mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,330
- 4,853
Huwa nawazaga hivi kwa viongozi mliopo madarakani hakuna anaewaza kuitawala Afrika Mashariki yote na kulifanya likawa taifa moja?
Kwa sasa naiona hiyo ni fursa kwa viongozi wa Tanzania kujitafakari na kuchanga karata ili muweze pata fursa ya kufikia lengo hili, ila kama mtaendelea kuwaza kujenga madarasa, na kuunga juhudi za vyama, niwaambie tu kuna siku upepo utabadilika itatokea taifa mojawapo hapa Afrika Mashariki litajikuza kiuchumi, kiteknolojia, nk, na kuanza kuchukua mamlaka kinguvu ndani ya mataifa mengine, na tutapofikia huko tambueni kwamba mtakuwa mmechelewa.
Mimi naamini kuna viongozi kati yenu ndani ya Afrika Mashariki wanawaza kuzitawala nchi nyingine, na nchi mmoja wapo ni Rwanda huyu jamaa wa Rwanda endapo angepata na atapata nyezo na nafasi thabiti mtajikuta mnatawaliwa na kuunganishwa na kuwa nchi moja, na hili haliwezi fikika kirahisi, kama hutotumia akili na mahesabu makali kulitimiza.
nb: Viongozi wa Tanzania ni muda wenu sasa kujipanga ili hiyi nafasi ibaki kwenu.
Kwa sasa naiona hiyo ni fursa kwa viongozi wa Tanzania kujitafakari na kuchanga karata ili muweze pata fursa ya kufikia lengo hili, ila kama mtaendelea kuwaza kujenga madarasa, na kuunga juhudi za vyama, niwaambie tu kuna siku upepo utabadilika itatokea taifa mojawapo hapa Afrika Mashariki litajikuza kiuchumi, kiteknolojia, nk, na kuanza kuchukua mamlaka kinguvu ndani ya mataifa mengine, na tutapofikia huko tambueni kwamba mtakuwa mmechelewa.
Mimi naamini kuna viongozi kati yenu ndani ya Afrika Mashariki wanawaza kuzitawala nchi nyingine, na nchi mmoja wapo ni Rwanda huyu jamaa wa Rwanda endapo angepata na atapata nyezo na nafasi thabiti mtajikuta mnatawaliwa na kuunganishwa na kuwa nchi moja, na hili haliwezi fikika kirahisi, kama hutotumia akili na mahesabu makali kulitimiza.
nb: Viongozi wa Tanzania ni muda wenu sasa kujipanga ili hiyi nafasi ibaki kwenu.