Kimei na mkakati wa kukabiliana na umaskini wa kipato kupitia zao la parachichi Vunjo

MTANZANIA620

Member
Jun 20, 2023
34
30
Umaskini hususani wa kipato ni moja kati ya maadui wa maendeleo ambao Chama Cha Mapinduzi (CCM), serikali zetu pamoja na wadau wa maendeleo wameendelea kupambana nao kwa nguvu zote.

Binafsi nimekuwa nashirikiana na madiwani wenzangu 22 wa Jimbo letu la Vunjo pamoja na viongozi wa serikali ngazi zote ikiwemo wizara yetu ya Kilimo kutekeleza mipango mbalimbali yenye lengo la kuinua ubora wa maisha, ustawi wa jamii na kupunguza umaskini ikiwemo uwezeshaji wa mafunzo ya kilimo cha parachichi pamoja na ugawaji wa miche ya parachichi aina ya Hass bure kwa wananchi wenye utayari.

Ukiwa sasa ni msimu wa pili, Wananchi wameonesha mwamko mkubwa wa kuhitaji miche hii ya parachichi hii inatokana na wao kutambua fursa za kiuchumi zitokanazo na zao hili.

Kwa kutambua ardhi yetu na hali yetu ya hewa inakubali kilimo cha zao la parachichi ambalo pia lina soko kubwa kimataifa tumejiwekea lengo la kugawa miche 20,000 ifikapo 2025. Mkakati huu utawapa Wananchi wetu kipato kizuri, utaongeza ajira na itaiongezea mapato halmashauri yetu.

Tunaendelea kushirikiana na TAHA kuzalisha miche bora ya parachichi ambayo tutaigawa mwishoni mwa Januari mwaka 2024. Nitoe rai kwa wananchi wetu kufuata utaratibu ule ule wa kujisajili au kuandikisha majina kwenye ofisi za watendaji wa kata na madiwani wetu watatufikishia majina hayo.

Wananchi waliopata miche hiyo mapema mwaka huu ambapo tuligawa miche 5,000 wanaendelea vizuri na utunzaji. Upande wa zao la kahawa kwa kushirikiana na bodi ya kahawa Tanzania tumegawa miche 10,000 toka TACRI kwa wakulima wetu wa kahawa kupitia vyama vya msingi na kushirikiana na mashika ya kimataifa kusaidia mitaji na huduma za ugavi ili kuongeza uzalishaji wa kahawa, uhifadhi pamoja na masoko.

Naomba tuendelee kushirikiana kuijenga Vunjo yetu.

PAMOJA TUNAWEZA, KAZI IENDELEE!

Dkt Charles Stephen Kimei
Mbunge Jimbo la Vunjo

IMG-20231128-WA0013.jpg
IMG-20231128-WA0020.jpg
 
Hongera mtaalamu wa fedha na uchumi sijui Kwa Nini huyu hakupewa uwaziri wa fedha akapewa jamaa ana shauri bunge lijadiri mambo ya uganga wa kienyeji,tabu haziishi duniani.
 
Umaskini hususani wa kipato ni moja kati ya maadui wa maendeleo ambao Chama Cha Mapinduzi (CCM), serikali zetu pamoja na wadau wa maendeleo wameendelea kupambana nao kwa nguvu zote.

Binafsi nimekuwa nashirikiana na madiwani wenzangu 22 wa Jimbo letu la Vunjo pamoja na viongozi wa serikali ngazi zote ikiwemo wizara yetu ya Kilimo kutekeleza mipango mbalimbali yenye lengo la kuinua ubora wa maisha, ustawi wa jamii na kupunguza umaskini ikiwemo uwezeshaji wa mafunzo ya kilimo cha parachichi pamoja na ugawaji wa miche ya parachichi aina ya Hass bure kwa wananchi wenye utayari.

Ukiwa sasa ni msimu wa pili, Wananchi wameonesha mwamko mkubwa wa kuhitaji miche hii ya parachichi hii inatokana na wao kutambua fursa za kiuchumi zitokanazo na zao hili.

Kwa kutambua ardhi yetu na hali yetu ya hewa inakubali kilimo cha zao la parachichi ambalo pia lina soko kubwa kimataifa tumejiwekea lengo la kugawa miche 20,000 ifikapo 2025. Mkakati huu utawapa Wananchi wetu kipato kizuri, utaongeza ajira na itaiongezea mapato halmashauri yetu.

Tunaendelea kushirikiana na TAHA kuzalisha miche bora ya parachichi ambayo tutaigawa mwishoni mwa Januari mwaka 2024. Nitoe rai kwa wananchi wetu kufuata utaratibu ule ule wa kujisajili au kuandikisha majina kwenye ofisi za watendaji wa kata na madiwani wetu watatufikishia majina hayo.

Wananchi waliopata miche hiyo mapema mwaka huu ambapo tuligawa miche 5,000 wanaendelea vizuri na utunzaji. Upande wa zao la kahawa kwa kushirikiana na bodi ya kahawa Tanzania tumegawa miche 10,000 toka TACRI kwa wakulima wetu wa kahawa kupitia vyama vya msingi na kushirikiana na mashika ya kimataifa kusaidia mitaji na huduma za ugavi ili kuongeza uzalishaji wa kahawa, uhifadhi pamoja na masoko.

Naomba tuendelee kushirikiana kuijenga Vunjo yetu.

PAMOJA TUNAWEZA, KAZI IENDELEE!

Dkt Charles Stephen Kimei
Mbunge Jimbo la Vunjo

View attachment 2827326View attachment 2827327
Huo ni upuuzi uliopitiliza kama parachichi lingekuwa zao la maana wachaga wote wanavyoijua pesa wangerudi kwao,huko ni kuwafubaza akili vijana na ninavyojua hakuna mchaga mwenye akili mbovu kama yeye,kahawa imefeli sasa ndo parachichi litoboe
 
Huo ni upuuzi uliopitiliza kama parachichi lingekuwa zao la maana wachaga wote wanavyoijua pesa wangerudi kwao,huko ni kuwafubaza akili vijana na ninavyojua hakuna mchaga mwenye akili mbovu kama yeye,kahawa imefeli sasa ndo parachichi litoboe
Punguza makasiriko mkuu, labda wameona wanaweza kutackle challenge za soko la biashara hiyo.

Japo sijawahi waamini wanasiasa, ukiangalia habari yenyewe naisoma leo mwakani ni 2024, unaofata ni uchaguzi
 
Huo ni upuuzi uliopitiliza kama parachichi lingekuwa zao la maana wachaga wote wanavyoijua pesa wangerudi kwao,huko ni kuwafubaza akili vijana na ninavyojua hakuna mchaga mwenye akili mbovu kama yeye,kahawa imefeli sasa ndo parachichi litoboe
Parachichi/Avocado hasa Hass ina thamani kuliko kahawa. Waulize wakulima wa jirani Burundi, Kenya, mikoa ya Iringa, Njombe na Mbeya. Sasa hivi wakulima wa Ngara, Karagwe, Kyerwa na Misenyi wanachangamkia kilimo cha zao hili pia.
 
Umaskini hususani wa kipato ni moja kati ya maadui wa maendeleo ambao Chama Cha Mapinduzi (CCM), serikali zetu pamoja na wadau wa maendeleo wameendelea kupambana nao kwa nguvu zote.

Binafsi nimekuwa nashirikiana na madiwani wenzangu 22 wa Jimbo letu la Vunjo pamoja na viongozi wa serikali ngazi zote ikiwemo wizara yetu ya Kilimo kutekeleza mipango mbalimbali yenye lengo la kuinua ubora wa maisha, ustawi wa jamii na kupunguza umaskini ikiwemo uwezeshaji wa mafunzo ya kilimo cha parachichi pamoja na ugawaji wa miche ya parachichi aina ya Hass bure kwa wananchi wenye utayari.

Ukiwa sasa ni msimu wa pili, Wananchi wameonesha mwamko mkubwa wa kuhitaji miche hii ya parachichi hii inatokana na wao kutambua fursa za kiuchumi zitokanazo na zao hili.

Kwa kutambua ardhi yetu na hali yetu ya hewa inakubali kilimo cha zao la parachichi ambalo pia lina soko kubwa kimataifa tumejiwekea lengo la kugawa miche 20,000 ifikapo 2025. Mkakati huu utawapa Wananchi wetu kipato kizuri, utaongeza ajira na itaiongezea mapato halmashauri yetu.

Tunaendelea kushirikiana na TAHA kuzalisha miche bora ya parachichi ambayo tutaigawa mwishoni mwa Januari mwaka 2024. Nitoe rai kwa wananchi wetu kufuata utaratibu ule ule wa kujisajili au kuandikisha majina kwenye ofisi za watendaji wa kata na madiwani wetu watatufikishia majina hayo.

Wananchi waliopata miche hiyo mapema mwaka huu ambapo tuligawa miche 5,000 wanaendelea vizuri na utunzaji. Upande wa zao la kahawa kwa kushirikiana na bodi ya kahawa Tanzania tumegawa miche 10,000 toka TACRI kwa wakulima wetu wa kahawa kupitia vyama vya msingi na kushirikiana na mashika ya kimataifa kusaidia mitaji na huduma za ugavi ili kuongeza uzalishaji wa kahawa, uhifadhi pamoja na masoko.

Naomba tuendelee kushirikiana kuijenga Vunjo yetu.

PAMOJA TUNAWEZA, KAZI IENDELEE!

Dkt Charles Stephen Kimei
Mbunge Jimbo la Vunjo

View attachment 2827326View attachment 2827327
Hili libunge la viti maalum huwa halijitambui...hilo shamba la parachichi liko wapi atuonyeshe yeye mfano...vunjo inatatizo la maji wananchi wamakatiwa maji kwenye bomba ambalo liko enzi na enzi.
Huyo mbunge viti maalum yuko kimya tu....maji hayatumii pump wanalazimishwa watu wawekewe mita
Wananchi wamesema serikali ijenge miundo mbinu yao ya maji sio kuteka mradi wa vijiji
 
Watanzania nao ni wababaishaji wazuri tu.

Viongozi wanajitahidi sana ila lawama haziishi.
 
Kilimanjaro imejengwa na kahawa hii habari ya maparachichi ni kama mnaenda kuzika kilimo cha kahawa maana hata KNCU imekufa kila anayeingia hapo anachukua kilicho chake na kusepa,hakuna anayehoji huo ufisadi hapo KNCU,
Tulitarajia mheshimiwa Kimei upaze sauti kwa niaba ya wana Vunjo juu ya ufisadi mkubwa unaoendelea KNCU ili wakulima na wananchi wako waweze kupata mwarobaini wa ufisadi unaoendelea.

Ukiwa katika mji wa Moshi majengo mengi yamejengwa na kahawa,angalia Jengo ilipo Benki ya NBC ni jengo la KNCU,Ikulu Ndogo imejengwa na kahawa chini ya Utawala wa Mshumbue Mangi Mkuu Thomas Lenana Marealle.

Sasa hivyo mashamba makubwa ya kahawa yanageuzwa kama mashamba ya kilimo cha parachichi,taratibu zao la kahawa linatoweka na mwisho wa siku umaskini unashika hatamu kwa mkoa wa Kilimaonjoro moja ya mikoa iliyopita hatua kimaendeleo na yote haya ni kwa sababu ya kahawa.
 
Huo ni upuuzi uliopitiliza kama parachichi lingekuwa zao la maana wachaga wote wanavyoijua pesa wangerudi kwao,huko ni kuwafubaza akili vijana na ninavyojua hakuna mchaga mwenye akili mbovu kama yeye,kahawa imefeli sasa ndo parachichi litoboe
Mtu "aliyeijenga" CRDB na kuifanya kuwa kati ya mabenki bora nchini ana akili mbovu?

Kama hiyo ni akili mbovu, basi, Jimbo analoliongoza limekaribia kuwa kati ya majimbo Bora sana nchini.

Bila shaka anajua how to make things work. Acha awasaidie wananchi wenzake kwa kadiri ya kipawa alichojaliwa na Mungu.
 
Back
Top Bottom