ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,049
- 49,731
My Take
Serikali ibadilishe sheria inayosimamia mamlaka za serikali za mitaa Ili Viongozi wa kuanzia ngazi ya Mkoa wachaguliwe na kuwajibika Moja kwa Moja kwa Wananchi.
---
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa ngazi zote za serikali kuacha tabia ya kukaa ofisini badala ya kushuka chini kusikiliza na kutatua kero ambapo ameeleza kusikitishwa kuona kero za wananchi wa vijijini zinapelekwa Ikulu wakati kwenye maeneo yao kuna viongozi.
Hayo yamebainishwa leo Septemba 17,2023 katika mkutano na wananchi wa Mangaka Wilayani Nanyumbu Mkoani Mtwara ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa ziara yake katika mikoa ya Kusini.
View: https://www.instagram.com/reel/CxSw316NjOv/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Serikali ibadilishe sheria inayosimamia mamlaka za serikali za mitaa Ili Viongozi wa kuanzia ngazi ya Mkoa wachaguliwe na kuwajibika Moja kwa Moja kwa Wananchi.
---
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa ngazi zote za serikali kuacha tabia ya kukaa ofisini badala ya kushuka chini kusikiliza na kutatua kero ambapo ameeleza kusikitishwa kuona kero za wananchi wa vijijini zinapelekwa Ikulu wakati kwenye maeneo yao kuna viongozi.
Hayo yamebainishwa leo Septemba 17,2023 katika mkutano na wananchi wa Mangaka Wilayani Nanyumbu Mkoani Mtwara ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa ziara yake katika mikoa ya Kusini.
View: https://www.instagram.com/reel/CxSw316NjOv/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==