Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,272
- 2,035
Uchaguzi wa 2020 na Uchaguzi wa 2025 hauna TOFAUTI
KATIBA bado ni ile ile
TUME ya UCHAGUZI bado ni ile ile
MWENYEKITI wa TUME bado ni Mteule wa Mgombea Urais
WAKURUGENZI wa Wilaya ambao ni WASIMAMIZI wa Uchaguzi bado ni Wateule wa Mgombea URAIS
WANANCHI tusitaraji UCHAGUZI utakuwa TOFAUTI na wa 2020 Kwani kila kitu kipo vilevile.
HOFU ya 2020 Itakuwepo kwa Viongozi wa Dini na Asasi mbalimbali na VYAMA vya UPINZANI.
Kumbukeni kauli hii
"NAKUTEUA NAKULIPA MSHAHARA NA GARI NISIKIE UMEMTANGAZA MPINZANI"
KATIBA bado ni ile ile
TUME ya UCHAGUZI bado ni ile ile
MWENYEKITI wa TUME bado ni Mteule wa Mgombea Urais
WAKURUGENZI wa Wilaya ambao ni WASIMAMIZI wa Uchaguzi bado ni Wateule wa Mgombea URAIS
WANANCHI tusitaraji UCHAGUZI utakuwa TOFAUTI na wa 2020 Kwani kila kitu kipo vilevile.
HOFU ya 2020 Itakuwepo kwa Viongozi wa Dini na Asasi mbalimbali na VYAMA vya UPINZANI.
Kumbukeni kauli hii
"NAKUTEUA NAKULIPA MSHAHARA NA GARI NISIKIE UMEMTANGAZA MPINZANI"