figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Wakuu salaam
Kama tunavyojua, kwenye Nchi yetu bado kuna Mvutano wa Wakurugenzi kusimamia Uchaguzi baada ya kubainika kwamba Wakurugenzi ni Makada wa chama cha Mapinduzi.
Hivyo Vyama vya upinzani vinaona havitendewi haki uchaguzi uchaguzi kusimamiwa na chama shindani.
Lakini pamoja na yote, huyu Mkurugenzi Aron Kagurumjuli, anawezaje kujigawa kufanya kazi za Ukurugenzi na Kazi za CCM kwa wakati Mmoja?
Ni vipi Wananchi wa CUF, ACT na CHADEMA wanapata haki kwenye Ofisi yake? Au hawa ndo wale Mpinzani akienda kuchukua Fomu wanakimbia na kifunga Mlango?
Kuna dhamira ya kudumisha Demokrasia kwenye Nchi yetu kweli?
Hapo awali Hayati Magufuli alimtumbua Ukurugenzi Kinondoni baada ya kuona anafanya janja janja ya Viwanja hasa vya Coco Beach. Ila Baadaye Dr. Samia akamrudisha kwa mbwembwe.
Mr ARON KAGURUMJULI-City Director
(Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza)
Kama tunavyojua, kwenye Nchi yetu bado kuna Mvutano wa Wakurugenzi kusimamia Uchaguzi baada ya kubainika kwamba Wakurugenzi ni Makada wa chama cha Mapinduzi.
Hivyo Vyama vya upinzani vinaona havitendewi haki uchaguzi uchaguzi kusimamiwa na chama shindani.
Lakini pamoja na yote, huyu Mkurugenzi Aron Kagurumjuli, anawezaje kujigawa kufanya kazi za Ukurugenzi na Kazi za CCM kwa wakati Mmoja?
Ni vipi Wananchi wa CUF, ACT na CHADEMA wanapata haki kwenye Ofisi yake? Au hawa ndo wale Mpinzani akienda kuchukua Fomu wanakimbia na kifunga Mlango?
Kuna dhamira ya kudumisha Demokrasia kwenye Nchi yetu kweli?
Hapo awali Hayati Magufuli alimtumbua Ukurugenzi Kinondoni baada ya kuona anafanya janja janja ya Viwanja hasa vya Coco Beach. Ila Baadaye Dr. Samia akamrudisha kwa mbwembwe.
Mr ARON KAGURUMJULI-City Director
(Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza)