Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Barua ya Wazi kwa Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Doto Mashaka Biteko: Waagizaji wa Mafuta watumie Dhahabu kununua Mafuta Nje ya Nchi Heshima Mheshimiwa Waziri wa Nishati na naibu waziri mkuu...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
MBUNGE NGASSA: "WANANCHI TUENDELE KUSHIKAMANA , MAENDELEO HAYANA NJIA YA MKATO" "... Mwaka 2021 baada ya Uchaguzi Mkuu Nilikuja kufanya Mkutano wa kushukuru hapa kwenye Kijiji chenu, Nikawaahidi...
0 Reactions
0 Replies
400 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais samia jasiri muongoza njia,mama wa shoka,chuma cha Reli,Nuru ya wanyonge,Shujaa wa Afrika,Sauti ya wa Afrika,Mtetezi wa wanyonge anawasikiliza watanzania wote...
3 Reactions
75 Replies
3K Views
Haiwezekani Mbunge anahutubia halafu Kikundi cha watu wachache wanaanza kumzomea, huku ni kuchochea machafuko Au Mtu kachukulia Kadi yake ya CCM kwenye Ofisi ya Tawi then anakuja kuirudisha...
12 Reactions
61 Replies
4K Views
Hivi Tanzania ina uhaba wa watu kiasi hiki? Yaani mtu mmoja anakuwa Naibu Waziri Mkuu na pia Waziri wa Nishati? Hakuna wengine ili wampunguzie majukumu? Tujitafakari. Je akikosea kama Waziri wa...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
My Take Serikali ibadilishe sheria inayosimamia mamlaka za serikali za mitaa Ili Viongozi wa kuanzia ngazi ya Mkoa wachaguliwe na kuwajibika Moja kwa Moja kwa Wananchi. --- Rais Samia Suluhu...
2 Reactions
7 Replies
994 Views
Najiuliza hivi wasomi wetu hawajui kama Kila siku tunaongozwa na katiba? Hivi wasomi wetu hawajui kama tunaiishi katiba tuliyonayo? Hivi Rais wetu hajui kama Tanzania anayoiongoza iko hivyo...
0 Reactions
0 Replies
343 Views
1. WABUNGE waliotakiwa kuwa watetezi wa Wananchi, wao wanakuwa watetezi wa mhimili wa Serikali. 2. Rais ambaye ni Kiongozi wa Serikali ambaye alitakiwa kutowabagua watumishi wake wa Serikali...
9 Reactions
29 Replies
2K Views
Wadau nawasalimu.Nimepitia KATIBA ya NCHI sijaona POPOTE ambapo Kuna Kifungu ktk KATIBA kinachotamka kuwa kutakuwa na WABUNGE WALIOPITA BILA KUPINGWA ktk Majimbo yao. Lakini kupitia UCHAGUZI wa...
2 Reactions
5 Replies
696 Views
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu akiwa na ujumbe wake katika ziara ya kikazi India, wametembelea Mamlaka ya Kudhibiti Dawa, Vifaa Tiba na Vipodozi ya nchini India (Central Drug, Medical Device and...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nafahamu fika Hayati John Magufuli hatarudi duniani. Hata hivyo, kulingana na wanavyomjadili wabaya na wapenzi wake na yale yote mazuri na mabaya aliyotenda kama binadamau, bado tuko naye kiroho...
2 Reactions
51 Replies
3K Views
Ni Wazi kabisa 2025 Serikali ya Mseto inanukia na CCM imeanza mazoezi kwa kuteua Naibu Waziri mkuu ambaye hapigiwi kura na Wabunge. Japo haipo kikatiba lakini uwezekano mkubwa ni Vyama vya...
11 Reactions
56 Replies
4K Views
Hakuna kazi ngumu duniani kama kutetea udhaifu, inahitaji kiwango f'lani cha upumbavu na kujitoa ufahamu ili ueleweke kwa waliochagua kuamini na kuuelewa upumbavu wako!Mungu aingilie kati. Kuna...
6 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuna mambo yanaendelea nchini unajiiza hizi Habari kwanini zinatoka sasa bila maelezo? Mawaziri viburi na majibu ya rejareja kwenye mambo mazito yanayohitaji utulivu wa akili. Mambo haya...
33 Reactions
63 Replies
8K Views
Mbunge wa Arusha mjini ameseme Wabunge ni sharti wajikombe na kujipendekeza kwa Wananchi waliowachagua ila Wateuliwa ndio watajipendeza na kumuimbia mapambio aliyewateua Hiyo ndio dhana ya...
14 Reactions
50 Replies
4K Views
Ndugu zangu Watanzania, Wakati wenzetu Wakenya kwa sasa wanakabiliwa na Tatizo la Bei kubwa ya Nishati ya mafuta kuwahi kutokea na kushuhudiwa katika Taifa lao, wakati kukiwa na Tishio la...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Kuna hadithi ya mfalme aliyetaka kumuoza binti yake kwa mwanaume jasiri atakayeweza kuogelea kwenye bwawa la mamba mpk kulivuka na kufika upande wa pili . Wakiwa wamejipanga pembeni ya bwawa...
14 Reactions
34 Replies
3K Views
Kwa kawaida, kifungo cha nje sio kwenda kulala nyumbani kwenu, bali ni wajibu wa maafisa Ustawi wa Jamii kukupangia siku kadhaa za wiki kufanya huduma za kijamii kama usafi na kadhalika kwenye...
9 Reactions
99 Replies
9K Views
Ukisikia kishindo Cha mama ndio Hilo Sasa,kazi kubwa kelele hakuna. Mtamkubali hata Kwa Shingo upande maana hakuna namna,she is doing wonders ambazo hakuna Rais amewahi kufanya hivyo hapo kabla...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Mnamo tarehe 14.09.2023 majira ya saa 1:30 asubuhi huko katika nyumba za Walimu wa Shule ya Sekondari Mtanila iliyopo Kijiji cha Igangwe Wilaya ya Chunya, Mkuu wa Shule hiyo aliyefahamika kwa jina...
7 Reactions
70 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…