Marais wa Afrika mashariki wakubaliana kwa kauli moja kumuunga mkono Raila Odinga Uwenyekiti wa Tume ya umoja wa Afrika

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,270
9,716
Ndugu zangu Watanzania,

Marais na viongozi wetu wote wa jumuiya ya Afrika mashariki wamekubaliana kwa kauli moja kumuunga mkono waziri mkuu wa zamani wa kenya wakati wa utawala wa mwai kibaki Mheshimiwa Raila Odinga katika nafasi ya Uwenyekiti wa tume ya umoja wa Afrika.

hayo yamesemwa na Rais wa kenya Mheshimiwa William Ruto kuwa kwa pamoja viongozi wa EAC walijadili kwa kina na kufikia muafaka wa kuamua kumuunga mkono mgombea Raila Odinga ambaye anatokea ukanda huu wa Afrika mashariki.

Nimeona niwaletee habari hii kwa kuwa awali watu walivumisha habari na taarifa kuwa Mheshimiwa Rais wetu mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa anawania nafasi hii. Lakini ukweli ni kuwa kama Mheshimiwa dkt Jakaya Mrisho Kikwete angeamua kugombea nafasi hii Basi angezoa kura zooote za ndio za wajumbe, na naamini hakuna mgombea ambaye angependa kushindana na dkt Jakaya Mrisho Kikwete katika sanduku la kura,maana katika siasa za kimataifa na Afrika kwa ujumla dkt Jakaya Mrisho Kikwete ni mwamba na Jabali kwelikweli na hana wa kushindanishwa naye wala kushindana naye kwa viongozi waliostaafu.

Anapendwa na kukubalika sanaa tena sana barani Afrika na hata nje ya Afrika.ndio maana mnaona namna ambavyo amekuwa akipewa majukumu mbalimbali hapa barani Afrika,kama vile kuongoza timu za uangalizi wa chaguzi mbalimbali zinazofanyika hapa barani Afrika kama ambavyo hivi majuzi alivyotoka kufanya majukumu hayo nchini Congo.

Kwa undani zaidi wa taarifa hiyo ya viongozi wa Afrika mashariki kuamua kumuunga mkono Mheshimiwa Raila Odinga, nunua na kasome gazeti la Mwananchi ambako ndiko niliko itoa habari hii .ndio maana nimeona nieleze ili ukitaka kuelewa kwa undani basi iwe rahisi kwako msomaji wangu wa jamii forum kwenda moja kwa moja ndani ya gazeti la Mwananchi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
 
Hivi unapata wapi ujasiri wa kumsifia huyo jk? Si yeye awamu yake nchi ilinuka kwa rushwa na UFISADI WA KUTISHA bila kumsahau marehemu lowassa?

Nguvu ya kuwasifia hawa watu mnaitoaga wapi nyie mbweha? Eti unamuita jabali, au na wewe ndo wale akina mwijaku mnapigwa miti ili kusifia wanaume wenzenu mitandaoni?
 
Kwamba Kikwete ameacha kupenda posho..nyokooooo Ile family iache tu hatuna cha kuifanya
Uwe na adabu kwa viongozi wetu.kazi ni kipimo cha utu.fanya kazi kwa bidii na kujituma.usitumie muda mwingi kulalamika lalamika badala ya kutimiza wajibu wako utakao kukwambia kiuchumi na kuleta nuru katika maisha yako. Wajibu wa kuleta maendeleo yako upo katika mikono yako mwenyewe.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Marais na viongozi wetu wote wa jumuiya ya Afrika mashariki wamekubaliana kwa kauli moja kumuunga mkono waziri mkuu wa zamani wa kenya wakati wa utawala wa mwai kibaki Mheshimiwa Raila Odinga katika nafasi ya Uwenyekiti wa tume ya umoja wa Afrika.

hayo yamesemwa na Rais wa kenya Mheshimiwa William Ruto kuwa kwa pamoja viongozi wa EAC walijadili kwa kina na kufikia muafaka wa kuamua kumuunga mkono mgombea Raila Odinga ambaye anatokea ukanda huu wa Afrika mashariki.

Nimeona niwaletee habari hii kwa kuwa awali watu walivumisha habari na taarifa kuwa Mheshimiwa Rais wetu mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa anawania nafasi hii. Lakini ukweli ni kuwa kama Mheshimiwa dkt Jakaya Mrisho Kikwete angeamua kugombea nafasi hii Basi angezoa kura zooote za ndio za wajumbe, na naamini hakuna mgombea ambaye angependa kushindana na dkt Jakaya Mrisho Kikwete katika sanduku la kura,maana katika siasa za kimataifa na Afrika kwa ujumla dkt Jakaya Mrisho Kikwete ni mwamba na Jabali kwelikweli na hana wa kushindanishwa naye wala kushindana naye kwa viongozi waliostaafu.

Anapendwa na kukubalika sanaa tena sana barani Afrika na hata nje ya Afrika.ndio maana mnaona namna ambavyo amekuwa akipewa majukumu mbalimbali hapa barani Afrika,kama vile kuongoza timu za uangalizi wa chaguzi mbalimbali zinazofanyika hapa barani Afrika kama ambavyo hivi majuzi alivyotoka kufanya majukumu hayo nchini Congo.

Kwa undani zaidi wa taarifa hiyo ya viongozi wa Afrika mashariki kuamua kumuunga mkono Mheshimiwa Raila Odinga ,nunua na kasome gazeti la Mwananchi ambako ndiko niliko itoa habari hii .ndio maana nimeona nieleze ili ukitaka kuelewa kwa undani basi iwe rahisi kwako msomaji wangu wa jamii forum kwenda moja kwa moja ndani ya gazeti la Mwananchi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
🚮
 
Ndugu zangu Watanzania,

Marais na viongozi wetu wote wa jumuiya ya Afrika mashariki wamekubaliana kwa kauli moja kumuunga mkono waziri mkuu wa zamani wa kenya wakati wa utawala wa mwai kibaki Mheshimiwa Raila Odinga katika nafasi ya Uwenyekiti wa tume ya umoja wa Afrika.

hayo yamesemwa na Rais wa kenya Mheshimiwa William Ruto kuwa kwa pamoja viongozi wa EAC walijadili kwa kina na kufikia muafaka wa kuamua kumuunga mkono mgombea Raila Odinga ambaye anatokea ukanda huu wa Afrika mashariki.

Nimeona niwaletee habari hii kwa kuwa awali watu walivumisha habari na taarifa kuwa Mheshimiwa Rais wetu mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa anawania nafasi hii. Lakini ukweli ni kuwa kama Mheshimiwa dkt Jakaya Mrisho Kikwete angeamua kugombea nafasi hii Basi angezoa kura zooote za ndio za wajumbe, na naamini hakuna mgombea ambaye angependa kushindana na dkt Jakaya Mrisho Kikwete katika sanduku la kura,maana katika siasa za kimataifa na Afrika kwa ujumla dkt Jakaya Mrisho Kikwete ni mwamba na Jabali kwelikweli na hana wa kushindanishwa naye wala kushindana naye kwa viongozi waliostaafu.

Anapendwa na kukubalika sanaa tena sana barani Afrika na hata nje ya Afrika.ndio maana mnaona namna ambavyo amekuwa akipewa majukumu mbalimbali hapa barani Afrika,kama vile kuongoza timu za uangalizi wa chaguzi mbalimbali zinazofanyika hapa barani Afrika kama ambavyo hivi majuzi alivyotoka kufanya majukumu hayo nchini Congo.

Kwa undani zaidi wa taarifa hiyo ya viongozi wa Afrika mashariki kuamua kumuunga mkono Mheshimiwa Raila Odinga, nunua na kasome gazeti la Mwananchi ambako ndiko niliko itoa habari hii .ndio maana nimeona nieleze ili ukitaka kuelewa kwa undani basi iwe rahisi kwako msomaji wangu wa jamii forum kwenda moja kwa moja ndani ya gazeti la Mwananchi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Mpuuzi wewe Mjinga Mwashambwa

Kikwete lazima ashike hiyo nafasi mtanzania mwenzetu
 
Mpuuzi wewe Mjinga Mwashambwa

Kikwete lazima ashike hiyo nafasi mtanzania mwenzetu
Inaonyesha hagombei na kama angegombea angepita kwa kishindo ambacho kingeitetemesha Dunia nzima. Kwani nani kakuambia kuwa Mstaafu dkt Jakaya Mrisho Kikwete anagombea? Kama una taarifa hiyo naomba uweke hapa jukwaani muda huu.
 
Siasa za JK hazitoki nje ya Lumumba,
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete anaweza kugombea nafasi yoyote ile Barani Afrika ana akapita na kushinda kwa kishindo kikuu. Kumbuka amekuwa waziri wa mambo ya nje kwa miaka kumi mfululizo pamoja na kuwa Rais wa nchi kwa miaka Kumi mfululizo.kwa hiyo amejijengea heshima kubwa sana barani Afrika na DUNIANI KWOTE KWA UJUMLA WAKE
 
Uwe na adabu kwa viongozi wetu.kazi ni kipimo cha utu.fanya kazi kwa bidii na kujituma.usitumie muda mwingi kulalamika lalamika badala ya kutimiza wajibu wako utakao kukwambia kiuchumi na kuleta nuru katika maisha yako. Wajibu wa kuleta maendeleo yako upo katika mikono yako mwenyewe.
Kwa hiyo Lucas, ww, unaona, Mambo yapo sawa???
 
Kwa hiyo Lucas, ww, unaona, Mambo yapo sawa???
Naziona juhudi kubwa sana zinazofanywa na serikali yetu katika kutatua changamoto mbalimbali pamoja na kuleta maendeleo yanayogusa maisha ya watu. Kwa hiyo naona mambo yanakwenda vizuri kabisa
 
Hakuna Umoja Hapo Hao Wanaoshindwa Kuisaidia Congo Wanangoja Mabeberu Watoe Pesa Wapigane Vita
 
Back
Top Bottom