasi gani pale mama Samia S. Hassan akigombea na kuwa rais wa nchi yetu kupitia ccm , kwa mwaka 2020? Nadhani ccm itabadilika na tanzania itaweka historia nzuri...
Serikali ya Afrika Kusini imeendelea kutambua na kuuenzi mchango wa Baba wa Taifa la Tanzania, Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere katika harakati za kupigania uhuru wa nchi hiyo na bara la...
Msanii Steve Nyerere amefanya tathmini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu kwa kipindi cha miaka mitatu na kumpongeza kwa kufanya mambo makubwa ikiwemo kuondoa tatizo la upatikanaji wa umeme, kuleta...
Katibu mkuu wa zamani wa CHADEMA Dkt. Slaa amesema hana Mpango wa kurejea CHADEMA na Kwamba ataendelea kufanya siasa kama Mtu Huru
Dkt. Slaa amesema hajaacha Mayai Chadema
Ramadan Kareem 😄...
Mazungumzo ya Wanasiasa wakongwe na Chipukizi yanafanyika UDSM, leo Jumatatu Machi 11, 2024.
https://www.youtube.com/watch?v=0bf-4hr44BI
Majadiliano Rika (Intergenerational Dialogues) ndani ya...
Nikifikiri Taifa lilivyo na issues complex kwa huu utawala wa sasa TCD wanakuja na dialogue ya kuwabebea ma bag mabwanyenye ili kupata uongozi ndani ya nchi ni dhahri kuwa tuna jamii iliyokuwa na...
Toka kampeni ya kumchangia Rais Samia pesa za kuchukua fomu makundi mbalimbali yameendelea kujitokeza kumchangia. Hivi toka walipoanza wakuu wa shule mpaka sasa PM naye kaenda kuchangisha wanawake...
Habari wadau.
Nimekuwa nikitafakari utendaji wa rais wa tz .kila siku ni kufanya uteuzi kwa masirahi ya nani??Unakuta mtu amekaa kituo cha kazi miezi 4 Alafu anahamishwa kwenda kituo kingine je...
Joseph Mbilinyi aka Sugu alikuwa EFM
Leo Lema ilikuwa awe Clouds TV lakini akapatwa na dharura
Kesho John Heche atakuwa yuko Power Breakfast Clouds FM
Je, ni Matunda ya Maridhiano au ni Swaga...
Jana nilishtuka baada ya kuona wakinamama waliochanga mil 200 ya kumchukulia mama Samia fomu ya kugombea urais.
Tukikaa kimya mama anaweza kudhani anaupiga mwingi sana na kila kitu kinaenda...
Mara kadhaa nimeandika kuilalamikia hii Taasisi. Hii Taasisi kwa sehemu kubwa imeonesha kutoweza fanya kazi yake ya msingi ambayo kulinda maslahi ya Tanzania.
Muundo wa TISS hauna malengo mapana...
Magheto na uharibifu wa mji wa Dar ulianzishwa na Rais wa awamu ya pili Ali Mwinyi.
Rais Mwinyi ndiye aliyeruhusu fukwe zetu kuvamiwa kwa kuruhusu hoteli kujengwa beach kinyume na sheria zetu za...