Barua ya Wazi kwa Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Doto Mashaka Biteko: Waagizaji wa Mafuta watumie Dhahabu kununua Mafuta Nje ya Nchi
Heshima Mheshimiwa Waziri wa Nishati na naibu waziri mkuu...
MBUNGE NGASSA: "WANANCHI TUENDELE KUSHIKAMANA , MAENDELEO HAYANA NJIA YA MKATO"
"... Mwaka 2021 baada ya Uchaguzi Mkuu Nilikuja kufanya Mkutano wa kushukuru hapa kwenye Kijiji chenu, Nikawaahidi...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais samia jasiri muongoza njia,mama wa shoka,chuma cha Reli,Nuru ya wanyonge,Shujaa wa Afrika,Sauti ya wa Afrika,Mtetezi wa wanyonge anawasikiliza watanzania wote...
Haiwezekani Mbunge anahutubia halafu Kikundi cha watu wachache wanaanza kumzomea, huku ni kuchochea machafuko
Au Mtu kachukulia Kadi yake ya CCM kwenye Ofisi ya Tawi then anakuja kuirudisha...
Hivi Tanzania ina uhaba wa watu kiasi hiki?
Yaani mtu mmoja anakuwa Naibu Waziri Mkuu na pia Waziri wa Nishati?
Hakuna wengine ili wampunguzie majukumu?
Tujitafakari. Je akikosea kama Waziri wa...
My Take
Serikali ibadilishe sheria inayosimamia mamlaka za serikali za mitaa Ili Viongozi wa kuanzia ngazi ya Mkoa wachaguliwe na kuwajibika Moja kwa Moja kwa Wananchi.
---
Rais Samia Suluhu...
Najiuliza hivi wasomi wetu hawajui kama Kila siku tunaongozwa na katiba? Hivi wasomi wetu hawajui kama tunaiishi katiba tuliyonayo?
Hivi Rais wetu hajui kama Tanzania anayoiongoza iko hivyo...
1. WABUNGE waliotakiwa kuwa watetezi wa Wananchi, wao wanakuwa watetezi wa mhimili wa Serikali.
2. Rais ambaye ni Kiongozi wa Serikali ambaye alitakiwa kutowabagua watumishi wake wa Serikali...
Wadau nawasalimu.Nimepitia KATIBA ya NCHI sijaona POPOTE ambapo Kuna Kifungu ktk KATIBA kinachotamka kuwa kutakuwa na WABUNGE WALIOPITA BILA KUPINGWA ktk Majimbo yao.
Lakini kupitia UCHAGUZI wa...
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu akiwa na ujumbe wake katika ziara ya kikazi India, wametembelea Mamlaka ya Kudhibiti Dawa, Vifaa Tiba na Vipodozi ya nchini India (Central Drug, Medical Device and...
Nafahamu fika Hayati John Magufuli hatarudi duniani. Hata hivyo, kulingana na wanavyomjadili wabaya na wapenzi wake na yale yote mazuri na mabaya aliyotenda kama binadamau, bado tuko naye kiroho...
Ni Wazi kabisa 2025 Serikali ya Mseto inanukia na CCM imeanza mazoezi kwa kuteua Naibu Waziri mkuu ambaye hapigiwi kura na Wabunge.
Japo haipo kikatiba lakini uwezekano mkubwa ni Vyama vya...
Hakuna kazi ngumu duniani kama kutetea udhaifu, inahitaji kiwango f'lani cha upumbavu na kujitoa ufahamu ili ueleweke kwa waliochagua kuamini na kuuelewa upumbavu wako!Mungu aingilie kati.
Kuna...
Kuna mambo yanaendelea nchini unajiiza hizi Habari kwanini zinatoka sasa bila maelezo?
Mawaziri viburi na majibu ya rejareja kwenye mambo mazito yanayohitaji utulivu wa akili.
Mambo haya...
Mbunge wa Arusha mjini ameseme Wabunge ni sharti wajikombe na kujipendekeza kwa Wananchi waliowachagua ila Wateuliwa ndio watajipendeza na kumuimbia mapambio aliyewateua
Hiyo ndio dhana ya...
Ndugu zangu Watanzania,
Wakati wenzetu Wakenya kwa sasa wanakabiliwa na Tatizo la Bei kubwa ya Nishati ya mafuta kuwahi kutokea na kushuhudiwa katika Taifa lao, wakati kukiwa na Tishio la...
Kuna hadithi ya mfalme aliyetaka kumuoza binti yake kwa mwanaume jasiri atakayeweza kuogelea kwenye bwawa la mamba mpk kulivuka na kufika upande wa pili .
Wakiwa wamejipanga pembeni ya bwawa...
Kwa kawaida, kifungo cha nje sio kwenda kulala nyumbani kwenu, bali ni wajibu wa maafisa Ustawi wa Jamii kukupangia siku kadhaa za wiki kufanya huduma za kijamii kama usafi na kadhalika kwenye...
Ukisikia kishindo Cha mama ndio Hilo Sasa,kazi kubwa kelele hakuna.
Mtamkubali hata Kwa Shingo upande maana hakuna namna,she is doing wonders ambazo hakuna Rais amewahi kufanya hivyo hapo kabla...
Mnamo tarehe 14.09.2023 majira ya saa 1:30 asubuhi huko katika nyumba za Walimu wa Shule ya Sekondari Mtanila iliyopo Kijiji cha Igangwe Wilaya ya Chunya, Mkuu wa Shule hiyo aliyefahamika kwa jina...