Ni muda muafaka Afrika Mashariki kuwa taifa moja lenye Rais mmoja na Serikali moja

mr pipa

JF-Expert Member
Jul 26, 2021
2,330
4,853
Huwa nawazaga hivi kwa viongozi mliopo madarakani hakuna anaewaza kuitawala Afrika Mashariki yote na kulifanya likawa taifa moja?

Kwa sasa naiona hiyo ni fursa kwa viongozi wa Tanzania kujitafakari na kuchanga karata ili muweze pata fursa ya kufikia lengo hili, ila kama mtaendelea kuwaza kujenga madarasa, na kuunga juhudi za vyama, niwaambie tu kuna siku upepo utabadilika itatokea taifa mojawapo hapa Afrika Mashariki litajikuza kiuchumi, kiteknolojia, nk, na kuanza kuchukua mamlaka kinguvu ndani ya mataifa mengine, na tutapofikia huko tambueni kwamba mtakuwa mmechelewa.

Mimi naamini kuna viongozi kati yenu ndani ya Afrika Mashariki wanawaza kuzitawala nchi nyingine, na nchi mmoja wapo ni Rwanda huyu jamaa wa Rwanda endapo angepata na atapata nyezo na nafasi thabiti mtajikuta mnatawaliwa na kuunganishwa na kuwa nchi moja, na hili haliwezi fikika kirahisi, kama hutotumia akili na mahesabu makali kulitimiza.

nb: Viongozi wa Tanzania ni muda wenu sasa kujipanga ili hiyi nafasi ibaki kwenu.
 
Huwa nawazaga hivi kwa viongozi mliopo madarakani hakuna anaewaza kuitawala Afrika Mashariki yote na kulifanya likawa taifa moja?

Kwa sasa naiona hiyo ni fursa kwa viongozi wa Tanzania kujitafakari na kuchanga karata ili muweze pata fursa ya kufikia lengo hili, ila kama mtaendelea kuwaza kujenga madarasa, na kuunga juhudi za vyama, niwaambie tu kuna siku upepo utabadilika itatokea taifa mojawapo hapa Afrika Mashariki litajikuza kiuchumi, kiteknolojia, nk, na kuanza kuchukua mamlaka kinguvu ndani ya mataifa mengine, na tutapofikia huko tambueni kwamba mtakuwa mmechelewa.

Mimi naamini kuna viongozi kati yenu ndani ya Afrika Mashariki wanawaza kuzitawala nchi nyingine, na nchi mmoja wapo ni Rwanda huyu jamaa wa Rwanda endapo angepata na atapata nyezo na nafasi thabiti mtajikuta mnatawaliwa na kuunganishwa na kuwa nchi moja, na hili haliwezi fikika kirahisi, kama hutotumia akili na mahesabu makali kulitimiza.

nb: Viongozi wa Tanzania ni muda wenu sasa kujipanga ili hiyi nafasi ibaki kwenu.
siyo kagame au museveni wakabila wakubwa mbwa hawa!! Mungu awajalie kifo kwa maovu walioitendea Africa
 
Taifa moja ndani ya bara hili ni day dream,halitakuja kutokea,mfano ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar mpaka sasa ni jambo linalo lindwa kwa nguvu kuliko utashi wa kutumia akili.

EAC inazidi kuongeza members tu,wakati mambo kama pesa ya pamoja imeshindikana,kila uchwao mataifa yanafungiana mipaka nk.
 
Hilo likitokea kuna kiumbe atarudishwa kuwa katibu muhtasi kwa mujibu wa upeo wake mdogo.

Kutatokea vurumai baina ya Wakenya na Kagame juu ya nani awe raisi. Kagame anaamini yeye ni mteule wa Mungu na ndie pekee mwenye uwezo wa kuongoza wengine. Wakenya wanaamini wao ni taifa teule East Africa na kuwa kila kizuri kiwe chao.
 
Kuna faida nyingi sana africa mashariki au afrika zingeungana kuwa nchi moja
Hiyo ni ndoto ya mchana, kwa bara lililojaa viongozi wabinafsi, waroho wa madaraka na mali, wenye kujilimbikizia maradufu kwa gharama ya mateso ya raia wanaowaongoza, ni ndoto ya mchana kweli kweli kuungana hata kwa A. Mashariki tu
 
Hilo likitokea kuna kiumbe atarudishwa kuwa katibu muhtasi kwa mujibu wa upeo wake mdogo.

Kutatokea vurumai baina ya Wakenya na Kagame juu ya nani awe raisi. Kagame anaamini yeye ni mteule wa Mungu na ndie pekee mwenye uwezo wa kuongoza wengine. Wakenya wanaamini wao ni taifa teule East Africa na kuwa kila kizuri kiwe chao.
na hakuna rais katk nchi yake atakubaliana na hili ndio mana nasema kwanza inaitajika taifa super power kwenye kila nyanja sio ushawish wa maneno
 
Hilo likitokea kuna kiumbe atarudishwa kuwa katibu muhtasi kwa mujibu wa upeo wake mdogo.

Kutatokea vurumai baina ya Wakenya na Kagame juu ya nani awe raisi. Kagame anaamini yeye ni mteule wa Mungu na ndie pekee mwenye uwezo wa kuongoza wengine. Wakenya wanaamini wao ni taifa teule East Africa na kuwa kila kizuri kiwe chao.
na hakuna rais katk nchi yake atakubaliana na hili ndio mana nasema kwanza inaitajika taifa super power kwenye kila nyanja sio ushawish wa maneno
 
Hilo likitokea kuna kiumbe atarudishwa kuwa katibu muhtasi kwa mujibu wa upeo wake mdogo.

Kutatokea vurumai baina ya Wakenya na Kagame juu ya nani awe raisi. Kagame anaamini yeye ni mteule wa Mungu na ndie pekee mwenye uwezo wa kuongoza wengine. Wakenya wanaamini wao ni taifa teule East Africa na kuwa kila kizuri kiwe chao.
na hakuna rais katk nchi yake atakubaliana na hili ndio mana nasema kwanza inaitajika taifa super power kwenye kila nyanja sio ushawish wa maneno
 
Waafrika na uroho wa madaraka, kila mmoja ataona hajatendewa haki kukikosa hiko kiti cha Uraisi. Wengine watagoma hata kutoa ada ya hiyo federation. Nafikiri waanze kutumia sarafu moja ndio waje na uraisi sasa.
 
Back
Top Bottom