Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,330
- 33,954
Mtu ana mtaji wa shilingi milioni tatu lakini anaitwa mmachinga Kwa kuwa anapanga bidhaa zake barabarani na Halipi Kodi!
Mwingine ana mtaji kama huo huo lakini kwa kuwa anauza bidhaa zake kwenye fremu, anaitwa mfanyabiashara na Anatozwa Kodi.
Hivi kigezo cha kuitwa mmachinga ni jinsi mtu anavyofanya biashara ama ni kiwango cha mtaji wake kibiashara na mauzo yake kwa siku?
Mwingine ana mtaji kama huo huo lakini kwa kuwa anauza bidhaa zake kwenye fremu, anaitwa mfanyabiashara na Anatozwa Kodi.
Hivi kigezo cha kuitwa mmachinga ni jinsi mtu anavyofanya biashara ama ni kiwango cha mtaji wake kibiashara na mauzo yake kwa siku?