Naiona ile Spirit ya 1995 ikirejea kwa kasi, CHADEMA na Chama kipya vitapata Wabunge wengi lakini CCM itashinda Urais. PM atatoka Upinzani

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,036
142,117
Ni Wazi kabisa 2025 Serikali ya Mseto inanukia na CCM imeanza mazoezi kwa kuteua Naibu Waziri mkuu ambaye hapigiwi kura na Wabunge.

Japo haipo kikatiba lakini uwezekano mkubwa ni Vyama vya Upinzani kutoa Wabunge wengi kuliko CCM na hivyo maamuzi ya nani awe Waziri mkuu yatakuwa mikononi mwao, hivyo CCM wataweka Naibu Waziri mkuu wa kuteuliwa Moja kwa Moja na Rais.

Hivyo CCM watacheza kama walivyocheza Zanzibar ambako Makamu wa kwanza wa Rais ametoka Upinzani lakini hana Nguvu za kumzidi Makamu wa pili wa Rais anayetoka CCM.

CCM huwa wanaona mbali sana.

Mungu wa mbinguni aubariki Nusu Mkate 😄
 
Ni Wazi kabisa 2025 Serikali ya Mseto inanukia na CCM imeanza mazoezi kwa kuteua Naibu Waziri mkuu ambaye hapigiwi kura na Wabunge.

Japo haipo kikatiba lakini uwezekano mkubwa ni Vyama vya Upinzani kutoa Wabunge wengi kuliko CCM na hivyo maamuzi ya nani awe Waziri mkuu yatakuwa mikononi mwao, hivyo CCM wataweka Naibu Waziri mkuu wa kuteuliwa Moja kwa Moja na Rais.

Hivyo CCM watacheza kama walivyocheza Zanzibar ambako Makamu wa kwanza wa Rais ametoka Upinzani lakini hana Nguvu za kumzidi Makamu wa pili wa Rais anayetoka CCM.

CCM huwa wanaona mbali sana.

Mungu wa mbinguni aubariki Nusu Mkate
Hahaaaa!!!co kwa Tz nayoijua miie
 
Mkuu ccm Wana mbinu 36 za kuiba uchaguzi, mpk leo wamemtumia mbinu 6 tu. Hebu fikiria wakizitumia hizo mbinu 30 mwaka 2025 upinzani utatoboa?

Ili kuifikia ndoto ulionayo katiba mpya na bora yapaswa kuandikwa.
Sio kweli mkuu kama mgombea wao ni huyu huyu Mama,aaaah thubutu yake......ccm utakuwa ndio mwisho tuombe tu uzima!
 
Halina ubishi Hilo uzuri wananchi wameona madhara ya wabunge sagula sagula wabunge wa Bei chee na madhara ya ukosefu wa wapinzani bungeni,case study ishu ya bandari.
Ukitaka kuingia bungeni mlango upo wazi kupitia upinzani
 
Uongo mtupu!! Mbinu gani tusizozijua! Za kuweka kura kwenye chupa za chai!? Labda mje na mbinu ya kuficha kura darini! Na hata hiyo hamtashinda Maana tutakuwa nanyi jino Kwa jino
Mkuu ccm Wana mbinu 36 za kuiba uchaguzi, mpk leo wamemtumia mbinu 6 tu. Hebu fikiria wakizitumia hizo mbinu 30 mwaka 2025 upinzani utatoboa?

Ili kuifikia ndoto ulionayo katiba mpya na bora yapaswa kuandi
 
Uongo mtupu!! Mbinu gani tusizozijua! Za kuweka kura kwenye chupa za chai!? Labda mje na mbinu ya kuficha kura darini! Na hata hiyo hamtashinda Maana tutakuwa nanyi jino Kwa jino
Mbinu na 21. Ktk mbinu hii fataki hufyatuliwa ili kuwatawanya mawakala. Halafu kura feki zinawekwa kwenye masanduku.

Mbinu na.23. Ktk mbinu hii gari lililobeba masanduki ya kura huenda moja kwa moja kituo cha polisi. Masanduki yanashushwa na kuhifadhiwa kituoni, kwa kisingizio cha tishio la usalama. Kura feki zinaingizwa hapo.
 
Ni Wazi kabisa 2025 Serikali ya Mseto inanukia na CCM imeanza mazoezi kwa kuteua Naibu Waziri mkuu ambaye hapigiwi kura na Wabunge.

Japo haipo kikatiba lakini uwezekano mkubwa ni Vyama vya Upinzani kutoa Wabunge wengi kuliko CCM na hivyo maamuzi ya nani awe Waziri mkuu yatakuwa mikononi mwao, hivyo CCM wataweka Naibu Waziri mkuu wa kuteuliwa Moja kwa Moja na Rais.

Hivyo CCM watacheza kama walivyocheza Zanzibar ambako Makamu wa kwanza wa Rais ametoka Upinzani lakini hana Nguvu za kumzidi Makamu wa pili wa Rais anayetoka CCM.

CCM huwa wanaona mbali sana.

Mungu wa mbinguni aubariki Nusu Mkate 😄
Ndg hauijui CCM ya BARA kule ni ZANZIBAR huku ni BARA ,CCM haijawahi kugawana madaka na mtu
 
DP World imewalaza CCM na viatu.... hapa huu mwaka sio wao kabisa.... itakuwa wanapanga kufanya u-turn 2024.

Ikitokea Abracadabra ingine 2024 kama hii ya DP World ambayo bado Samia hajaichomoa, hakika hili linaweza timia.
 
Ni Wazi kabisa 2025 Serikali ya Mseto inanukia na CCM imeanza mazoezi kwa kuteua Naibu Waziri mkuu ambaye hapigiwi kura na Wabunge.

Japo haipo kikatiba lakini uwezekano mkubwa ni Vyama vya Upinzani kutoa Wabunge wengi kuliko CCM na hivyo maamuzi ya nani awe Waziri mkuu yatakuwa mikononi mwao, hivyo CCM wataweka Naibu Waziri mkuu wa kuteuliwa Moja kwa Moja na Rais.

Hivyo CCM watacheza kama walivyocheza Zanzibar ambako Makamu wa kwanza wa Rais ametoka Upinzani lakini hana Nguvu za kumzidi Makamu wa pili wa Rais anayetoka CCM.

CCM huwa wanaona mbali sana.

Mungu wa mbinguni aubariki Nusu Mkate 😄
Kuchangia mada za namna hi za kujitoa akili maksudi ni taabu sana.

Hata hivyo, acha nichangie tu hivyo hivyo.

Anza kuizoesha akili yako tokea sasa, kuifikiria na kuiona Tanzania Bila ya uwepo wa CCM katika shughuli zake.

Mnahangaika sana wakati huu kutafuta upenyo na kupata pa kujishikizia, lakini waTanzania sasa wataikataa CCM iliyogeuka kuwa adui mkubwa wa taifa hili..

Sahau kabisa habari ya "Serikali ya Mseto". Samia alijaribu kumwingiza kingi Mbowe, ikashindikana, sasa hivi atafanya nini ili CHADEMA wakubali ujinga wa namna hiyo?
 
Sio kweli mkuu kama mgombea wao ni huyu huyu Mama,aaaah thubutu yake......ccm utakuwa ndio mwisho tuombe tu uzima!
Nafuu (kidogo) ya CCM, angalau kubaki kama chama cha siasa Tanzania ni mageuzi makubwa yafanyike humo humo ndani ya chama hicho tokea wakati huu na kuendelea hadi maandalizi ya uchaguzi.

Hii CCM anayoiongoza Samia, ikiwa ndiyo inashikilia usukani hadi wakati huo, tegemea maumivu makali sana kwa chama hiki.
 
Ni Wazi kabisa 2025 Serikali ya Mseto inanukia na CCM imeanza mazoezi kwa kuteua Naibu Waziri mkuu ambaye hapigiwi kura na Wabunge.

Japo haipo kikatiba lakini uwezekano mkubwa ni Vyama vya Upinzani kutoa Wabunge wengi kuliko CCM na hivyo maamuzi ya nani awe Waziri mkuu yatakuwa mikononi mwao, hivyo CCM wataweka Naibu Waziri mkuu wa kuteuliwa Moja kwa Moja na Rais.

Hivyo CCM watacheza kama walivyocheza Zanzibar ambako Makamu wa kwanza wa Rais ametoka Upinzani lakini hana Nguvu za kumzidi Makamu wa pili wa Rais anayetoka CCM.

CCM huwa wanaona mbali sana.

Mungu wa mbinguni aubariki Nusu Mkate 😄
Nonsense
 
Back
Top Bottom