johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,142
Haiwezekani Mbunge anahutubia halafu Kikundi cha watu wachache wanaanza kumzomea, huku ni kuchochea machafuko
Au Mtu kachukulia Kadi yake ya CCM kwenye Ofisi ya Tawi then anakuja kuirudisha kwenye Mkutano wa hadhara tena kwa kuitupa tu kwenye kigunia kilichotandikwa chini, huu ni udhalilishaji wa Taasisi na haikubaliki
Nashauri Jeshi la Polisi lianze kuwashughulikia Wakosa adabu wa namna hii
Hata hivyo Nawatakia Dominica njema 😀🌟
Kwa Mara ya 5 Umetangazwa Leo!
Au Mtu kachukulia Kadi yake ya CCM kwenye Ofisi ya Tawi then anakuja kuirudisha kwenye Mkutano wa hadhara tena kwa kuitupa tu kwenye kigunia kilichotandikwa chini, huu ni udhalilishaji wa Taasisi na haikubaliki
Nashauri Jeshi la Polisi lianze kuwashughulikia Wakosa adabu wa namna hii
Hata hivyo Nawatakia Dominica njema 😀🌟
Kwa Mara ya 5 Umetangazwa Leo!